Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu kapata Div 4 kaenda kusoma City College Bangalore India akili anapata wapi? Tuwe wakweli, jamaa wa habari ni mweupe sana kichwani. JK alimbeba sababu ya agano la Butiama la watoto wa vigogo kukumbukwa, ila jamaa ni mweupe mno.
 
Asante! Bi mkubwa Kwa kuondoa hizi takataka. Kwa hili la kuwaweka nje January Makamba na Nape mnauye!!

Taratibu tunaanza kuwa na Imani na wewe huenda mbeleni utatufuta MACHOZI

May God Bless you Mother!
Mwenyezi Mungu akulinde, aku2nze na akusimamie
 
Sahihi mkuu. Rizi ako smart sana, pia nafikiri dingi wake ndiyo anafanya jamaa asiwe mzembe kama hao machalii wengine walijisahau.

Hallelujah!!!
 
Huu uzi Mchungaji: MSIGWA na Upendo Peneza,watakuwa waliufungua kwa kasi ya 5G_.Ila ndiyo hivyo tena. ..na wavute subira....japo ni dalili mbaya mno kwa matarajio yao na makubaliano waliyoafikiana na CCM....Hata Nancy Sumari_( Mr.Politician)CCM walimjaza maneno matamu matamu...akiwa kwenye mkeka wa Dr.Slaa enzi hizo wa Ubunge wa viti maalumu( CHADEMA),binti akakengeuka ghafula....na mwisho CCM wakamtupilia kusikojulikana mpaka leo hii....sijui yuko wapi/hai??!!!@.
 
Back
Top Bottom