Sasa ukiangalia ni lipi la maana anafanya!! Au mama wa ngekewa(mhagama) huwa hata sielewi anafanya nini lakininpanga pangua yumo tuMnadhani kwa nini Masauni bado yupo mambo ya ndani?
Kudra za Mwenyezi Mungu!Tuanze na hapo alichaguliwa na Nani?
Huyu ni Rais wa hovyo na mwoga kuwahi kutokea! Anakimbia kivuli chake mwenyewe!Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kwenye suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.
Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi. Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine????? Hii inawezekanaje????? Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao ulikuwa haujawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????
Huu ndiyo mwanzo wangu wa kufikiri ulipoanzia! Kwani maana ya R nne ni kuteua na kutengua kila kukicha. Kwamba uwezo wake wa kutambua watendaji wazuri wanaomfaa umeishia kama mama anachagua nyanya sokoni? Kwamba hana kazi zaidi ya kuteua na kutengua?Ndipo mwisho wako wa kufikiri ulipoishia?
Unajuwa maana ya R nne za Rais mama Samia Suluhu Hassan?
Yapo namna gani? Dadavua kwa kifupiBoss "literature" yako nzuri ila ndani ya uwanja mambo hayako hivyo.
sio mbwembwe bro,kila aliyeteuliwa alipewa kpi ambazo alitakiwa kuzitimiza na muda,wanaposhindwa ndipo unatenguliwaTumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.
Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!
Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!
Mungu ibariki Tanzania!
PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Boss "literature" yako nzuri ila ndani ya uwanja mambo hayako hivyo.
KPI zipi hizo? Je kuna rasilimali za kutosha kutekekeza hizo KPIs?sio mbwembwe bro,kila aliyeteuliwa alipewa kpi ambazo alitakiwa kuzitimiza na muda,wanaposhindwa ndipo unatenguliwa
Huu uteuzi ni ili tuhame kumsakama na maaskari wake walio tumwa kuvuruga mkutano wa CHADEMATumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.
Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!
Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!
Mungu ibariki Tanzania!
PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Huwa wanasema Mbowe kakaa sana Chadema apishe damu changa. Akina Kabudi na Lukuvi wa nini tangu TANU!Sasa ukiangalia ni lipi la maana anafanya!! Au mama wa ngekewa(mhagama) huwa hata sielewi anafanya nini lakininpanga pangua yumo tu
Kama leo teua kesho pangua si wanaoteuliwa wakatae? Yaani wanakubali wao wanajiona Bora kuliko walioondolewa? Hatimaye wanaona bora wapige madili maana wanajua hawamalizi miezi 3. Urefu wa kamba.Katika mawaziri alioteua yeye ni kama wannę tu ndio waliodumu kwenye wizara zao mpaka muda huu.
Wengine ni kila siku panga pangua akijisikia tu.
Kabisa ‘chelewa chelewa, ukute mwana si wako’.Kama leo teua kesho pangua si wanaoteuliwa wakatae? Yaani wanakubali wao wanajiona Bora kuliko walioondolewa? Hatimaye wanaona bora wapige madili maana wanajua hawamalizi miezi 3. Urefu wa kamba.
Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha.
Naunga mkono hoja!Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.
Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!
Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!
Mungu ibariki Tanzania!
PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Wala hakuna tija yoyote zaidi ya gharama kwa walipa kodiTumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.
Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!
Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!
Mungu ibariki Tanzania!
PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Hamkumbuki Kuna kipindi alimteua marehemu?! Kazi yake ni kutengua , kuteua na kufanya utalii wa ndani kidogo na utalii wa nje kwa sana. Kuna watu walikuwa wanalalamika Serikali ya awamu ya 4 kuwa kikwete alikuwa anasafiri sana nje ya nchi lakini huyu mama kwa kusafiri ameishamfunika hata kikwete.Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kwenye suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.
Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi. Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine????? Hii inawezekanaje????? Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao ulikuwa haujawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????
Jambazi Haji tunaye tu hata wafanyeje!Huu uteuzi ni ili tuhame kumsakama na maaskari wake walio tumwa kuvuruga mkutano wa CHADEMA
Huyu ni Rais mzigo!Wala hakuna tija yoyote zaidi ya gharama kwa walipa kodi