- Thread starter
- #121
Wananchi hatudanganyiki!Na mimi ninachokiona anafanya mambo ya kutengua na kuteua kila wakati ili kuwapumbaza wananchi wamuone kama anachapa kazi hali ya kuwa nchi imemvuruga kazi imemzidi hajui atokee wapi na aingilie wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi hatudanganyiki!Na mimi ninachokiona anafanya mambo ya kutengua na kuteua kila wakati ili kuwapumbaza wananchi wamuone kama anachapa kazi hali ya kuwa nchi imemvuruga kazi imemzidi hajui atokee wapi na aingilie wapi.
You are talking about your very self.You are a bipolar.
Samia anafanya kazi nzito sana huko mikoani, nyinyi wa nyuma ya keyboard hamuelewi lolote maskini ya Mungu.Na mimi ninachokiona anafanya mambo ya kutengua na kuteua kila wakati ili kuwapumbaza wananchi wamuone kama anachapa kazi hali ya kuwa nchi imemvuruga kazi imemzidi hajui atokee wapi na aingilie wapi.
Hata Samia anashangaa jinsi inavyomkekehi na kimchoresha!Samia anafanya kazi nzito sana huko mikoani, nyinyi wa nyuma ya keyboard hamuelewi lolote maskini ya Mungu.
Kazi ipi hiyo anayoifanya mikoani ndugu?Na anaifanya saa ngapi maana mara nyingi namuona akisafiri kwenda kutembea kwenye nchi za watuSamia anafanya kazi nzito sana huko mikoani, nyinyi wa nyuma ya keyboard hamuelewi lolote maskini ya Mungu.
Majuzi alikuwa mikoa ya Rukwa na Katavi, husikilizI radio?, huna TV nyumbani uweze kufuatilia matukio ya Rais SSH?.Kazi ipi hiyo anayoifanya mikoani ndugu?Na anaifanya saa ngapi maana mara nyingi namuona akisafiri kwenda kutembea kwenye nchi za watu
Alienda kufanya kazi gani huko Rukwa?Au vile anavyopita na msafara wa magari huku watu wakimshangilia ndio kufanya kazi?Majuzi alikuwa mikoa ya Rukwa na Katavi, husikilizI radio?, huna TV nyumbani uweze kufuatilia matukio ya Rais SSH?.
Kuna viwanda vimefunguliwa huko, kuna mazingira ya uchumi kukua yametengenezwa.Alienda kufanya kazi gani huko Rukwa?Au vile anavyopita na msafara wa magari huku watu wakimshangilia ndio kufanya kazi?
Viwanda vingapi na ni viwanda vya aina gani maana hata cherehani pia wanaitaga kiwanda,Kuhusu umeme na maji tangu mwaka 1961 bado wanahangaika hawajamaliza hadi leo ni uzembe wa kiwango cha SGR.Kuna viwanda vimefunguliwa huko, kuna mazingira ya uchumi kukua yametengenezwa.
Kuna suala la umeme kuendelea kusambazwa. Usipende tu kusoma habari za michezo ukaona umeshasoma gazeti zima hata ikiwa ni la online.
Unalalamika tu hujui hata unaloongea masikini ya Mungu. Tembea Tanzania na anzia hapo mkoa wa Pwani uone shughuli za kiuchumi zinavyofanyika kuliko kupiga kelele ukiwa nyuma ya keyboard yako jijini Dar.Viwanda vingapi na ni viwanda vya aina gani maana hata cherehani pia wanaitaga kiwanda,Kuhusu umeme na maji tangu mwaka 1961 bado wanahangaika hawajamaliza hadi leo ni uzembe wa kiwango cha SGR.
Unalalamika tu hujui hata unaloongea masikini ya Mungu. Tembea Tanzania na anzia hapo mkoa wa Pwani uone shughuli za kiuchumi zinavyofanyika kuliko kupiga kelele ukiwa nyuma ya keyboard yako jijini Dar.
Viwanda vinafunguliwa kama uyoga ukizingatia umeme unaendelea kupatikana kwa uhakika zaidi.Dar ndio icon ya Tanzania,wakifeli Dar jua hakuna kitu tena
Wewe sio bure utakuwa umerogwa na uchawa viwanda hivyo vya kuviona wewe peke yako watu wengine wasivione,mikoa yote watu wanalalamika maisha magumuViwanda vinafunguliwa kama uyoga ukizingatia umeme unaendelea kupatikana kwa uhakika zaidi.
Mliorogwa ni aina yako wewe watu mnaodhani yupo Rais atakayewaletea pesa mifukoni. Kuna umeme unasambazwa nchi nzima, kuna barabara zinajengwa kila eneo, kuna mahospitali yanayojengwa kila kukicha.Wewe sio bure utakuwa umerogwa na uchawa viwanda hivyo vya kuviona wewe peke yako watu wengine wasivione,mikoa yote watu wanalalamika maisha magumu
Mliorogwa ni aina yako wewe watu mnaodhani yupo Rais atakayewaletea pesa mifukoni. Kuna umeme unasambazwa nchi nzima, kuna barabara zinajengwa kila eneo, kuna mahospitali yanayojengwa kila kukicha.Wewe sio bure utakuwa umerogwa na uchawa viwanda hivyo vya kuviona wewe peke yako watu wengine wasivione,mikoa yote watu wanalalamika maisha magumu