Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi unaofanywa na Samia ni mbwembwe tu za Madaraka

Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi unaofanywa na Samia ni mbwembwe tu za Madaraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maneno ya uchawa ni ya kipumbavu yasiyo na mashiko yoyote tunapoongelea ufanisi wa SSH na awamu yake ya sita.

It's a stupid rhetoric used lately. SSH anakwenda kuifungua nchi kwa SGR na viwanja vya ndege vinavyozidi kujengwa kila mkoa.
Uchawa ni fedheha!
 
Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.

Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.

Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!

Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!

Mungu ibariki Tanzania!

PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Nape na Makamba muda huu wanaandika sana hizi nyuzi za kumkejeli SSH na mawaziri wake wapya.

Wapo incompetent japokuwa wanajidanganya kuwa wao ni mawaziri bora.
 
Huu ndiyo mwanzo wangu wa kufikiri ulipoanzia! Kwani maana ya R nne ni kuteua na kutengua kila kukicha. Kwamba uwezo wake wa kutambua watendaji wazuri wanaomfaa umeishia kama mama anachagua nyanya sokoni? Kwamba hana kazi zaidi ya kuteua na kutengua?

Samia hafai!
Una uhakika gani kama kazi yake ni kuteua na kutengua?, au kwa sababu hicho ndicho unachokiona ukitazama televisheni yako?.

Miradi yote aliyoiacha hayati JPM inamaliziwa muda huu, mwishoni mwa mwezi huu pale Busisi linafunguliwa daraja alilolijenga hayati.

Mwendo kasi unajengwa kwa kasi njia hii ya kuelekea Mbagala. Bandari yetu inao ufanisi unaobadilika tunaondokana na business as usual.

SSH anaweza kuwa bora kikazi kuliko watangalizi wote watano.
 
Una uhakika gani kama kazi yake ni kuteua na kutengua?, au kwa sababu hicho ndicho unachokiona ukitazama televisheni yako?.

Miradi yote aliyoiacha hayati JPM inamaliziwa muda huu, mwishoni mwa mwezi huu pale Busisi linafunguliwa daraja alilolijenga hayati.

Mwendo kasi unajengwa kwa kasi njia hii ya kuelekea Mbagala. Bandari yetu inao ufanisi unaobadilika tunaondokana na business as usual.

SSH anaweza kuwa bora kikazi kuliko watangalizi wote watano.
Chawa katika ubora wako!
 
Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.

Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi
Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.
Viraka vingi hukamilisha suti kamili. Inanikumbusha zile Jeans za kimarekani zilivyojaa viraka na kuwa pendwa mtaani. Mtaelewa tu. Tupo katika mabadiliko mazito sana na muhimu sana.
Ni ama Tanzania tunajivua ujinga wa miaka 60 au tunaukumbatia milele. Tumuunge mkono MAMA ili tufike nchi ya ahadi.
 
Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.
Viraka vingi hukamilisha suti kamili. Inanikumbusha zile Jeans za kimarekani zilivyojaa viraka na kuwa pendwa mtaani. Mtaelewa tu. Tupo katika mabadiliko mazito sana na muhimu sana.
Ni ama Tanzania tunajivua ujinga wa miaka 60 au tunaukumbatia milele. Tumuunge mkono MAMA ili tufike nchi ya ahadi.
Hawezi kukuelewa kama alivyoshindwa kumuelewa Samia na anachokifanya.
 
Ni mpumbavu peke yake anayeweza kulinganisha TLS na vyama vya wafanyakazi!

Ni vema ukaficha ujinga wako usifedheheshe familia yako!
Kumbe nawe ni zero brain.
Sikujibu tena. TLS ni nini basi bwana zero brain?
 
Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.

Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba.
Hapana, ni udhaifu katika uongozi kwa sababu unasababisha instability na uncertainty katika uongozi wa nchi. Hayo ni mambo mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa course ya Public Administration atakuambia.

Msimsifie Raisi kapendeza wakati hajavaa nguo, hamumsaidii
 
🤠🤓🤓😂 Pia amedumisha kuvaa ushungi! Ndiyo mambo pekee ameweza!
20240815_094030~2.jpg

Teuzi, tenguzi, ushungi na miwani... Utasikia na hilo nalo mkalishughulikie
 
Huna hoja mkuu Izia, chuki haikusaidii chochote.
Unashindwa kutofautisha kati ya uwezo wa Samia na kazi za Serikali zinazoendelea kwa sababu ya uchawa!

Kazi zinazoendelea si kwa sababu ya Samia hata asingekuwepo kazi hizo zingefanyika!

Kwa ujinga na uchawa wako unadhani zinafanyika kwa sababu ya Samia!

Hoja iliyopo hapa ni uwezo wa Samia kusimamia watu wake aliyowateua mwenyewe! Hana uwezo, anawahofia na anawaogopa hivyo silaha aliyobaki nayo ni kuwateua na kuwatengua ili mradi awajaze hofu washindwe kutekekeza majukumu yao!

Kwako hilo unalishangilia bila tafakuri kwa sababu ya uchawa!
 
Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.
Viraka vingi hukamilisha suti kamili. Inanikumbusha zile Jeans za kimarekani zilivyojaa viraka na kuwa pendwa mtaani. Mtaelewa tu. Tupo katika mabadiliko mazito sana na muhimu sana.
Ni ama Tanzania tunajivua ujinga wa miaka 60 au tunaukumbatia milele. Tumuunge mkono MAMA ili tufike nchi ya ahadi.
Kwa hiyo anabandika na kubandua viraka!
Huko ni kutojiamini!
 
Kumbe nawe ni zero brain.
Sikujibu tena. TLS ni nini basi bwana zero brain?
Ulivyo na fuvu tupu lililobeba nywele unafananisha TLS na CWT! TLS ni chama cha taaluma kwa kazi mahsusi kwa kibali maalumu ambacho kama huna huwezi ku-practice hata kama una ujuzi!
 
Hapana, ni udhaifu katika uongozi kwa sababu unasababisha instability na uncertainty katika uongozi wa nchi. Hayo ni mambo mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa course ya Public Administration atakuambia.

Msimsifie Raisi kapendeza wakati hajavaa nguo, hamumsaidii
Hiyo instability na uncertainty inafanya serikali mzima kuwa dhaifu!
 
Back
Top Bottom