Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Tuwe na mfumo ambao unamlazimiasha Rais kuumiza kichwa sana wakati anaunda timu yake.
Ule mfumo walio nao Kenya na Marekani ambako mawaziri wateuliwa na Rais kisha wanakuwa approved na Bunge kabla ya kupewa madaraka ni mzuri sana.
Hii teua teua kila siku na kuhamisha kila kukicha haileti tija katika maendeleo ya taifa na pengine inatokana na Rais kukosa umakini.
Longevity ni aspect muhimu sana katika uongozi na maendeleo. Hauwezi kubadilisha watu kila siku ukategemea matokeo makubwa.
Ule mfumo walio nao Kenya na Marekani ambako mawaziri wateuliwa na Rais kisha wanakuwa approved na Bunge kabla ya kupewa madaraka ni mzuri sana.
Hii teua teua kila siku na kuhamisha kila kukicha haileti tija katika maendeleo ya taifa na pengine inatokana na Rais kukosa umakini.
Longevity ni aspect muhimu sana katika uongozi na maendeleo. Hauwezi kubadilisha watu kila siku ukategemea matokeo makubwa.