Uteuzi: Papa Fransisko amteua Padre Lazarus Vitalis Msimbe kuwa Askofu wa Jimbo la Morogoro

Uteuzi: Papa Fransisko amteua Padre Lazarus Vitalis Msimbe kuwa Askofu wa Jimbo la Morogoro

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Taarifa Kutoka Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania.

Screenshot_20210531-140001.jpg

Padre Lazarus Vitalis Msimbe ameteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo katoliki Morogoro. Uteuzi huo umefanywa na Papa Fransisko na kutolewa taarifa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Mei 31, 2021

Lazarus Msimbe alizaliwa Desemba 27, 1963 Homboza, Morogoro na alipata upadrisho Juni 21, 1998 Parokia ya Mwenge Jimbo Kuu Dar es Salaam
 
Namshukuru Mungu na kutoa pongezi kwa baba askofu mteule na asante kwa Baba mtakatifu kwa kutuletea kiongozi wa kiroho kwa kanisa la katoliki morogoro.
Bwana Mungu awe nae katika yote.
 
Padre Lazarus Vitalis Msimbe ameteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo katoliki Morogoro. Uteuzi huo umefanywa na Papa Fransisko na kutolewa taarifa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Mei 31, 2021

Lazarus Msimbe alizaliwa Desemba 27, 1963 Homboza, Morogoro na alipata upadrisho Juni 21, 1998 Parokia ya Mwenge Jimbo Kuu Dar es Salaam
1.jpg
 
Hongera zake maana alikuwa anakaimu for a year naona hii ni kama confirmation baada ya kustaafu baba T.Mkude
 
Baba askofu, kuna tofauti gani kati ya baba mwenye watoto na huyu askofu asiyekuwa na mtoto? Askofu atafutiwe jina jingine awaachie wenye hadhi ya kuitwa baba.
 
Taarifa Kutoka Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania.


Padre Lazarus Vitalis Msimbe ameteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo katoliki Morogoro. Uteuzi huo umefanywa na Papa Fransisko na kutolewa taarifa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Mei 31, 2021

Lazarus Msimbe alizaliwa Desemba 27, 1963 Homboza, Morogoro na alipata upadrisho Juni 21, 1998 Parokia ya Mwenge Jimbo Kuu Dar es Salaam
Bila Shaka upo na picha yake. Hebu itupie hapa kwa manufaa ya tusiomfahamu.
 
Sijui ni kwa nini.Mapadre wengi wenye majina yanayoishia na herufi US eg Thadeus,Eusebius,Armachius,Methodius etc hubahatika ssana kuteuliwa kuwa Askofu.
 
Back
Top Bottom