Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe walilalamika chini chini kuwa wapo chini ya polisi. naona wameletewa aina ya mtu waliyemtaka.Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Unashangaa nini yule ni Kamishna mkuu.Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Na huyu ni kamishna mdogo?Unashangaa nini yule ni Kamishna mkuu.
Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Kijuu ni meja jeneraliBregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RRC ni Bregadier General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Safari ya Polisi imeivaYaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Seriouslyyyyy....??Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
JWT= Jeshi la Wananchi wa TanganyikaSafi sana mwanasheria wa JWT John Julius Mbungo..sasa tuchape kazi