UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

Hivi nyie kila uteuzi mnauliza kanda,nyie ni makabila cjawahi ona huenda nikarudi kijijini kuongea na watanzania wenzangu wasio kuwa na ushamba wa kutumia smart phone badala ya kutumia smart phone kufuatilia mambo ya msingi! kwani msukuma kama anasifa za kuteuliwa rais asiteuliwe? Geukeni mawe basi ili tujengee misingi kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu!!!
kwa hiyo wachagga hakuna mwenye sifa,mbona hateui huku?
 
Hapo jamaa naona analamba mishahara miwili kwa mpigo,Watu na bahati zao
 
Hii kiprotokali na hierarchy ya vyeo vya kijeshi imekaaje tena?
Brigedia General kuwa chini ya Commissioner of Police?
Sielewi!!
Vip pale wazir ana batchelor or masters then naibu wazir Professor?
Kuna shida kwani?
 
Ni maoni yangu kwamba hicho cheo angemteua hata wakili wa kujitegemea

aliyebobea kwenye mashauri ya jinai ie grand coruption and fraud cases.

hicho cheo kinahitaji mzoefu wa makesi ya mahakamani niliyotaja

hapo juu
 
Tafuta basi cv yake uone ilivyosheheni ujajusi halafu upige kelele.Hela yetu ilopigwa na mafisadi ikafichwa nje lazima irudi yote
kwenye taasisi ya upelelezi hauhitaji ujasusi, unahitaji knowledge ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kitaaluma. sio ujasusi wa kijeshi, hapo takukuru kuna hadi waalumu, wanachunguza waalimu, wahasibu, wanachunguza wahasibu, wachunguzi wapo wa aina nyingi, hivyo ni taasisi isiyohitaji mtu anayetumia manguvu (jeshi) bali ujuzi wa akili kumkichwa, unaijua takukuru lakini? ndo maana wanafanya kazi hata luck up ya kuweka mahabusu wanaowakamata hawana, ni kwasababu ni taasisi inayotakiwa kutumia akili sio nguvu. upo hapo?
 
Kwa hiyo makamanda wanatumia nguvu na siyo akili??

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa unamwondoaje kamanda wa jeshi toka kuongoza wanajeshi ukamleta huku kuongoza raia wasiojua hata kushika bunduki? (zaidi ya vibastola wasivyojua kutumia)? huoni wastage of resources? kwanza ni kumdharau huyo mwanajeshi. yeye hajafunzwa kuongoza raia, amefunzwa kuongoza wanajeshi wenzie. ni sawa na kumwondoa profesa wa chuo aache kufundisha watoto wetu ili akawe kiongozi....kama wangekuwa na utofauti wowote Muhongo asingetolewa kwasababu kati ya maprof hao muhongo ndio ana akili kuliko wote na alikuwa anafundisha chuo bora kuliko wote (University of Pretoria) kabla hajateuliwa na jk, lakini hola...wale wasio hata na masters wamemzidi utendaji.
 
kwenye taasisi ya upelelezi hauhitaji ujasusi, unahitaji knowledge ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kitaaluma. sio ujasusi wa kijeshi, hapo takukuru kuna hadi waalumu, wanachunguza waalimu, wahasibu, wanachunguza wahasibu, wachunguzi wapo wa aina nyingi, hivyo ni taasisi isiyohitaji mtu anayetumia manguvu (jeshi) bali ujuzi wa akili kumkichwa, unaijua takukuru lakini? ndo maana wanafanya kazi hata luck up ya kuweka mahabusu wanaowakamata hawana, ni kwasababu ni taasisi inayotakiwa kutumia akili sio nguvu. upo hapo?
umesoma wasifu wake?au kumuona mwanajeshi tu basi umeona atatumia nguvu?hujui kama jeshini kuna wapelelezi?wahasibu,walimu na hata madaktari bingwa?aliekwambia jeshini hawatumii akili ni nani wewe Tanapa
 
Safi Sana,

Bado Waziri wa Nishati.....
Utabiri wangu atamthibitisha home boy

Kama isingekuwa Lisu kummwagia ndimu ya jicho ya ukabila leo hii angekuwa ameshafanya yake. Sasa na hivi tena Lisu amelitia togwa nzi na bombadia ndio hajui aanze na lipi.
 
umesoma wasifu wake?au kumuona mwanajeshi tu basi umeona atatumia nguvu?hujui kama jeshini kuna wapelelezi?wahasibu,walimu na hata madaktari bingwa?aliekwambia jeshini hawatumii akili ni nani wewe Tanapa
upelelezi wa mwanajeshi utalinganisha na upelelezi wa polisi? una akili wewe, unajua unachoongea? upelelezi wa makosa ya jinai unaotakiwa kulenga uendeshaji wa makosa ya jinai utalinganisha na upelelezi wa nchi/mwanajeshi?....hivyo chukua mpelelezi wa mwanajeshi yeyote akutajie kifungu chochote cha kwenye Penal Code Cap.16 ataeleza vizuri, na unajua mtu anapopeleleza anatakiwa kuwa na knowledge ya hayo makitu? na polisi ndio wanaoweza. anajua walau taratibu za uendeshaji wa mashitaka huyo, kipi kianze kipi kifuatwe, kipi kikusanywe kipi kisikusanywe, mtu gani ahojiwe na mtu gani asihojiwe, mtu gani awe shahidi na mtu gani awe mshitakiwa? we upo kada gani mkuu?
 
Acha ujinga kama kitu hukujui kaa kimya sio kila jambo ni kushabikia tu.Hujui hata seniority za jeshi la polisi na wananchi are incomparable

Ukisema Vyeo vya Jeshi la Polisi na JWTZ are incomparable maana yake wakiwa pamoja huwezi kulinganisha na hivyo hawawezi kupigiana salute kwa kuwa huwezi kujua yupi ni Mkubwa?
kama hayo ndio mawazo au Fikra zako si sahihi!
 
upelelezi wa mwanajeshi utalinganisha na upelelezi wa polisi? una akili wewe, unajua unachoongea? upelelezi wa makosa ya jinai unaotakiwa kulenga uendeshaji wa makosa ya jinai utalinganisha na upelelezi wa nchi/mwanajeshi?....hivyo chukua mpelelezi wa mwanajeshi yeyote akutajie kifungu chochote cha kwenye Penal Code Cap.16 ataeleza vizuri, na unajua mtu anapopeleleza anatakiwa kuwa na knowledge ya hayo makitu? na polisi ndio wanaoweza. anajua walau taratibu za uendeshaji wa mashitaka huyo, kipi kianze kipi kifuatwe, kipi kikusanywe kipi kisikusanywe, mtu gani ahojiwe na mtu gani asihojiwe, mtu gani awe shahidi na mtu gani awe mshitakiwa? we upo kada gani mkuu?
Naona tatizo lako ni kwa nini kateuliwa mwanajeshi,hutaki kujikita kwenye wasifu wake pamoja na muundo mzima wa Takukuru.
Meja Gen.Kamazima aliwahi kuongoza PCB
 
Acha uongo wewe Brigedia ampigii salute hata IGP kawadanganye mafisi huko,unajua cheo cha Brigedia wewe ukubwa wake

Uzuri wa Mijadala kama hii haihitaji Matusi wala Kshfa kama kweli unataka kuelimishwa sio kubisha!

Mie nimezungumzia Bregadia Generali nawe ukaja kuandika Bregadia ukidhani ni cheo kimoja au Bregadia Jeneral kifupi chake ni Bregadia,

Labda nikupe Formula rahisi tu, siku nyingine kukiwa na dhifa ya Kitaifa Ikulu ( AU POPOTE) tazama wanavyokaa Askari wa Majeshi yetu kwa Protocal ndio utajua Kamishna wa Jeshi la Polisi na Bregadia generali wa JWTZ yupi ni Mkubwa

Unajua kuwa ASP wa Jeshi la Polisi akikutana Luteni wa JWTZ basi luteni anapiga Salute?
 
Hili nimeona Tanzania tu, uongozi awamu ya tano. Kazi kweli kweli. Bregadia general kuwa naibu PCCB!
 
Back
Top Bottom