Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamishina mkuu hawez kua juu ya brigedia general kwenye seniority za kijeshiUnashangaa nini yule ni Kamishna mkuu.
Mkuu hujanielewa "Mkuu" hapo nilikuwa namaanisha wewe na wala si Kamishna Mkuu! Hapo wataitwa Mkurugenzi Mkuu na Naibu Mkurugenzi (DG na Deputy DG).Na huyu ni kamishna mdogo?
Kabisa....nzuri sana hiyo.Safi sana mwanasheria wa JWT John Julius Mbungo..sasa tuchape kazi
Acha ujinga kama kitu hukujui kaa kimya sio kila jambo ni kushabikia tu.Hujui hata seniority za jeshi la polisi na wananchi are incomparableBregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Tafuta basi cv yake uone ilivyosheheni ujajusi halafu upige kelele.Hela yetu ilopigwa na mafisadi ikafichwa nje lazima irudi yotetatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Mkuu hapo hawapo jeshini wapo uraiani na protocally ya kiraia iko tofauti. Halafu tambua seniority ya JWTZ iko tofauti na ya Polisi.Kamishina mkuu hawez kua juu ya brigedia general kwenye seniority za kijeshi
Kwa ni shida ni nini?Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?
Ni kamishina msaidizi wa polisiUnashangaa nini yule ni Kamishna mkuu.
HahaasWakati miaka yote Zenji mnateuana na kushika nafasi zote watu wa Ijumaa tu, sisi wa Jumapili tulikuwa watulivu kama hatuoni. Sasa ni zamu yetu watu wa Jumapili. Tulieni na ninyi kama hamuoni vile.
Kwa hiyo makamanda wanatumia nguvu na siyo akili??tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Acha uongo wewe Brigedia ampigii salute hata IGP kawadanganye mafisi huko,unajua cheo cha Brigedia wewe ukubwa wakeBregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Utengue mkuuYaani burgedia jeneral anaenda kuwa chini ya mtu ambae ni cheo cha RPC tu,kiprotoko burigedia ni mtu mkubwa zaidi ya huyo boss wa pccb maana mlowa alikua kamishina msaidizi wa polisi.Hapa uteuzi huu haujakaa vema
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama amestafu ila kapewa shavu hilo unadhani kunaubaya. Yaani kukaa mtaani kwa staff kijeshi na kupewa unaibu wa pccb ubaya ni upi?Utengue mkuu
Mkuu taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa so taasisi ya kijeshi .hivyo watumishi wake wanatoka sector mbalimbali .ikiwepo police.jeshi.sheria.ICT.tiss .RAIA Wa taaluma mbalimbali. Kazibwa takukuru ni za kitaluma sio za kijeshi wala kipolisiKamishina mkuu hawez kua juu ya brigedia general kwenye seniority za kijeshi
Hii kiprotokali na hierarchy ya vyeo vya kijeshi imekaaje tena?
Ili wasaidiane kulisha homeSafi Sana,
Bado Waziri wa Nishati.....
Utabiri wangu atamthibitisha home boy