Uzuri wa Mijadala kama hii haihitaji Matusi wala Kshfa kama kweli unataka kuelimishwa sio kubisha!
Mie nimezungumzia Bregadia Generali nawe ukaja kuandika Bregadia ukidhani ni cheo kimoja au Bregadia Jeneral kifupi chake ni Bregadia,
Labda nikupe Formula rahisi tu, siku nyingine kukiwa na dhifa ya Kitaifa Ikulu ( AU POPOTE) tazama wanavyokaa Askari wa Majeshi yetu kwa Protocal ndio utajua Kamishna wa Jeshi la Polisi na Bregadia generali wa JWTZ yupi ni Mkubwa
Unajua kuwa ASP wa Jeshi la Polisi akikutana Luteni wa JWTZ basi luteni anapiga Salute?