UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!


Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Hivi hawa watu wataweza kufanya kazi pamoja kweli? Au ndiyo kila mtu atajiona ni mkubwa kuliko mwenzake?
 
Naibu ni mtaalamu na mtendaji,sasa mtu kafundishwa kuendesha vifaru na magwaride ataweza wapi? Sana sana atatumia nguvu badala ya utaalamu
 
Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!


Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Kwa Sabab gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa Mijadala kama hii haihitaji Matusi wala Kshfa kama kweli unataka kuelimishwa sio kubisha!

Mie nimezungumzia Bregadia Generali nawe ukaja kuandika Bregadia ukidhani ni cheo kimoja au Bregadia Jeneral kifupi chake ni Bregadia,

Labda nikupe Formula rahisi tu, siku nyingine kukiwa na dhifa ya Kitaifa Ikulu ( AU POPOTE) tazama wanavyokaa Askari wa Majeshi yetu kwa Protocal ndio utajua Kamishna wa Jeshi la Polisi na Bregadia generali wa JWTZ yupi ni Mkubwa

Unajua kuwa ASP wa Jeshi la Polisi akikutana Luteni wa JWTZ basi luteni anapiga Salute?
Asp inakuwa commissioned na raisi??

Kama hapana basi ni uongo labda awe Luteni nanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Unastahili kuchapwa viboko, kumi na viwili asubuhi na kumi na viwili jioni!!!!!. Uaanzaje kudhalilisha vyombo vyetu vya ulinzi.!?
 
Ni maoni yangu kwamba hicho cheo angemteua hata wakili wa kujitegemea

aliyebobea kwenye mashauri ya jinai ie grand coruption and fraud cases.

hicho cheo kinahitaji mzoefu wa makesi ya mahakamani niliyotaja

hapo juu
Mungo ni wakili weewe tena alikuwa mwanasheria mkuu wa JWTZ
 
tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Hii misconception kuwa jeshini hakuna akili, halafu wajinga nyie mnajaza server humu kuuliza Ni lini ajira za jeshi zinatoka mnakera sana. Utakuta ninyi wenye akili mnakimbilia jeshini kwenye kazi isiyotumia akili. Hovyo kabisa
 
tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
Mkuu hao officers wanaotoka jeshini wanafundishwa uongozi vizuri sana. Na juu ya yote wanafundishwa uzalendo sanaaa japo wapo baadhi sio wazalendo kihivyo.
 
Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!


Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!
Unataka kulinganisha Meja Jenerali na Kamishna wa Polisi,.heshimu majenerali aisee.
Yaani Brigedia General anakwenda kuwa chini ya Polisi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu anakuwa mwanafunzi wa mwafunzi wake!
Si poa kiuhalisia!

Ni Kama Governor Benno Ndulu ndie alikuwa Mwalimu wa Dkt Mpango Waziri wa Fedha Udsm laki Leo Benno Ndulu Bosi wake ni Mwanafunzi wake!

1977 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Pius Msekwa alimteua Chipukizi wa Chama Jakaya Kikwete kuwa Msaidizi wake kwny ku harmonize Tanu na Asp Kisiwandui Zanzibar Miaka 30 baadae 2007 Jakaya Kikwete akiwa Mwenyekt akamteua Pius Msekwa kuwa Msaidizi wake wa Uenykt wa CCM ( Makamu Mwenykt CCM Bara)
 
Back
Top Bottom