Dogo1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,357
- 577
Utaelewa tu, ni suala LA muda.Hii kiprotokali na hierarchy ya vyeo vya kijeshi imekaaje tena?
Brigedia General kuwa chini ya Commissioner of Police?
Sielewi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaelewa tu, ni suala LA muda.Hii kiprotokali na hierarchy ya vyeo vya kijeshi imekaaje tena?
Brigedia General kuwa chini ya Commissioner of Police?
Sielewi!!
PCCB siyo mahakamani ndugu, PCCB kiutendaji ni sawa na kituo cha polisi.Ni maoni yangu kwamba hicho cheo angemteua hata wakili wa kujitegemea
aliyebobea kwenye mashauri ya jinai ie grand coruption and fraud cases.
hicho cheo kinahitaji mzoefu wa makesi ya mahakamani niliyotaja
hapo juu
Mkuu baadhi hawaelewi hata mandates za PCCB, wasemehe burekwenye taasisi ya upelelezi hauhitaji ujasusi, unahitaji knowledge ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kitaaluma. sio ujasusi wa kijeshi, hapo takukuru kuna hadi waalumu, wanachunguza waalimu, wahasibu, wanachunguza wahasibu, wachunguzi wapo wa aina nyingi, hivyo ni taasisi isiyohitaji mtu anayetumia manguvu (jeshi) bali ujuzi wa akili kumkichwa, unaijua takukuru lakini? ndo maana wanafanya kazi hata luck up ya kuweka mahabusu wanaowakamata hawana, ni kwasababu ni taasisi inayotakiwa kutumia akili sio nguvu. upo hapo?
Hizi stori huwa ni za kuruta wakiwa guard.Commissioner of Police ni sawa na Luteni Usu wa JWTZ!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Commissioner wa Polisi ni sawa na Maj Gen....hivyo ni sawa kwa Brig kuwa chini ya Commissioner wa polisi.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Rais John Magufuli amemteua Brigedia Jenerali John Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU).
Uteuzi huu unaanza rasmi leo.
View attachment 571632
Kuruta wengi hawajui mambo mengi.Kuna sehemu nimesoma, nafikiri ni Katiba ya JMT. Viongozi wenye diplomatic passports ni wengi wakiwemo Commissioner of Police(CP), Kamishina wa Magereza, Kamishina wa Zimamoto, Meja Jenerali na Kuendelea. Hawa wanakuwa na diplomatic status mpaka wanaingia kaburini. Hakuna Brigedia Jenerali mwenye diplomatic status kwenye katiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Commissioner of Police ni sawa na Luteni Usu wa JWTZ!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Huyo amekariri, usimlaumu mkuuUkisema Vyeo vya Jeshi la Polisi na JWTZ are incomparable maana yake wakiwa pamoja huwezi kulinganisha na hivyo hawawezi kupigiana salute kwa kuwa huwezi kujua yupi ni Mkubwa?
kama hayo ndio mawazo au Fikra zako si sahihi!
Tafsiri ya neno jeshi kwa kiingereza.Jeshi lipi? la Polisi, kujenga Taifa, Magereza , zimamoto au la Wananchi wa Tanzania?
Wachekani?😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Army.Tafsiri ya neno jeshi kwa kiingereza.
ForceTafsiri ya neno jeshi kwa kiingereza.
Tafsiri ya neno jeshi kwa kiingereza.
Kama force ni jeshi, military ni nini? Military force ni nini?Tafsiri ya neno Jeshi kwa Kiingereza ni Forces
Mf.
JWTZ inaitwa Tanzania People's defense Forces
Jeshi la Polisi linaitwa Tanzania Police Forces
Haya Tengeneza hoja uliyotaka kutengeneza kutoka kwny Tafsiri hiyo!
Nafasi ya ZZK hiyoSafi Sana,
Bado Waziri wa Nishati.....
Utabiri wangu atamthibitisha home boy
Maana yake jeshi la kivitaKama force ni jeshi, military ni nini? Military force ni nini?
Kama force ni jeshi, military ni nini?