Justice minister
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,173
- 823
Full kamishna ndio cheo gani cha kijeshi? unavijua vyeo vya kijeshi wewe?Bregadia General Hata Kama angebaki Jeshini bado angekuwa anampigia Salute Full Kamishna wa Jeshi la Polisi na Valentino alikuwa Full Kamishna kwa Cheo cha Kijeshi!
Walipochemka ni Kagera
RC ni Meja General Kijuu Halafu Msaidizi wake ni Kamishna Diwani Athumani!