UTEUZI: Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

Swali military ni nini?
 
tatizo la mkulu anaamini akimteua mtu kuwa brigedia, kamanda etc, kwenye masuala yanayotakiwa kutumia akili na wala sio nguvu ndio ataleta ufanisi. hata hivyo nampongeza kwa kazi zake.
kuna meja jeneral mmoja kamchagua Katibu Mkuu kwenye wizara nyeti hana msaada wowote zaidi ya kuwa mzigo tu
 
Hujui Mamsuala ya kijeshi we mjinga wewe. Luteni wa jeshi aweza kuwa mkubwa kuliko mlowola sembuse brigedier?Kachochee maharage acha kuchangia usiyoyajua
 
Yaani burgedia jeneral anaenda kuwa chini ya mtu ambae ni cheo cha RPC tu,kiprotoko burigedia ni mtu mkubwa zaidi ya huyo boss wa pccb maana mlowa alikua kamishina msaidizi wa polisi.Hapa uteuzi huu haujakaa vema

Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu mkuu wizara ya maliasiri ana cheo gani? Mbona anafanya kazi na raia?
 
Hapo jamaa naona analamba mishahara miwili kwa mpigo,Watu na bahati zao
Hakuna cha mishahara miwili hapo, atafanyia kazi alipopewa teuzi lakini atalipwa sehemu moja tu, labda kama kuna posho kwenye huo uteuzi ndio atakuwa anakula.

[emoji56][emoji94][emoji109]with my weather[emoji23][emoji23]
 


Tatizo lenu mkimsikia Fulani mwanajeshi mnadhania wanatumia nguvu tu kama ni hivyo wangejiongoza kuruta na brigadier's wasingekuwepo hivi kuna eneo linalohitaji utumiaji wa akili kama kwenye vita au jeshini?hawa ndio wanao plan na kuumiza vichwa kuliko taasisi yeyote ile


Comment yako inaonyesha ulivyo kariri na uelewa mdogo ,

By the way jamaa ni mwanasheria, wakili ,jasusi nk nk

Bado unazo hizo doubts zako au hujui jeshini kuna hackers ,doctors ,lawyers nk
Na inawezekana jamaa ana experience kubwa kwa field aliyofanyia kazi kuliko hao unaotawataka
 
Unaposema brigedia au brigedia jenerali elewa ni cheo kimoja

[emoji56][emoji94][emoji109]with my weather[emoji23][emoji23]
 
Swali military ni nini?

Unapouliza swali ukijibiwa katika ustaarabu wa kawaida lazima ulete mrejesho Kama umeelewa kabla ya kuuliza lingine
Uliuliza Jeshi kwa Kiingereza ni nini nikakujibu ni Forces sasa badala ya kujenga hoja yako kuanzia hapo au kutoa maoni yako kwny Hilo jibu langu unakimbilia kuuliza swali lingine, Mjadala huwa hauendi hivyo
 
mi hata sielewi tunakolazimishwa kwenda
maana makamanda wa jeshi wanapewaga hadi nafasi za kichama..
na kuna vyeo hupandi hadi uwe na kadi hai ya chichemi..
wakupambana na adui asivuke mpaka anapambana na kile ambacho wengine hukitumia kushawishi kupitisha sheria ama kukuwadia wanaume ndani ya vyama..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna point nilitaka kuiweka sawa upate kuelewa, deputy kamishina wa polisi ni sawa na kanali kwa jwtz Kamishina wa polisi cheo hiki ni sawa na bregadia jenerali(*) , inspector jenerali wa polisi ni sawa na meja jenerali kwa jwtz(**).
na ndio mana silo kuna watu 2 anawapigia saluti kwa sasa luteni jenerali (***) na jenerali (****)

For this case Valentino ni mkubwa kwa kuwa alipata rank kabla ya Mbungo japo rank ni sawa lakini ni nani alianza kukipata hicho cheo, by similar case utaona hapo kagera kuwa Kiju ni mkubwa kwa Diwani Athmani
nipo tayari kukosolewa
 
Sawa kivipi, uzito wa mwili, kijinsia au umri? fafanua
Kicheo sawa, tatizo lipo kwenye madaraka na utendaji.
Hapo kwenye uteuzi sijaona tatizo kwani cheo madaraka na uteuzi ni vitu tofauti.

Lazima muelewe kwanza kwenye madaraka mtu anayopewa na rais basi yanamata kuliko cheo chake.

Mtu anaweza kuwa {Meja general, brigedia general, DCP, SSP au hata SACP} akipewa madaraka na rais ya kuwa Mkuu wa mkoa basi elewa kwa madaraka yake lazima apigiwe Salute na CDF au IGP, kwa mantiki hio wote walio chini ya hao ni lazima kusalute.

[emoji56][emoji94][emoji109]with my weather[emoji23][emoji23]
 
Mwalimu anakuwa mwanafunzi wa mwafunzi wake!
Si poa kiuhalisia!
Watanzania wengi uelewa wetu katika masuala mbalimbali ya kitaalumu ni mdogo

Tunaokoteleza stori mitaani mwisho wa siku mtu anakomalia kitu utadhani ana uhakika nacho bila kujua kuwa watu wanaoelewa wanamchila tu.
Munawezaje kumshusha mtu aliyebobea katika utumishi katika taasisi inayoshughulikia upelelezi wa makosa ya jinai na kumkweza ambaye kazi zake hazihusiani na jinai

Mlowola amebobea katika upelelezi wa masuala ya wizi wa fedha na kughushi na ni wasomi wachache waliopata kozi za namna hiyo nje ya nchi katika majeshi yetu na wengi wao wa kizazi cha Mlowola walitoka polisi, maana wakati huo Takukuru walikuwa ni kitengo ndani ya polisi.

Nani awe juu ya nani kwangu mimi si suala la kuzingatia, la kuzingatia nani mwenye sifa za kiueledi za kuongoza TAKUKURU kama yalivyo majukumu ya taasisi hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umeshindwa kuona logic ya comment yangu.
Kwa vyovyote vile cheo cha Brig Gen ni kikubwa kijeshi ukilinganisha na Comissioner.
Kumbuka kuwa Taasisi ya Takukuru ilikuwa ikiongozwa na Brig General Kamazima hapo nyuma.
Kimsingi huyu Brig Gen Mbungo amepewa majukumu madogo kulingana na cheo chake, na kuwa chini ya mtu aliye chini kijeshi.
Hii inaweza leta figisu figisu!
 
natamani afanye mabadiliko ,amtoe samia suluhu .amweke venance mabheyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…