UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi za TTCL, ATCL, NARCO, POSTA, UCSAF na TEMDO | Septemba 25, 2024

UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi za TTCL, ATCL, NARCO, POSTA, UCSAF na TEMDO | Septemba 25, 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
IMG_20240926_021532_630.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
 
Mama amepoteza mvuto kwa kiwango cha Kutisha!
Mimi nauliza swali tofauti, huenda wewe unaweza kusaidia jibu.

Kati ya hao walio teuliwa ni wangapi ni kutoka polisi; akina Mulilo?
Hivi hawa huwa wanakwenda wapi baada ya kustaafu? Kuwa wenye viti wa chama cha CCM bila shaka!

Kuhusu "kupoteza mvuto" kusikufanye kupoteza umakini na lengo.

Huyu anazo dalili zote za kung'ang'ania kubaki madarakani kwa nguvu. Hata kama huko ndani ya CCM kwenyewe hawamtaki; atawavuruga sana ari mradi aendelee kushika madaraka 2025.

Wakati ni huu sasa kuweka mikakati ya kuzuia uhayawani huo.
Tanzania itakuwa ni nchi mbovu kupindukia iwapo kutakuwepo na miaka mitano ya huyu mwanamke. Atafanya uharibifu mkubwa sana.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Kwani hizi teuzi zake na speach yake kwa wale mapolisi vina tofauti gani?
Akitaka ajiteue hata yeye, hakuna anayejali
 
Prof Neema Mori si ni yule m/kiti pia wa bodi kule Brela au mfanano wa majina? Mteuaji analijua hili kweli?. Vipi maprofesa na madaktari wengine si wangepewa na wenyewe kuliko kurundika vyeo vya uenyekiti wa Bodi Kwa mtu mmoja?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Hayo mabodi na hayo mashirika ni hasara tupu kwa nchi.
 
Mimi nauliza swali tofauti, huenda wewe unaweza kusaidia jibu.

Kati ya hao walio teuliwa ni wangapi ni kutoka polisi; akina Mulilo?
Hivi hawa huwa wanakwenda wapi baada ya kustaafu? Kuwa wenye viti wa chama cha CCM bila shaka!

Kuhusu "kupoteza mvuto" kusikufanye kupoteza umakini na lengo.

Huyu anazo dalili zote za kung'ang'ania kubaki madarakani kwa nguvu. Hata kama huko ndani ya CCM kwenyewe hawamtaki; atawavuruga sana ari mradi aendelee kushika madaraka 2025.

Wakati ni huu sasa kuweka mikakati ya kuzuia uhayawani huo.
Tanzania itakuwa ni nchi mbovu kupindukia iwapo kutakuwepo na miaka mitano ya huyu mwanamke. Atafanya uharibifu mkubwa sana.
Nani kasema hawamtaki
 
Mimi nauliza swali tofauti, huenda wewe unaweza kusaidia jibu.

Kati ya hao walio teuliwa ni wangapi ni kutoka polisi; akina Mulilo?
Hivi hawa huwa wanakwenda wapi baada ya kustaafu? Kuwa wenye viti wa chama cha CCM bila shaka!

Kuhusu "kupoteza mvuto" kusikufanye kupoteza umakini na lengo.

Huyu anazo dalili zote za kung'ang'ania kubaki madarakani kwa nguvu. Hata kama huko ndani ya CCM kwenyewe hawamtaki; atawavuruga sana ari mradi aendelee kushika madaraka 2025.

Wakati ni huu sasa kuweka mikakati ya kuzuia uhayawani huo.
Tanzania itakuwa ni nchi mbovu kupindukia iwapo kutakuwepo na miaka mitano ya huyu mwanamke. Atafanya uharibifu mkubwa sana.
Valentino Mlowola ni Kamishna wa Polisi mstaafu.

Vv
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Samia anateua wagalatia tu,anawaogopa, maajabu haya kwaweli,

Tunampenda ila anatuangusha
 
Valentino Mlowola ni Kamishna wa Polisi mstaafu.

Vv
Asante mkuu 'Vyamavingi', kwa taarifa yako.

Hata hivyo nazidi kuwa na maswali mengi juu ya hizi teuzi za mara kwa mara za hawa viongozi wetu.
Kuna mfano wowote wa Mwalimu Mkuu yeyote wa shule (Mstaafu) katika ngazi hizi za uteuzi? Hawa waalimu bila shaka wapo wengi sana nchi hii, na nafasi zao katika jamii huwezi kamwe kuzibeza.
Michango yao katika shughuli za chama cha Mapinduzi siyo haba. Hawa walimu ningedhani wanayo elimu nzuri ya kutosha ya kufanya maamuzi chanya katika nafasi za teuzi hiz.
Sasa itaonekana kama nawapigia debe nao wapate teuzi!
 
Asante mkuu 'Vyamavingi', kwa taarifa yako.

Hata hivyo nazidi kuwa na maswali mengi juu ya hizi teuzi za mara kwa mara za hawa viongozi wetu.
Kuna mfano wowote wa Mwalimu Mkuu yeyote wa shule (Mstaafu) katika ngazi hizi za uteuzi? Hawa waalimu bila shaka wapo wengi sana nchi hii, na nafasi zao katika jamii huwezi kamwe kuzibeza.
Michango yao katika shughuli za chama cha Mapinduzi siyo haba. Hawa walimu ningedhani wanayo elimu nzuri ya kutosha ya kufanya maamuzi chanya katika nafasi za teuzi hiz.
Sasa itaonekana kama nawapigia debe nao wapate teuzi!
Kwa CCM waalimu ni vyombo vya kufanyia kazi kama mifagio tu.
 
Back
Top Bottom