UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi za TTCL, ATCL, NARCO, POSTA, UCSAF na TEMDO | Septemba 25, 2024

UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi za TTCL, ATCL, NARCO, POSTA, UCSAF na TEMDO | Septemba 25, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Kwani hawa Wenyeviti huwa wana Business Management skills zozote zaidi kujua protocol za kiserikali!!
 
Huyu Simbakalia vipi?
mzee mmoja smart sana. alikua EPZA. ila sijui kwanini wanarudishwa waliokwisha kustaafu na kupumzika
kuna rafiki yangu alienda ofisini kwake amsaidie ajira kwa sababu ni washkaji na baba yake. mzee akampa kazi ya kulipwa laki 120. meneja akamuita mshkaji akamuuliza huyu kweli anko wako?
 
Mimi nauliza swali tofauti, huenda wewe unaweza kusaidia jibu.

Kati ya hao walio teuliwa ni wangapi ni kutoka polisi; akina Mulilo?
Hivi hawa huwa wanakwenda wapi baada ya kustaafu? Kuwa wenye viti wa chama cha CCM bila shaka!

Kuhusu "kupoteza mvuto" kusikufanye kupoteza umakini na lengo.

Huyu anazo dalili zote za kung'ang'ania kubaki madarakani kwa nguvu. Hata kama huko ndani ya CCM kwenyewe hawamtaki; atawavuruga sana ari mradi aendelee kushika madaraka 2025.

Wakati ni huu sasa kuweka mikakati ya kuzuia uhayawani huo.
Tanzania itakuwa ni nchi mbovu kupindukia iwapo kutakuwepo na miaka mitano ya huyu mwanamke. Atafanya uharibifu mkubwa sana.
Anajikomba kwa wastaafu;anateua Wazee kuongoza Mashirika alafu baadaye anasema yanaingiza hasara.Bibi kavurugwa,angeapishwa tu Dr Mpango alafu 2025 tutakuja nini cha kufanya!!
 
Sija chukua upande Hadi sasa hivi
Nina kufahamu vizuri mkuu 'august'. Ni kati ya wale wanaokaa kwenye "fensi" wakati wote hata katika maswala yaliyo dhahiri.
Sasa sijui kwa nini huwa namna hiyo na watu wa aina hiyo; pamoja na kwamba ni haki yao.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Kuna mkeka wa ma rc Unatoka karibuni
 
Nina kufahamu vizuri mkuu 'august'. Ni kati ya wale wanaokaa kwenye "fensi" wakati wote hata katika maswala yaliyo dhahiri.
Sasa sijui kwa nini huwa namna hiyo na watu wa aina hiyo; pamoja na kwamba ni haki yao.
Kwenye hili sijachukua upande Kwa sababu bado sijaziona, ama sivyo , nitaeleza ninacho kiona kilicho Bora kwa Taifa na sio kwa mtu binafsi.
 
Ni kwanini Wenyeviti huwa wazee watupu tu?
Huwezi kuona vijana au ni sehemu za kusubiria mwendo
 
Hicho hicho, ndicho kinacho tuliza kila siku humu; siyo kumlilia mtu yeyote.

Kwa hiyo si kweli kwamba "huna upande wowote".
Kwa mantiki hiyo huu uteuzi Una ulakini. Tueleze Tu tutakuelewa ukiwa una vigezo vya kuona huo ulakini
 
Kwa mantiki hiyo huu uteuzi Una ulakini. Tueleze Tu tutakuelewa ukiwa una vigezo vya kuona huo ulakini
Mkuu 'August', imenilazimu nirudi nyuma kutazama ni wapi nilipo andika kuonyesha kwamba naona "kuna ulakini kwenye uteuzi ulio fanywa" kama unavyo dai wewe hapa.
Mimi sijaona popote nilipo fanya madai hayo; kwa hiyo inaonyesha wazi kuwa pengine hukuelewa ulicho soma, au kwa fikra zako tu ume amua kuhusisha maoni yangu na swala hilo la uteuzi; ambayo haikuwa lengo langu.
Hii ina maana unao upande unaovuta maoni yako licha ya kudai huna upande.
 
Anajikomba kwa wastaafu;anateua Wazee kuongoza Mashirika alafu baadaye anasema yanaingiza hasara.Bibi kavurugwa,angeapishwa tu Dr Mpango alafu 2025 tutakuja nini cha kufanya!!
Tulia wewe, sasa mama anamalizia tu awamu ya mgalatia, 2025 mpaka 35 ndio zamu rasmi ya muislamu,
Bado mtasubiri sana😇😇😇😇🤣🤣🤣🤣
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
Nafikiri Sasa umefika wakati muafaka kabisa kwa Tanzania na Wananchi wa nchi hii kufanya TATHMINI YA KINA juu ya TIJA, FAIDA na HASARA ambayo Wananchi wengi zaidi wa Nchi hii wanayopata kutokana na hizi TEUZI za mara kwa Mara zinazofanywa na Mkuu wa nchi.
Teuzi ni nyingi sana kupita kiasi, Je, hizi Teuzi zina maslahi gani yaliyo mapana zaidi kwa Wananchi wengi zaidi wa Nchi hii?
Upembuzi Yakinifu wa kina sana unapaswa kufanyika ili kujua Hasara halisi na Faida halisi zitokanazo na TEUZI hizi za mara kwa mara
 
Mimi nauliza swali tofauti, huenda wewe unaweza kusaidia jibu.

Kati ya hao walio teuliwa ni wangapi ni kutoka polisi; akina Mulilo?
Hivi hawa huwa wanakwenda wapi baada ya kustaafu? Kuwa wenye viti wa chama cha CCM bila shaka!

Kuhusu "kupoteza mvuto" kusikufanye kupoteza umakini na lengo.

Huyu anazo dalili zote za kung'ang'ania kubaki madarakani kwa nguvu. Hata kama huko ndani ya CCM kwenyewe hawamtaki; atawavuruga sana ari mradi aendelee kushika madaraka 2025.

Wakati ni huu sasa kuweka mikakati ya kuzuia uhayawani huo.
Tanzania itakuwa ni nchi mbovu kupindukia iwapo kutakuwepo na miaka mitano ya huyu mwanamke. Atafanya uharibifu mkubwa sana.
Mlowola ni polisi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

i. Bw. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL);

ii. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO);

iii. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Salim Milanzi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania;

iv. Balozi Valentino Longino Mlowola ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano (UCSAF);

v. Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo (TEMDO); na

vi. Prof. Neema Mori ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kipindi cha pili.

Soma Pia: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge
TEMDO hata sioni kazi yao
 
Back
Top Bottom