UTEUZI: Rais Samia amemteua Rais mstaafu, Dkt. Kikwete kuwa mkuu wa chuo UDSM kwa kipindi kingine cha Miaka 6

UTEUZI: Rais Samia amemteua Rais mstaafu, Dkt. Kikwete kuwa mkuu wa chuo UDSM kwa kipindi kingine cha Miaka 6

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Chancellor) kwa kipindi kingine cha miaka sita.

Uteuzi huo utaanza Januari 17, 2022.

My take
Mwenye nacho ataongezewa, naye asiyenacho hata kidogo kile alichonacho atanyang'anywa

2022- Kazi iendelee

View attachment 2064221
Ninachojua kikwete 2022 ndiyo mwisho wake. (RIP In Advance)
sina chuki naye lakini prophecy inasema hivyo..
kusudi mambo yafunguke na mengineyo yaende ni lazima AFE
 
Ninachojua kikwete 2022 ndiyo mwisho wake. (RIP In Advance)
sina chuki naye lakini prophecy inasema hivyo..
kusudi mambo yafunguke na mengineyo yaende ni lazima AFE
Bwana mtumishi huko uliko fika huko.......!!!!!
 
Kwan inashindikana vipi kuwateuwa vijana waliograduate ambao wako mitaan badala ya kuwakumbatia hao wazee kila siku ambao akili zao zilishajichokea.

JIbu untakalopata[emoji117] ni kuwa wao wenye nchi wanaamini hakuna mwanachuo kijana wa kuaminika kupewa madaraka ama nguvu ktk siasa ama vyeo ktk ajira kwakuwa vijana wenyew hawa waliopo ni aina ya Wale wa mirinda nyeusi[emoji23], wabetiji, waliokubuhu kwenye ulevi na ushenz wa kila aina, so acha wazee waendelee kulaa bata,.

Hayo si maneno yangu, ni maneno ya yule alieanzisha mfumo wa ukitaka ajira, onesha uzoefu wa miaka10 [emoji23][emoji23]
Ingizo la vijana wadogo waliograduate si salama katika mfumo wao wa kiuongozi kwakuwa vijana wengi walioelimika hawako upande wa CCM, ndomaana katika sekta mbalimbali nyeti za kiserikali (TISS, PSU, POLICE, BENKI KUU, BANDARI na kwingineko) imewalazimu kujaza vijana wa UVCCM ambao wengi wao ni incompetent.

Madhara yake sitaki kuyazungumza maana kila mwenye akili timamu anaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Chancellor) kwa kipindi kingine cha miaka sita.

Uteuzi huo utaanza Januari 17, 2022.

My take
Mwenye nacho ataongezewa, naye asiyenacho hata kidogo kile alichonacho atanyang'anywa

2022- Kazi iendelee

View attachment 2064221
Mbona mnateuana nyie tu mnajirudia rudia kila mara,ina maana sisi degree zetu hamzioni?
 
Ingizo la vijana wadogo waliograduate si salama katika mfumo wao wa kiuongozi kwakuwa vijana wengi walioelimika hawako upande wa CCM, ndomaana katika sekta mbalimbali nyeti za kiserikali (TISS, PSU, POLICE, BENKI KUU, BANDARI na kwingineko) imewalazimu kujaza vijana wa UVCCM ambao wengi wao ni incompetent.

Madhara yake sitaki kuyazungumza maana kila mwenye akili timamu anaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiomaana huko vyuoni unawakuta vjana wengi wanamilik kadi za ccm, ukiwauliza why wanakujibu ''tunarahisisha connection ya ajira baadae" hapo ndipo unagundua kumbe hii nchi ni ya wachache wa upande fulan ulioshika nchi[emoji23].
 
Kulikuwa na haja ya kumuhamishia pale MUHAS.. maana Mwinyi kachoka sana
 
Ndiomaana huko vyuoni unawakuta vjana wengi wanamilik kadi za ccm, ukiwauliza why wanakujibu ''tunarahisisha connection ya ajira baadae" hapo ndipo unagundua kumbe hii nchi ni ya wachache wa upande fulan ulioshika nchi[emoji23].
Hii trick wakat mwingine huwa ni kusudi kabisa hasa nyakat za mikopo kwenye bodi ya mikopo elimu ya juu!!

Ninao ushahidi, mtu hadi uko Mwaka wa 3 hujapata mkopo, unaaambiwa bila kadi ya Kijani hulambi mkopo. , Inabid unachukua , m/kit na katib wanafanya mchakato unapata mkopo!!!

Wengi wana kadi za CCM ila unaskin tu Mkuu
 
Hii trick wakat mwingine huwa ni kusudi kabisa hasa nyakat za mikopo kwenye bodi ya mikopo elimu ya juu!!

Ninao ushahidi, mtu hadi uko Mwaka wa 3 hujapata mkopo, unaaambiwa bila kadi ya Kijani hulambi mkopo. , Inabid unachukua , m/kit na katib wanafanya mchakato unapata mkopo!!!

Wengi wana kadi za CCM ila unaskin tu Mkuu
Ndiomaana kuna wale wanao dai katiba ili kuondoa haya mambo yakipuuzi.

Japo ni ngumu ila utafika wakati yatapita, pale raia watakapo amsha akili zao na fahamu, Siasa za kijinga znaharibu hii nchi
 
Ndiomaana kuna wale wanao dai katiba ili kuondoa haya mambo yakipuuzi.

Japo ni ngumu ila utafika wakati yatapita, pale raia watakapo amsha akili zao na fahamu, Siasa za kijinga znaharibu hii nchi
Kweli kabisa mkuu!!
 
Kwan inashindikana vipi kuwateuwa vijana waliograduate ambao wako mitaan badala ya kuwakumbatia hao wazee kila siku ambao akili zao zilishajichokea.

JIbu untakalopata[emoji117] ni kuwa wao wenye nchi wanaamini hakuna mwanachuo kijana wa kuaminika kupewa madaraka ama nguvu ktk siasa ama vyeo ktk ajira kwakuwa vijana wenyew hawa waliopo ni aina ya Wale wa mirinda nyeusi[emoji23], wabetiji, waliokubuhu kwenye ulevi na ushenz wa kila aina, so acha wazee waendelee kulaa bata,.

Hayo si maneno yangu, ni maneno ya yule alieanzisha mfumo wa ukitaka ajira, onesha uzoefu wa miaka10 [emoji23][emoji23]
Yaani tukuchague wewe na ulevi wako kuwa chancellor
Tuuze chuo sasa
 
Yaani tukuchague wewe na ulevi wako kuwa chancellor
Tuuze chuo sasa
Ni bora kumchagua mlevi kulko jambazi na kiongozi takataka asiejali maisha ya masikini, hiv unajuwa kuwa walevi ndio watu wenye huruma sana na ushirikiano ktk kundi lote la wanywaji?

Mlev yuko huru kumnunulia bia hata yule asiyemfahamu, yuko tayr kufirisika sababu aweke heshima bar kwa kuwafurahisha na kuwapendezesha walev wenzie, huo ndio upendo, sas nyie mnaojificha ktk kundi la walokole na wenye heshima ndio mashetan na wahuni kupindukia.. anyway hii nchi bado ina viongoz wenye mindsets takataka
 
Mbona mnateuana nyie tu mnajirudia rudia kila mara,ina maana sisi degree zetu hamzioni?
Ndugai kasema degree zenu hazina maana bora class 7 ana maadili akiambie kalime anaenda ila degree holder mnashinda mitandaoni kutukana wazee msahau kupata teuzi labda mbadili tabia zenu za mitandaoni kutukana wazee na Ccm
 
Back
Top Bottom