Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
2005. Faculty of Humanities, dept of Political science & Public AdministrationOk! Thanks for the information. sasa ufaulu wake ulikuwaje? Did he manage to pass his exams? By the way when was that and what faculty?
Muda si mrefu since graduation.. some 8 yrs back.. amepanda mapema kupata cheo....most probably ni chawa aliyekubuhu!! amepanda haraka2005. Faculty of Humanities, dept of Political science & Public Administration
alianzia ukatibu sijui ilala wapi huko wapo wengi wa aina yake. hakika vichwani walikuwa watupuMuda si mrefu since graduation.. some 8 yrs back.. amepanda mapema kupata cheo....most probably ni chawa aliyekubuhu!! amepanda haraka
alianzia ukatibu sijui ilala wapi huko wapo wengi wa aina yake. hakika vichwani walikuwa watupu
Most likely kinachowasaidia ni uchawa! Hawa ndio wakati wa magufuli walikuwa wanajitahidi kuonesha ukatili kumfurahisha magufuli awateue!alianzia ukatibu sijui ilala wapi huko wapo wengi wa aina yake. hakika vichwani walikuwa watupu
Yupo padri nguli kabisa na mkongwe anaitwa Padri Sixtus Mapunda. Ni majina tuu yameingiliana. Kumbuka Mapunda ni ukoo mkubwa huko Songea ,na Sixtus ni jina maarufu la kikatolikiYule anaitwa Privatus Karugendo
Ni padre Baptist Mapunda na sio SixtusYupo padri nguli kabisa na mkongwe anaitwa Padri Sixtus Mapunda. Ni majina tuu yameingiliana. Kumbuka Mapunda ni ukoo mkubwa huko Songea ,na Sixtus ni jina maarufu la kikatoliki
Babtist Mapunda aliyewahi kuwa lecture Katika chuo kikuu Cha kikatoliki Cha Afrika mashariki ( CUEA) yupo na Father Sixtus Mapunda yupoNi padre Baptist Mapunda na sio Sixtus
Hivi Binamu bananga... yule diwani wa Arusha kipindi cha nyuma,alie jitokeza kwenye mkutano wa mama Arusha na kuikana chadema..alisha kumbukwa kweli!
Babtist Mapunda aliyewahi kuwa lecture Katika chuo kikuu Cha kikatoliki Cha Afrika mashariki ( CUEA) yupo na Father Sixtus Mapunda yupo
Alivunja Unyumba Wa JiweMagufuli bwana,huyu sijui alimkosea nini.Hivi yule aliyemkula Jokate yupo tarafa gani siku hizi?
ππππAmeshafriki pia, Baptist Mapunda.
ππππ
hapana unachanganya. huyu alikuwa UVCCM ni mate wangu UDSM alikuwa anaingia class na peni kama sita hivi za rangi tofaut tofauti halafu cha kushangaza notice hachukui mpaka wengine tuchukue aombe daftari akaandike nje huko na kuremba kwa mapeni yake
doh pole sana mheshimiwa DC mstaafuAlicho kifanya dc akamwagwaView attachment 2543977
Mh. Jane Nyamsenda...Jane alianza kutunisha misuli na kupandisha mabega, ameliwa kichwa.
Mama hatak umungu mtu.
Tuaminishe unafiki wake - nadhani wewe ndio mnafiki na una roho ya korosho. mayalla anafaa ingawa hana spikaUKIONA MTU ANAOMBEWA CHEO JUA HANA SIFA HUYU HAPATI UDC AU UDED NI MNAFIKI SANA
Wameonyesha viburi gani hivyo?unajua ukiwa unamchukia mtu hata kwa kusikia tu ndio madhara yake haya.kiburi gani hicho wamekionyesha?Ingekuwa hataki umungu mtu angekuwa keshawala vichwa akina Nape,January na Mwigulu. Jamaa wameonyesha viburi sana ila Mama kawaacha.
Picha za DC....mmh! amekaa kitom-boy haswaaa