UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

Mnikulu wa JK ndo alikuwa "mpambanaji" zaidi...

 
Safu inazidi kupangwa kitaalamu na kibobevu ili Ikulu kupata ushauri sahihi

Mandia, Nehemia Ernest, LLM available here , International Law, Mining, , environmental protection and the principle of intergenerational equity: a comparative analysis of the approaches of Tanzania and Canada
 
Nasubiria upande wa jikoni kama nitateuliwa, awamu ya Mzee wa Msoga wafanyakazi wa jikoni tu walikuwa wanajaza coaster 2, Jiwe alivyoingia akafunga kitengo na kusema atakuwa anapikiwa na Mama Janeth, sasa naona neema inarejea, nutritionists tutafikiriwa labda!
 

Blandina Kilama​

Blandina Kilama is a PhD candidate with the Tracking Development Project at the African Studies Centre in Leiden. Her PhD research takes a case of cashew industry in Tanzania, comparing it with the same in Vietnam from 1960 to 2006. It seeks to draw lessons from agriculture diversification in alleviating poverty.

Currently working as a researcher with Research on Poverty Alleviation (REPOA), policy research institute based in Tanzania, she has worked on various pieces of analytical research involving secondary and survey data, such as the poverty mapping, the poverty and human development reports, patterns of urban migration, etc.

She has also implemented a number of field-based surveys at regional and national levels. She holds a Master's in Public Administration in International Development (MPA/ID) from John F. Kennedy School of Government, Harvard University, and a Bachelor of Arts in Economics from University of Dar es Salaam.

On 7 March Blandina Kilama defended her PhD thesis on "The diverging South : comparing the cashew sectors of Tanzania and Vietnam".

Dr. B. (Blandina) Kilama
Former PhD Student
 
Mnikulu wa JK ndo alikuwa "mpambanaji" zaidi...

Mkuu umefukua hili kaburi, kweli watanzania aliyeturoga alikufa, tumeishasahau haya madudu ya Jk hadi tunatamani arudi kwa mlango wa uani?
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?...
Una lako jambo
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.

Ni vyema kuweka wazi ili tukisikia mambo hayaendi vizuri hatutawalaumu washauri kumshauri vibaya mh. Rais kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya 5 mfano suala la korosho na soko la Vietnam Prof. Palamagamba Kabudi alilaumiwa sana kuingilia soko la Kuu la duniani la Korosho la IndoChina .

Kwa uteuzi huu hatutegemei visingizio kama vya mwendazake.

15 May 2019
Jinamizi la korosho landelea kumsaka Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof Palamagamba Kabudi, wabunge wamtaka ajiuzulu kwa kumpotosha Rais Magufuli.

Prof. Palamagamba Kabudi akilaumiwa kuhusu kuingia mkataba wa korosho na kampuni ya IndoPower ya Kenya bungeni Dodoma mwezi Mei 2019.
 
Back
Top Bottom