UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

Han'na Nzanzibari hapo waangalie vizuri sana.
 
Tutangaziwe, hata akibadilishwa House maid ni vizuri wananchi tumfahamu
 
Uko sahihi kabisa
Alishikilia vyeo viwili.
 
km huvijui kaa chini nyamaza
 
Religious biased
Siku izi Majina ya waTanzania hayaendani na udini, kuwa muangalifu utakuja kuwaangamiza ndugu au jamaa zako kama utakuwa unabase katika majina.
Ila Mzanzibar utamjua na Mtanganyika utamjuwa ,yaani chogo tu amna jingine. Si ndio wanatuita machogo walivyokuwa hawana adabu watu wale .ila nasie hatunazo tunawaita wapemba ,utasikia boti ya wapemba imeshafunga gati,Yaani wazanzibari wote ni wapemba.
 
Imekaa njema sana, Kazi iendelee //MATHA_Make Tanzania Happy Again.
Ipo siku mtasema ccm idumu ndo kilichobaki.
Ili siku kiongozi wenu mbowe akipindisha macho nyoote mtapindisha na kuachana na sifa kwa huyu mama.

Nati za vichwa vyenu spana anazo mbowe.
 
Ipo siku mtasema ccm idumu ndo kilichobaki.
Ili siku kiongozi wenu mbowe akipindisha macho nyoote mtapindisha na kuachana na sifa kwa huyu mama.

Nati za vichwa vyenu spana anazo mbowe.
Akili zenu anazo jiwe na tutamuongezea madaraka mpk 2030 #Atake asitake.
 
Cjashangaa hili sana kwani naamini wasaidizi wa mama ni zaidi ya hawa na tumejulishwa hawa kwa sbb ni muhimu, ninachoshangaa ni uteuzi kufanyika tarehe 19/3/2021...hii ilikua siku ya pili ya msiba wa mwendazake kama sikosei na nadhani ndo siku alipoapishwa mama akiwa na simanzi kuu, hivi ni kweli siku ileile alifanya uteuzi wa wasaidizi wake wa karibu na kuwatoa wa mtangulizi wake au wame-backdate uteuzi tu kwa malengo fulani ya kiintelijensia????
 
Utakuwa mchawi wewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…