UTEUZI: Rais Samia ateua Mwenyekiti Tume UNESCO

UTEUZI: Rais Samia ateua Mwenyekiti Tume UNESCO

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
  1. Amemteua Prof. Elifas Tozo Bisanda kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Prof. Bisanda ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo kwa kipindi cha pili.
  2. Amemteua Mhandisi Abdallah Mohamed Mkufunzi kuwa
    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Maji.
Uteuzi wa Wenyeviti hao umeanza tarehe 05 Mei, 2023.

FE0D5507-18B4-4F7B-AA7B-1FF775430629.jpeg
 
Hawa watu wa UNESCO wanafanyaga kazi gani?
Walinisumbuaga kupata signature na go ahead zao mwaka fulani…..ila nilifanikisha.
 
Back
Top Bottom