Hao watu huwa wanapata muda saa ngapi wa kufanya mipango ya utekelezaji,maana mtu anakaa sehemu mwaka mmoja kahamishwa!Mama ameteua na kutengua mpaka tumemchoka. Uwajibikaji sifuri, ufanisi sifuri, upigaji 90%.
Hakika bibi chura kiziwi, kwa hili AMEZIDI..kwanza inaigharimu serikali fedha nyingi, pili inaondoa usimamizi na utulivu kwa hao viongozi na mwisho inaonyesha yeye mwenyewe na vetting system yake ni hovyoHii ndiyo kazi pekee anaiweza kuteua, kuhamisha na kupangua lengo kuchezea mali za umma na hakuna ufanisi wowote
Ndio kazi pekee anayoiweza, kuwatafutia chawa ulajiIla hii ya mama abdul imezidi
🤣Mkuu siyo wakinga peke yao, nenda kwa watani zangu wasukuma ukajionee majina kama, Magufuli, Sahani, Shikombe, Kafulila, nk 😅😅
Wee vipi? Umetumwa! Achana kabisa na Longido kuna mwenyewe.Sijaona uteuzi Longido
Mbona mumeo amekaa muda mrefu na bado anachapa kazi?Kiutendaji inaongeza Ari ya utendaji, mkuu wa kitengo akikaa mahali muda mrefu utendaji Huwa unapungua. Mfano mbowe amekuwa mwenyekiti muda mrefu ndio kama CHADEMA imepotea kwenye ramani
Kwanza ni gharama za kipuuzi, kumteua DC/DED/DAS ni zaidi ya milioni 30 nchi na mshaharaKuteua watu wasio bora nako ni kufeli tu...
Hakuna vetting yoyote mkuu zaidi ya uchawa na ushirikina, ndiyo ni gharama kubwa sn hamisho, teuzi na tenguaHakika bibi chura kiziwi, kwa hili AMEZIDI..kwanza inaigharimu serikali fedha nyingi, pili inaondoa usimamizi na utulivu kwa hao viongozi na mwisho inaonyesha yeye mwenyewe na vetting system yake ni hovyo
Wale ni tissue za msalaniWapi Lucas Mwashambwa, Msigwa?
Mkeka umegoma kusoma?
Wana nuksi?
😡Wee vipi? Umetumwa! Achana kabisa na Longido kuna mwenyewe.
Majungu eee?!!Ukifika Arumeru, hakikisha unapunguza, utapeli wako na tabia ya kukichonganisha chama na serikali.
Pia upunguze maneno na uongeze ufanisi wa kazi.
Kuwa ndugu wa waziri mkuu,kisiwe kisingizio cha wewe kutokufanya kazi Kwa uaminifu.
Yule mtu ni tapeli trust me!Majungu eee?!!
Mkalipa mbona yuko tofauti na usemacho?!!
Ama ulishindwa kutimiza wajibu wako na akakuwajibisha?!! [emoji1787][emoji1787]