UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Chezea Saigon Club wewe!! Sukuma Gang mlie tu,tuliwaambia nyie ni wavamizi tu, CCM ina wenyewe na ndiyo hawa wanarudi kwa kasi ya 5G
 
Kwahiyo chuma kirudi ama!
Laiti ingewezekana!Dah,ni kweli tumepigwa mkuu,ila wengine tulijua mapema,lakini tuliposema tukanaangwa.Hukuhitaji kuwa na PhD au akili saana kujua kwamba tulikuwa tumefungiwa mbuzi kwenye gunia,ulihitaji tu kujua historia yake specifically aquitances zake na ajira zake.
 
Chezea Saigon Club wewe!! Sukuma Gang mlie tu,tuliwaambia nyie ni wavamizi tu, CCM ina wenyewe na ndiyo hawa wanarudi kwa kasi ya 5GView attachment 2187036
Dah,nimeamini kweli kina wenyewe!Lakini,lakini.........!!!!!!!!Tusisahau Rwanda.The writing is on the wall for CCM👇👇.

images.jpeg


Na ndio maana Mzee wa watu Mangula aliamua kujiondokea,he saw this coming.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW). Bi. Simba ni Mbunge Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pia amemteua Jaji Hamisa Hamisi Kalombola kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma. Jaji Kalombola ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania

Sambamba na uteuzi huo, Rais Samia amemteua Obey Nkya Assery kuwa Mwenyikiti wa Bodi ya Usimamizi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC). Bw. Assery ni Mshauri Mwandamizi, Taasisi ya Global Alliance for Improved Nutrition, Dar es Salaam.


View attachment 2186352
Sophia Simba team Lowasa
 
Wewe ni wa ajabu sana na inaelekea hujui kazi ya Makamu wa Chama hasa CCM.

Makamu wa Chama ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti wa Chama,na kwa hiyo Rais,kwa kuwa kwa CCM, Mwenyekiti ndiye Rais.So Makamu wa Chama Cha CCM ana nafasi kubwa sana katika ku-influence muelekeo wa nchi.
Nyinyi ndio watu wa ajabu sana, mnatumia akili zenu kutaka kuwaaminisha watu kuwa CCM kama chama lazima kiwaamulie mambo na kwa ujinga huo mmewapa CCM kibali cha kuwatawala.
Mshauri wa Rais kwa mujibu wa katiba yetu sio makamu mwenyekiti wa CCM, sasa nyinyi wapeni bichwa waendeleze ujinga wao.
 
Kinana anakuhusu nini? Serikali inatekeleza ilani ya chama gani? Ni akina nani wanaoandika hiyo ilani kama siyo akina Kinana? [emoji15][emoji15][emoji15]
Nyie ndio watu manaosababisha CCM wajione ni serikali kamili. Tuna katiba ambayo Rais anaitekeleza na kuhusu ilani tuna bunge ambalo kikatiba halitekelezi ilani ya chama kama haipo kwenye misingi yao na halilazimishwi kutekeleza ilani ya CCM. Wewe unazungumzia mazoea na sio utaratibu.
 
Nyie ndio watu manaosababisha CCM wajione ni serikali kamili. Tuna katiba ambayo Rais anaitekeleza na kuhusu ilani tuna bunge ambalo kikatiba halitekelezi ilani ya chama kama haipo kwenye misingi yao na halilazimishwi kutekeleza ilani ya CCM. Wewe unazungumzia mazoea na sio utaratibu.

Mazoea ndiyo yanaendesha nchi. Kuna taratibu gani zinafuatwa hapa? Na bunge ulilonalo ni la chama gani?
Unaishi nchi hii au uko diaspora mkuu?
 
Mazoea ndiyo yanaendesha nchi. Kuna taratibu gani zinafuatwa hapa? Na bunge ulilonalo ni la chama gani?
Unaishi nchi hii au uko diaspora mkuu?
Bunge kuwa na idadi ya wajinga bado hatuwezi kuliita mental hospital kwakuwa kikatiba halijaundwa kwa ajili ya vichaa wa CCM na hatuwezi kuliita kusanyiko la makada wa CCM na mijadala yake hatuwezi kuruhusu na kukubaliana iwe katika ajenda za CCM.
Ukiona chama kinafanya haya tuliyaunga mkono wenyewe madhara yake ni CCM kuendelea kupitisha ujinga wao.
 
Huyu mama kazidi, basi amteue JK kuwa rais na yeye ajitengue.
 
Ipi,kuwateua akina Sophia Simba,Kinana,Ridhiwani,Makamba etc.Yaani nimeichukia nchi yangu ghafla.Tunakoenda siko I am sorry.
Hamia israel ndiyo utawaona hao unawataka au kaungane na joseph kony huko msituni uganda. Tanzania hatuna ujinga huo.
 
Hamia israel ndiyo utawaona hao unawataka au kaungane na joseph kony huko msituni uganda. Tanzania hatuna ujinga huo.
CCM hamna ujinga upi,wakuteau watu wenye weledi,watenda haki,wasio wapigaji,wasio na upendeleo,na likiwepo jambo lingine lolote jema linalofanana na hayo? Haya bwana,mimi ni mwana CCM,lakini kwa CCM hii ya Samia yamenishinda.Ngoja nisubiri 2025.
 
Laiti ingewezekana!Dah,ni kweli tumepigwa mkuu,ila wengine tulijua mapema,lakini tuliposema tukanaangwa.Hukuhitaji kuwa na PhD au akili saana kujua kwamba tulikuwa tumefungiwa mbuzi kwenye gunia,ulihitaji tu kujua historia yake specifically aquitances zake na ajira zake.
Kama Taifa tunahitaji taasisi imara na sio kiongoz imara!!
 
Mimi sizungumzii makundi,I am above that.Nazungumzia weledi,haki,logic,utendaji bora,kuteua bila kujuana na urafiki kutegemeana na weledi na utendaji ulio tukuka.
Mzee hayo unayotaka maybe tupate muongozo mpya wa Taifa letu, yaan katiba mpya, bila hivyo kuwekana kwa kujuana hakuishi. Hata awamu iliyopita mwendo ulikua wa kujuana tu!!
 
Back
Top Bottom