UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Mi sikujuwa ila kuna mtu aliniambia balozi wa misri nchimbi.
Hapo ndipo mjue kuna tatizo la kiuongozi nchi hii, yaani wakati ndiyo unajiandaa kuleta utaalam wako gafla bin vuuu unatolewa.

Mwisho wa mwezi unakaa unajua flani ni flani kumbe hujui.
 
Wale wote waliogombana na Jiwe wamerudi serikalini na chamani kwa kishindo
Huyo Sophia aliwahi kusema hakuna wakumfukuza chamani kwani hajapelekwa na mtu pale

Tena alishupaza shingo kwelikweli. Maisha hayataki kukata tamaa mapema
 
haswaaa,bado nchimbi emanuel naona wamemweka jeshi la akiba.
Mwaka 2015 huyu Sofia Simba ndiye aliongoza kwaya ikiimba "TUNA IMANIIII NA LOWASSAA HOYA HOYA HOYA" mbele ya Kikwete na Mwinyi na Mkapa.
 
Back
Top Bottom