Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Mimi siumii ila ninakumbusha tu humo unamokosea, .Huo ni wajibu wangu . Roho Mtakatifu sijui yupo kwani kuna madhehebu ya makanisa tofauti zaidi ya 40 elfu. Na kila moja linadai kuongozwa na Roho Mtakatifu na kila moja linaamini kivyake.Sasa sijui Roho Mtakatifu wa kanisa lipi Ndiye mwenyewe.
Roho Mtakatifu ni mmoja na ana Uwezo.

Mungu ananiona mimi na wewe kwa wakati mmoja
 
Punguza kunywa Gahawa! Hayo maongezi ya Mwinyi na Mufti uliyasikia ukiwa eneo gani pale Ikulu? Chuki Chuki Chuki!
Kwamba Mufti au TISS wana uwezo wa kumgomea Rais wa nchi!!!??? Ujinga mtupu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Uwo ndio ukweli Bakwata imeanzishwa ili watudhibiti yani tukiachiwa tujiendeshe wenyewe hii nchi itakuwa zaidi ya Singapore

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Allah kwenye Quran tukufu Surat Yunus de mafudh aya ya 7:10 amesema Ewe muislamu ukitukanwa na muislamu mwenzio tafuta kichaka chuchumaa na kunya ukimaliza Allah kwa kukufariji atatuma malaika wake kipenzi mtakatifu Jibril akutawaze.

Gavana hydroxo
We ni mwehu amna maneno kama ayo Qurani tukufu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Uwo ndio ukweli Bakwata imeanzishwa ili watudhibiti yani tukiachiwa tujiendeshe wenyewe hii nchi itakuwa zaidi ya Singapore

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mwanzo kulikuwa na East Africa Muslims welfare society kama sikosei ikijumuisha Nchi za east Africa,,
Ilikuwa na maendeleo makubwa, msimamizi alikua ni Aga khan,, sijui walitibuana nini na Nyerere,, Agha khan alitaifishwa mali,, akazuiwa ku operate nchini na ndo mwanzo wa BAKWATA
 
Roho Mtakatifu ni mmoja na ana Uwezo.

Mungu ananiona mimi na wewe kwa wakati mmoja

Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile? Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu? Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?

Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine? Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?

Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?

Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?

Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?

Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi
 
Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile? Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu? Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?

Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine? Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?

Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?

Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?

Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?

Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi
Roho Mtakatifu huzungumza nasi hata kabla ya kukata shauri la kutubu dhambi. Bila Roho Mtakatifu huwezi kufunuliwa ufahamu wa Kweli ya Neno la Mungu.

Kuisikia ama kuielewa sauti ya Roho Mtakatifu yahitaji mafundisho na yeye ndiye hutoa ufahamu wote kuhusu yatupasayo na yasiyotupasa kufanya.

Unaweza ukadhani kuwa ukitenda mema ndiyo tiketi ya kuhesabiwa hauna dhambi kumbe moyoni kuna kusudi lililo machukizo kwa Mungu.

Tangu nimeelewa namna Roho Mtakatifu alivyo na afanyavyokazi nimejengwa ujasiri na ufahamu chanya kuhusu Mungu.

Kubishania Mungu wakati tukimuomba anatufumulia ya sirini ni kujitia kwenye shokoa isiyo yetu

Usidhani wote wanaojiita Wakristo ni kweli. Wapo wachache mno
 
Allah kwenye Quran tukufu Surat Yunus de mafudh aya ya 7:10 amesema Ewe muislamu ukitukanwa na muislamu mwenzio tafuta kichaka chuchumaa na kunya ukimaliza Allah kwa kukufariji atatuma malaika wake kipenzi mtakatifu Jibril akutawaze.

ielewemitaa
Mzee mbona mnaifanya jamiiforum kama kijiwe cha mtaani? hawa wahusika humu wamelala sana, mnaweza tofautiana tafsiri lakini sio upotoshaji wa jambo ambalo halipo
 
Allah kwenye Quran tukufu Surat Yunus de mafudh aya ya 7:10 amesema Ewe muislamu ukitukanwa na muislamu mwenzio tafuta kichaka chuchumaa na kunya ukimaliza Allah kwa kukufariji atatuma malaika wake kipenzi mtakatifu Jibril akutawaze.

ielewemitaa
ukurasa wa ngapi ?
 
Roho Mtakatifu huzungumza nasi hata kabla ya kukata shauri la kutubu dhambi. Bila Roho Mtakatifu huwezi kufunuliwa ufahamu wa Kweli ya Neno la Mungu.

Kuisikia ama kuielewa sauti ya Roho Mtakatifu yahitaji mafundisho na yeye ndiye hutoa ufahamu wote kuhusu yatupasayo na yasiyotupasa kufanya.

Unaweza ukadhani kuwa ukitenda mema ndiyo tiketi ya kuhesabiwa hauna dhambi kumbe moyoni kuna kusudi lililo machukizo kwa Mungu.

Tangu nimeelewa namna Roho Mtakatifu alivyo na afanyavyokazi nimejengwa ujasiri na ufahamu chanya kuhusu Mungu.

Kubishania Mungu wakati tukimuomba anatufumulia ya sirini ni kujitia kwenye shokoa isiyo yetu

Usidhani wote wanaojiita Wakristo ni kweli. Wapo wachache mno

sasa nijibu haya maswali tafadhali

Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?

Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?

Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi?

Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?

Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?


Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi
 
Back
Top Bottom