Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Wenye akili waliona mbali,mana uislam umejaa ubaguzi na chuki kali hata baina yao,refer janjaweed na black muslim genocide huko sudani.


“Ushahidi” unaotolewa eti wa Uungu wa Yesu

Kuna baadhi ya mistari iliyotafsiriwa na makanisa ya Kikatoliki pamoja na Kiprotestanti kuwa ndio ushahidi wa uungu wa Yesu Kristo.

Hata hivyo, kwa uchunguzi wa kina kuhusu mistari hiyo, imekuwa ni dhahiri kuwa, ama maneno yake ni tata, yanayoacha tafsiri nyingi tofauti tofauti, au imeongezwa na haikuwepo katika miswada ya mwanzo ya mapokeo ya Biblia.

Ifuatayo ni baadhi ya mistari hiyo iliyotajwa sana:

1. Mwanzo na Mwisho

Katika kitabu cha Ufunuo 1:8, inadokezwa kuwa Yesu amesema yafuatayo kujihusu yeye mwenyewe: “Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi”.

Hizi ni sifa za Mungu. Kwa hiyo, hapa Yesu, kwa mujibu wa Wakristo wa mwanzo, anadai uungu. Hata hivyo, hayo
maneno yalitajwa hapo juu ni kwa mujibu wa toleo la King James Version.

Ama katika toleo la Revised Standard Version, wasomi wa Biblia wanarekebisha makosa ya kitafsiri na wameandika:

“Mimi ni wa mwanzo na wa Mwisho” asema Bwana Mungu,..”.

Pia, marekebisho yalifanywa katika toleo la New American Bible iliyotayarishwa naWakatoliki. Tafsri ya aya hiyo imerekebishwa ili iweke katika muktadha wake ulio sahihi kama ifuatavyo:

“Bwana Mungu anasema:

“Mimi ni wa mwanzo na wa Mwisho...”

Ikiwa na marekebisho haya, inadhihirika kuwa, mstari huu ulikuwa ni maelezo ya Mungu na sio maelezo ya Mtume Yesu.
 
Sio mbaya kujifariji mana hata shetani wafuasi wake wanaongezeka kila siku.

2. Maisha ya kabla ya Kristo

Mstari mwingine unaotumiwa sana ili kuunga mkono uungu wa Yesu ni Yohana 8:58: “Yesu akawaambia, amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.”

Mstari huu umechukuliwa na kuashiria kuwa Yesu alikuwepo kabla ya kudhihiri kwake duniani.

Uamuzi uliofikiwa kutokana na mstari huo ni kuwa Yesu lazima awe Mungu, kwa kuwa kuwepo kwake kumetangulia tarehe ya kuzaliwa kwake duniani.

Hata hivyo, dhana ya kuwepo kabla ya kudhihiri kwa mitume, na kwa watu wengine, ipo katila vitabu vyote viwili, Agano la Kale, vilevile katika Quran.

Yeremia anajielezea mwenyewe katika Kitabu Cha Yeremia 1:4-5 kama ifuatavyo:

“Neno la BWANA lilinijia, kusema, Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.”

Nabii Suleimani anaripotiwa katika Mithali 8:23-27, ya kuwa amesema,

“Nalitukuka tokea milele, tangu awali, kabla haijawako dunia. Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa, Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji. Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya vilima nalizaliwa. Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde, Wala chanzo cha mavumbi ya dunia; Alipozithibitisha mbingu nalikuwako..."

Kwa mujibu wa Ayubu 38:4 na 21, Mungu amemtambulisha Nabii Ayubu kama ifuatavyo: “Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama ukiwa unafahamu.”


Katika Quran, Sura ya Al-A’aaraf, 7:172, Mungu anaeleza kuwa mwanadamu alikuwepo kiroho kabla ya kuumbwa ulimwengu wakimwili.


"Na pale Mola wako Mlezi alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwa kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani!Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na hayo." Al-A’aaraf, 7:172

Kwa hiyo, maelezo ya Mtume Yesu, “Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko”. Hayawezi kutumiwa kuwa ni ushahidi wa uungu wake.

Katika muktadha wa Yohana 8:54, Yesu amedaiwa kuwa ametamka kuhusu ujuzi wa Mungu kwa Mitume yake, ambayo inatangulia tarehe ya kuumbwa kwao katika ulimwengu huu.
 
......Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?

Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
Mkuu
kwanza elewa kwamba hata pale Mbingu na Nchi zilipoumbwa ambapo maji yaliujaza ulimwengu, Roho wa Mungu (Mtakatifu) alitulia juu ya vilindi vya maji.

Unapomtaja Mungu yaani YHWN ujue umemtaja katika ukamilifu wake yaani Utatu Mtakatifu.

Kinachotakiwa kufahamika hapa ni kwamba definition ya uhuru wa mtu anapokuwa ndani ya Roho Mtakatifu ni definition nyingine.

Nitajie wakristo waliojazwa Roho Mtakatifu pls
 
1 Wafalme 22:22

“ ‘Kwa njia gani? BWANA akauliza, “ ‘Nitatoka na kuwa pepo wa uongo katika vinywa vya manabii wake wote,’ akasema. “ ‘Utafanikiwa kumshawishi,’ asema BWANA, ‘Nenda ukafanye.


1 Wafalme 22:23

“Basi sasa BWANA ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa wote;
Umeelewa nini kwenye andiko hilo
 
Sio mbaya kujifariji mana hata shetani wafuasi wake wanaongezeka kila siku.


3. Mwana wa Mungu

Ushahidi mwingine uliotumiwa kwa ajili ya uungu wa Yesu ni kule kutumiwa sifa ya “Mwana wa Mungu” kwa Yesu. Hata hivyo, kuna sehemu nyingi katika Agano la Kale ilipotumiwa sifa hiyo kwa watu wengine.

Mungu alimwita Israeli (Nabii Yakubu) “Mwanawe” pale alipomuelekeza Mtume Musa aende kwa Firauni katika Kutoka 4:22-23,

“Nawe umwambie Farao, BWANA asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu; nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia..

Katika 2 Samweli 7:13-14, Mungu anamwita Nabii Suleimani Mwanawe, "Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakifanya imara milele. Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu..."

Mungu alimuahidi Nabii Daudi kumfanya mwanawe katika Zaburi 89:26-27: “Yeye ataniita, Wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu. Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wa dunia.”

Malaika wanachukuliwa kuwa ni “wana wa Mungu” katika kitabu cha Ayubu 1:6, “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao”.

Katika Agano Jipya, kuna marejeo mengi ya “mwana wa Mungu”ya watu wengine wasio Yesu. Kwa mfano, pale mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Luka amewaorodhesha wahenga wake hadi kwa Adamu, ameandika: Luka 3:38 “Wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu”.

Baadhi ya watu wanadai kuwa kile cha kipekee kilichopo kwa Yesu ni kuwa yeye ndiye mwana wa pekee wa kuzaliwa
Mwana wa Mungu, huku hao wengine ni “wana wa Mungu tu.”

Hata hivyo, Mungu ananukuliwa akimwambia Mtume Daudi, katika Zaburi 2:7, “Nitaihubiri amri, BWANA aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.”

Pia inapaswa ijulikane kuwa hakuna hata sehemu moja katika Injili ambapo Yesu alijiita yeye mwenyewe kuwa yeye hasa ndiye “mwana wa Mungu”.

Badala yake, amenukuliwa kuwa amekariri kujiita “Mwana wa Adamu” (mfano Luka 9:22) kwa mara zisizohesabika.

Na katika Luka 4:41, kwa hakika amekataa kuitwa “Mwana wa Mungu”: “Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa
ndiye Kristo.”

Kwa kuwa Wayahudi wanaamini kuwa Mungu ni Mmoja, na hana mke wala mtoto kwa maana halisi yoyote ile, ni wazi kuwa ibara “mwana wa Mungu” kwa Wayahudi ina maana ya “Mtumishi wa Mungu tu” yaani mtu aliye karibu na Mungu, kwa sababu ya huduma yake ya kiimani, akiwa kama mtoto kwa baba yake.

Wakristo waliokuja kutoka katika historia za kuwa walikuwa ni Wagiriki au Warumi, baadaye waliitumia vibaya istilahi hiyo. Kwani katika urithi wao, “mwana wa Mungu” inamaanisha mungu ana mwili au mtu aliyezaliwa kwa muungano wa kimwili kati ya mungu mwanamume na mwanamke.

Wakati Kanisa lilipoacha msingi wa Kiyahudi, lilitwaa dhana ya kipagani ya “mwana wa Mungu”, ambayo kwa ukamilifu, ilikuwa ni tofauti na matumizi ya Kiyahudi.

Kwa hiyo, matumizi ya istilahi “mwana wa Mungu” inafaa ifahamike kuwa ni alama ya ufahamu ya kisemintiki
yenye maana“mtumishi wa Mungu”, na sio katika ufahamu wa kipagani wa uhalisi wa kuwa kinda la Mungu.

Katika Injili nne, Yesu anarekodiwa akisema:

“Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.” Mathayo 5:9.
 
Mkuu
kwanza elewa kwamba hata pale Mbingu na Nchi zilipoumbwa ambapo maji yaliujaza ulimwengu, Roho wa Mungu (Mtakatifu) alitulia juu ya vilindi vya maji.

Unapomtaja Mungu yaani YHWN ujue umemtaja katika ukamilifu wake yaani Utatu Mtakatifu.

Kinachotakiwa kufahamika hapa ni kwamba definition ya uhuru wa mtu anapokuwa ndani ya Roho Mtakatifu ni definition nyingine.

Nitajie wakristo waliojazwa Roho Mtakatifu pls

kwanza Mkuu ingalikuwa vizuri ukatuwekea na ushahidi wa aya
 
Mkuu
kwanza elewa kwamba hata pale Mbingu na Nchi zilipoumbwa ambapo maji yaliujaza ulimwengu, Roho wa Mungu (Mtakatifu) alitulia juu ya vilindi vya maji.

Unapomtaja Mungu yaani YHWN ujue umemtaja katika ukamilifu wake yaani Utatu Mtakatifu.

Kinachotakiwa kufahamika hapa ni kwamba definition ya uhuru wa mtu anapokuwa ndani ya Roho Mtakatifu ni definition nyingine.

Nitajie wakristo waliojazwa Roho Mtakatifu pls

Nitaanza na hii YHWH mpaka utaponiwekea ushahidi wa aya

Biblia ya Kiebrania haina neno “Yehova” ndani yake hata kidogo.


Neno linalotumika ni tetragramatoni kwa kutumia, 'Y' 'H' 'W' 'H'.


Mtu anawezaje kutamka YHWH kuwa Yehova?

Hakuna njia inayowezekana. Kama vile Kiarabu, Kiebrania hakina vokali. Kuongeza vokali kunaweza kufanya neno kuwa "YEHOWA" lakini hiyo inamaanisha nini?


Neno hili si neno la Kiebrania, wala halina maana yoyote katika Kiarabu (lugha dada ya Kiebrania).

Njia sahihi ya kulitamka ni "YAHUAH" ambalo pia lipo katika Kiarabu na kusomeka kama "YA HUWA" maana yake "O! HE" au "O! YEYE ni" na inaweza pia kuchukuliwa katika wakati ujao.



Catholic Encyclopedia inatoa maana ya Yahweh kama "Yeye Aliyeko" na pia inaendelea kutoa tafsiri yake isiyo sahihi kwamba ni jina la Mungu.


Huenda hoja hiyo ikasikika kuwa ya kudanganya lakini ikisomwa kulingana na muktadha na kutoka katika Biblia, inaonekana kuwa yenye mantiki na sahihi.

Katika Biblia, wakati wowote maneno Ya Huwa yanapotumiwa, kuna neno la ufuatiliaji ambalo linamaanisha Mungu.

Kwa mfano

JEHOVAH SHAMMAH

Ezekiel 48:35

JEHOVAH RAPHA

Exodus 15

JEHOVAH-TSIDKENU

Jeremiah 23:6

JEHOVAH-JIREH

Gen. 22:14

JEHOVAH-MELEK

Isaiah 33:22

JEHOVAH-NISSI

Exodus 17:8-16


JEHOVAH-SHALOM

Judges 6:24


JEHOVAH-SABBAOTH

1 Samuel 1:3

JEHOVAH-MEKADESH

Leviticus 21:8

Hizi ni sehemu chache tu ambazo majina haya yametajwa.

Wametajwa mara nyingi.

Hata kama tunachukulia neno Yehova kuwa halimaanishi "O! Yeye yuko", bado haileti maana kile ambacho Biblia inasema.

Kwa njia hii, Yehova Elohim ingemaanisha “Mungu Mungu”.

Kwa hakika Yehova haimaanishi Mungu.

Biblia nyingi hutafsiri kama Bwana ambayo ina maana zaidi, Lord God , "Bwana Mungu".

Dictionary imetafsiri lord kama ifuatavyo


1. a person who has authority, control, or power over others; a master, chief, or ruler.

2. a person who exercises authority from property rights; an owner of land, houses, etc.

3. a person who is a leader or has great influence in a chosen profession: the great lords of banking.

4. a feudal superior; the proprietor of a manor.

5. a titled nobleman or peer; a person whose ordinary appellation contains by courtesy the title Lord or some higher title.

6. Lords, the Lords Spiritual and Lords Temporal comprising the House of Lords.

7. (initial capital letter) (in Britain) a. the title of certain high officials (used with some other title, name, or the like): Lord Mayor of London.

b. the formally polite title of a bishop: Lord Bishop of Durham.

c. the title informally substituted for marquis, earl, viscount, etc., as in the use of Lord Kitchener for Earl Kitchener.

8. (initial capital letter) the Supreme Being; God; Jehovah.

9. (initial capital letter) the Savior, Jesus Christ.

10. Astrology. a planet having dominating influence.

Lord does not mean God , (
Bwana haimaanishi Mungu.)



Kwa lugha ya Kiarabu ,YaHuwa , maana yake ni "O! YEYE ni" na kwa lugha ya Kiebrania maana yake ni "Aliyeko".

Maana hizi mbili zinafanana sana.

Limetumika kimakosa kama jina la Mungu.

Vivyo hivyo, katika Kiebrania, Ya Huwa (Yehova/Yahweh) si jina la Mungu bali larejezewa kuwa hilo kwa sababu ya heshima.
 
Mkuu
kwanza elewa kwamba hata pale Mbingu na Nchi zilipoumbwa ambapo maji yaliujaza ulimwengu, Roho wa Mungu (Mtakatifu) alitulia juu ya vilindi vya maji.

Unapomtaja Mungu yaani YHWN ujue umemtaja katika ukamilifu wake yaani Utatu Mtakatifu.

Kinachotakiwa kufahamika hapa ni kwamba definition ya uhuru wa mtu anapokuwa ndani ya Roho Mtakatifu ni definition nyingine.

Nitajie wakristo waliojazwa Roho Mtakatifu pls

Ulitaja utatu Mtakatifu , lakini

JE, BIBLIA INAFUNDISHA IMANI YA UTATU?

Huku Biblia ikihubiriwa na kuaminika kuwa ni Neno la Mungu, haina imani ya Utatu inayotukuzwa sana.

Kama imani hii ya Utatu ilikuwa ni ya kweli, ilitakiwa iletwe kiwaziwazi kwenye Biblia kwa kuwa tunahitaji kumjua Mungu na njia ya Kumwabudu Yeye.

Hakuna yoyote miongoni mwa mitume ya Mungu, kuanzia Adam hadi kufikia Yesu (AS), mwenye ufahamisho wa Utatu au Mungu wa Utatu.

Na hakuna yoyote katika wajumbe wa Mungu aliyezungumza habari yoyote hata ya siri juu ya hilo au je, kuna rejeo lolote ima katika Agano la Kale au Agano Jipya la Biblia linalothibitisha imani hiyo.

Kwa hiyo, hilo ni geni ambalo si Yesu (AS) wala wanafunzi wake anayezungumzia Utatu katika Biblia.

Kinyume chake, Yesu (AS) anasema:

"Marko 12:29. "Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja;"

Kwa mujibu wa Mt. Paulo: "Matendo 2:22 "Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;"

Aya za hapo juu zinajieleza zenyewe.

Kwa nini mtu ajisumbue katika imani iliyojaa machafuko wakati Wanazuoni wa Kikristo wa vyeo vya juu hawawezi kufasiri au kufafanua imani hiyo kisomi na kiakili?

Yesu kwa haki kabisa ameshatabiri aina ya tatizo hili katika (Mathayo 15:8-9)

"Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami, nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu."

Kwa kuongezea, hayo yalisemwa na Mt. Paulo katika (2 Timotheo 4:3-4) "Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo."

Pia tunasoma zaidi katika (Tito 1:16) "Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala kwa kila tendo jema hawafai."

Katikati ya mkanganyiko huu, akili kuu miongoni mwa Wakristo zimemaliza mantiki zote zinazojulikana ili kuazima uthibitisho wa imani ya Utatu lakini wameshindwa kinyonge na kisha wametangaza kuwa hilo ni fumbo.

Hata hivyo, kumwabudu Mungu Muweza hakuwezi kuwa kwa maafikiano.

Yeye anataka watu wa kumwabudu Yeye peke yake kwa mujibu wa Mwongozo wake Mtakatifu.

Kwa kuwa yeye ni mwadilifu, kinachofuata ni kuwa, Uadilifu wake unalazimu ujumbe wake uwe wa wazi na mwepesi katika mtindo wake.

Mafundisho yake, kiujumla, lazima yasiwe na makosa/dosari yoyote, ushirikina wala kuchanganya. Lazima uwe wa ukweli kabisa, ambao siku zote utaweza kuhimili changamoto za elimu ya aina yoyote zikiwemo za magunduzi ya wanadamu katika nyanja za kisayansi.

Kwa vile imani ya Utatu yenyewe ni "Fumbo", kwa hiyo, haiwezi kuzingatiwa kuwa ni neno takatifu.

Biblia inasema: (1 Wakorinto 14:33) "Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani..."

Kuhusiana na Maandiko ya Kiyahudi

Ensaiklopidia ya dini inakiri kuwa:

"Wanatiolojia wa sasa wanakubaliana kuwa Biblia ya Kiyahudi haina imani ya Utatu". Na Isaiklopidia mpya ya Kikatoliki vilevile inasema: "Imani ya Utatu Mtakatifu haijafundishwa katika Agano la Kale."

Sawa sawa, katika kitabu chake "Mungu wa Utatu", Jesuit Edmund Fortman anakiri: "Agano la kale..... halituelezi chochote kwa uwazi au kwa kulazimisha kinachodokeza Mungu wa Utatu ambaye ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.... hakuna ushahidi wa kuwa mwandishi yoyote mnyofu aliyewahi kugusia kuwepo kwa (Utatu) ndani ya Uungu.

Hata ukitazama katika ("Agano la Kale"), mapendekezo, maashirio na alama za siri juu ya nafsi tatu, utaziona kuwa huko ni kwenda nje ya maneno na dhamira ya waandishi wanyofu." ( ibid, page 6)
 
Boss
Inawezekana upumbavu wangu una akili kuliko utimamu wako.

Nchi hii imejaa siri nyingi sana.
Tunajinasibu siyo wabaguzi lakini ukweli ni kwamba tunabaguana kiimani.

Leo utasikia sasa zamu ya Mkristo, mara utasikia na sisi Walutheri ni zamu yetu, kesho utasikia sasa ni zamu ya Muislam na kadhalika.

Nilichokisema kwenye post uliyoiquote ni kweli na siongezi neno hata moja kwa sababu badala ya kutaka kufahamu zaidi umeanza na mapuuza. Hivyo tuendelee kulaaniana na kutafutiana majina ya hovyo lakimi hoja imeshatua masikioni mwako na itaendelea kukaa humo akilini

Huo ukweli na hizo siri ziweke wazi,mbona unazificha na bado unalialia.
 
Nitaanza na hii YHWH mpaka utaponiwekea ushahidi wa aya

Biblia ya Kiebrania haina neno “Yehova” ndani yake hata kidogo.


Neno linalotumika ni tetragramatoni kwa kutumia, 'Y' 'H' 'W' 'H'.


Mtu anawezaje kutamka YHWH kuwa Yehova?

Hakuna njia inayowezekana. Kama vile Kiarabu, Kiebrania hakina vokali. Kuongeza vokali kunaweza kufanya neno kuwa "YEHOWA" lakini hiyo inamaanisha nini?


Neno hili si neno la Kiebrania, wala halina maana yoyote katika Kiarabu (lugha dada ya Kiebrania).

Njia sahihi ya kulitamka ni "YAHUAH" ambalo pia lipo katika Kiarabu na kusomeka kama "YA HUWA" maana yake "O! HE" au "O! YEYE ni" na inaweza pia kuchukuliwa katika wakati ujao.



Catholic Encyclopedia inatoa maana ya Yahweh kama "Yeye Aliyeko" na pia inaendelea kutoa tafsiri yake isiyo sahihi kwamba ni jina la Mungu.


Huenda hoja hiyo ikasikika kuwa ya kudanganya lakini ikisomwa kulingana na muktadha na kutoka katika Biblia, inaonekana kuwa yenye mantiki na sahihi.

Katika Biblia, wakati wowote maneno Ya Huwa yanapotumiwa, kuna neno la ufuatiliaji ambalo linamaanisha Mungu.

Kwa mfano

JEHOVAH SHAMMAH

Ezekiel 48:35

JEHOVAH RAPHA

Exodus 15

JEHOVAH-TSIDKENU

Jeremiah 23:6

JEHOVAH-JIREH

Gen. 22:14

JEHOVAH-MELEK

Isaiah 33:22

JEHOVAH-NISSI

Exodus 17:8-16


JEHOVAH-SHALOM

Judges 6:24


JEHOVAH-SABBAOTH

1 Samuel 1:3

JEHOVAH-MEKADESH

Leviticus 21:8

Hizi ni sehemu chache tu ambazo majina haya yametajwa.

Wametajwa mara nyingi.

Hata kama tunachukulia neno Yehova kuwa halimaanishi "O! Yeye yuko", bado haileti maana kile ambacho Biblia inasema.

Kwa njia hii, Yehova Elohim ingemaanisha “Mungu Mungu”.

Kwa hakika Yehova haimaanishi Mungu.

Biblia nyingi hutafsiri kama Bwana ambayo ina maana zaidi, Lord God , "Bwana Mungu".

Dictionary imetafsiri lord kama ifuatavyo


1. a person who has authority, control, or power over others; a master, chief, or ruler.

2. a person who exercises authority from property rights; an owner of land, houses, etc.

3. a person who is a leader or has great influence in a chosen profession: the great lords of banking.

4. a feudal superior; the proprietor of a manor.

5. a titled nobleman or peer; a person whose ordinary appellation contains by courtesy the title Lord or some higher title.

6. Lords, the Lords Spiritual and Lords Temporal comprising the House of Lords.

7. (initial capital letter) (in Britain) a. the title of certain high officials (used with some other title, name, or the like): Lord Mayor of London.

b. the formally polite title of a bishop: Lord Bishop of Durham.

c. the title informally substituted for marquis, earl, viscount, etc., as in the use of Lord Kitchener for Earl Kitchener.

8. (initial capital letter) the Supreme Being; God; Jehovah.

9. (initial capital letter) the Savior, Jesus Christ.

10. Astrology. a planet having dominating influence.

Lord does not mean God , (
Bwana haimaanishi Mungu.)



Kwa lugha ya Kiarabu ,YaHuwa , maana yake ni "O! YEYE ni" na kwa lugha ya Kiebrania maana yake ni "Aliyeko".

Maana hizi mbili zinafanana sana.

Limetumika kimakosa kama jina la Mungu.

Vivyo hivyo, katika Kiebrania, Ya Huwa (Yehova/Yahweh) si jina la Mungu bali larejezewa kuwa hilo kwa sababu ya heshima.

Nadhani ni wakati sasa wa kumpokea Yesu kristo kama Bwana na mwokozi wako,mana biblia unaifahamu vyema kabisa.
 
Nadhani ni wakati sasa wa kumpokea Yesu kristo kama Bwana na mwokozi wako,mana biblia unaifahamu vyema kabisa.
Inaendelea


Pamoja na Mungu

Wale wanaodai kuwa Yesu alikuwa Mungu, wanashikilia kuwa yeye hakuwa Mungu aliyetengeka, bali ni mmoja na ni Mungu yule yule mwenye mwili.

Wao wanaunga mkono imani hii kutokana na mstari wa 30 wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura 10, ambayo ndani yake Yesu anaripotiwa kuwa amesema,

“Mimi na Baba ni kitu kimoja.”

Nje ya muktadha, mstari huu unaashiria uungu wa Yesu.

Hata hivyo, pale Wayahudi walipomtuhumu kwa kudai uungu, kwa kutegemea sentesi hiyo, Yohana 10:34 “Yesu akawajibu, Je, haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita
miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu;" Amewabainishia, kwa mfano wa maandiko unaojulikana sana kwao, kuwa yeye alikuwa anatumia lugha ya kistiari ya manabii ambayo haipaswi kufasiriwa kwa kujipachika uungu yeye mwenyewe au kwa mtu mwingine yoyote.

Ushahidi zaidi unachukuliwa kutoka katika mstari wa kumi na wa kumi na moja wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura ya 14, pale watu walipomtaka Yesu awaonyeshe Baba, naye inaaminiwa alisema:

"Husadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.”

Ibara hizi zingeashiria uungu wa Yesu, kama sehemu iliyobakia ya Injili hiyo hiyo inapuuzwa. Hata hivyo, aya tisa baadaye, katika Yohana 14:20, pia Yesu anarekodiwa akiwaambia wanafunzi wake,

"Siku ile mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.” Kwa hiyo, kama maelezo ya Yesu "Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; yanamaanisha kuwa yeye ni Mungu, basi vivyo hivyo iwe kwa wanafunzi wa Yesu.

Hii sentensi ya kiishara inamaanisha umoja wa lengo na sio umoja wa asili. Tafsiri ya kiishara inasisitizwa zaidi katika Yohana 17:20-21, pale Yesu aliposema, "Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya
neno lao. Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.
 
Wow Allah is beautiful and his prophet handsome. I love them both wow they're fucking hot. Islam is sweet lets worship beautiful Allah and his handsome prophet. Plenty of 😘😘 to Allah and Mudi mwaah 😘 mwaah mwaaah.

Allauuh waakbar 🥰💕💘

Ami Kikwajuni One ielewemitaa hydroxo kahtaan FaizaFoxy inamankusweke STRUGGLE MAN Bwana Utam FaizaFoxy

Njoo kwa id yako halisi wacha utoto


Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu. (Amosi 5:23).

Ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti ya vinanda na kujifanyizia vinanda vya namna nyingi kama vile Daudi. (Amosi 6:5).

Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asema Bwana Mungu. Mizoga itakuwa mingi kila mahali wataitupa wakinyamaza kimya. (Amosi 8:3)
 
BAKWATA ni yenu waislam, mnao uwezo wa kuifumua yote na kuunda upya kadiri mnvyotaka nyinyi wenyewe. Msitafute pa kutokea kwa visingizio vya Nyerere

Uwezo huo uliwapa wewe dongo jeusi , au unataka itumike nguvu kama hapa



121241571_817248922415257_3932205569220230057_n.jpg
 
Njoo kwa id yako halisi wacha utoto


Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu. (Amosi 5:23).

Ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti ya vinanda na kujifanyizia vinanda vya namna nyingi kama vile Daudi. (Amosi 6:5).

Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asema Bwana Mungu. Mizoga itakuwa mingi kila mahali wataitupa wakinyamaza kimya. (Amosi 8:3)
Huwezi kunizuia kumpenda Allah mrembo wangu na handsome mtume wake Muhamad salalaa wa salaam. Have fallen in love am in love with beautiful Allah and his good-looking prophet mudy. A billion kisses to Allah and his beloved prohet mudy mwaah mwaaah mwaah 😘😘😘💕❤️💕

Islam forever 🥰💘💘💘💘💘
 
Back
Top Bottom