UTEUZI: Susan Kaganda Balozi mpya wa Tanzania - Zimbabwe, Prof. Sanga apewa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.amefanya uteuzi wa viongozi watatu.

Ambapo katika uteuzi huo ameweza kumpangia kituo cha kazi Suzan Kaganda kwenda Nchini Zimbabwe.

Hi hapa taarifa ya ikulu👎
 
Hawa wote ni from Njombe/Iringa
 
Huyu suzzy angepelekwa Congo, angefaa sana kwa kumaliza vita isiyoisha kwa muda mrefu.
 
ZIMBABWE MYEYUSHO....DALILI KUWA HAWAKUTAKI JESHINI....LASTLY NI KUKUTUPA KANDO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…