Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Sijateuliwa.Ww umepangiwa wap ...au time wl tel
Kazi ya Balozi ni kwenda kuwakilisha Nchi yetu na siyo kwenda kupigana vita msituni huko.Huyu suzzy angepelekwa Congo, angefaa sana kwa kumaliza vita isiyoisha kwa muda mrefu.
Haina shida maana wote wana sifa na wamekizi vigezo na ni watanzania.Hawa wote ni from Njombe/IringaView attachment 3252333
ZIMBABWE MYEYUSHO....DALILI KUWA HAWAKUTAKI JESHINI....LASTLY NI KUKUTUPA KANDONdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.amefanya uteuzi wa viongozi watatu.
Ambapo katika uteuzi huo ameweza kumpangia kituo cha kazi Suzan Kaganda kwenda Nchini Zimbabwe.
Hi hapa taarifa ya ikulu👎View attachment 3252327
Huyo hawezi kupangiwa chochote kokote! Yaani mtu anamsifia boss hadi boss anaogopa!Ww umepangiwa wap ...au time wl tel