Uteuzi wa Hoyce Temu kuwa Balozi na uelewa wetu kuhusu mabalozi

Shosti wangu Hoyce ana taaluma kidogo ya diplomacy but siyo career diplomat. Therefore, yeye anaangukia kwenye kundi la akina Valentino Mlolowa
Ni career diplomat
Kwa sababu amefanya kaz UN-TZ
Kama Afisa mkuu kitengo cha mawasiliano....
 
Hoyce Temu anaangukia kwenye career.
 
Kama namuona Da Mange anavyokufa kwa kihoro huko, alijua kumsakama dada wa watu, (wivu mbaya jamaniii)

Hoyce nimemjulia kwenye kipindi chake alichokua anasaidia watu wasiojiweza, ana utu sana, alikua na kila sababu ya kufanya vipindi vya mapishi, fashion, kuhoji wasanii lakini akachagua kua karibu na jamii isiyozunguziwa, akatuonesha maisha halisi ya watu wasiojulikana, kupitia yeye mimi na familia yangu tumepata thawabu sana kwa kuchangia binaadam wenzetu watesekao,

Nampongeza mama Samia kwa kumchagua huyo dada, Anafaaaaa.
 
Hongera zake basi...

Ila kuna watu wanasaidia wasiyojiweza
Ila huwezi wanna kwenye makamera wa TV

Ova
 
Hongera zake basi...

Ila kuna watu wanasaidia wasiyojiweza
Ila huwezi wanna kwenye makamera wa TV

Ova
Ungekiona kile kipindi ndio ungeelewa,
Sio tu kusaidia kwa kuwapa mkate na chai bali kuwa sauti ya hao watu waliokata tamaa na maisha lakini pia kuifanya jamii iwatambue na kuwasaidia.
 
Eh story ndeefu lakini mimi sioni shida kwa Hoyce Temu kuteuliwa, maana ni kweli nimeona cv yake kwenye mitandao na nimeona ni katika wanaofaa. Kati ya wengi wanaofaa lazima ateuliwe mmoja, hatuwezi kuteuliwa sote. Pia mbali ya Rais lakini hata Mwenyezi Mungu ndiyo amefanikisha hayo.

Ama kwa wanajeshi mbona wako wengi huwa wamesomea hayo mambo kimya kimya. Unasikia ameteuliwa mwambata wa jeshi kwenye ubalozi fulani, ila miaka hii kelele zimekuwa nyingi sana kwa vile kila mmoja wetu anao uwezo wa kusema anavyopenda alimradi amenunua MB kwenye simu.

Wengine kelele nyingi hata hawasomi kilichoandikwa alimradi wanafuata mkumbo tu.
 
Hajawahi kufanya kazi yeyote ya diplomacy. Kuwa UN au kuwa kwenye any international entity au wizara ya nje isn't a ticket. Unaweza ukawa huko na bado ukawa accountant

She was not in diplomacy or international relations. Alikuwa communication specialist, a title you can hold hata kwa Bakhresa

She was not in diplomacy or international relations. Alikuwa communication specialist, a title you can hold hata kwa Bakhresa

Okay
 
Hajawahi kufanya kazi yeyote ya diplomacy. Kuwa UN au kuwa kwenye any international entity au wizara ya nje isn't a ticket. Unaweza ukawa huko na bado ukawa accountant
Kwenye cv yake imesema amefanya postgraduate studies in foreign relations. Kwa hivyo anayo a b c za international relations mbali ya kuwa communications specialist.
 
Nikusaidie kitu maana nimekaa MFA for years...

Career diplomat ni hao wanaopanda ngazi pale MFA na hawa huwa ni full employees...

Hoyce Temu sio career diplomat... ni political appointee.
Nakubaliana na wewe.
Ujue kwamba kigezo kimoja wapo cha yeye kiteuliwa ubalozi ni kuwa na taaluma ya diplomasia.
Mengine yanabaki kuwa yalivyo ,anaweza kuwa recruited wa idara sisi bila kujua.
 
Mange nae! sasa alikuwa anamsakama kwa nini?
 
Wanajeshi wamsaidie Rais wetu kwenye nchi za kivita, wamsaidie kitu gani, kudukua mapungufu ya silaha kila upande wa mgogoro ili kutafuta masoko ya mizinga ya kuwauzia ????

Wanajeshi wanapelekwa kwenye nchi za kimkakati kama Russia na Egypt na Afrika Kusini, why Egypt and Russia and SA, ni nchi gani ambayo hatuna mikakati nayo, England and Kenya ????

Kwani civilian akiwa balozi hawezi kufanya hiyo mikakati au ni mikakati gani hasa hiyo ambayo wanaweza wanajeshi tu ?????

Basi kwa nini tusipeleke wanajeshi tupu wakawe mabalozi dunia nzima ili waendeshe mikakati ya kutu link kimaendeleo ????

Au mikakati ni mambo ya kivita tu ? Tuna vita na Egypt na South Afrika ???

Na kama kuna nchi ambazo hatuhitaji kutuma wanajeshi kwa sababu hakuna vita na hatuna mikakati nao at all wala hatuna mitikasi nao at all kwa nini tunafanya nao ubalozi at all, why the heck ?????

Ningesoma hicho chuo chenu cha Kurasini wangenifukuza darasani siku ya pili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…