Uteuzi wa Hoyce Temu kuwa Balozi na uelewa wetu kuhusu mabalozi

Sawa Dada Hoyce Temu tumekuelewa.
 
Safi kabisa ,wengi walidhani yuko kama wale mashimo ya kutupa taka akina wema
 
Hapo kwenye kusoma CFR ni sawa hiyo ni sifa mojawapo na kama alisoma pale basi amekidhi kigezo. Ila hilo la Communication Specialist nimeongea na mtu wa UN kumbe hawa ni wale front desk callers hilo ni jina tu ili wasijisikie vibaya hawa ni wale receptionist au wapigaji simu kama wa tigo/vodacom na sehemu nyingine za watoa huduma.

Labda uniambie alisoma chuo cha Mass Com mpaka awe Communication Specialist?
 
Hiyo tu haitoshi! Umuhimu wa kuiwakilisha nchi ni zaidi ya kuajiliwa UN. UN ina ofisi kibao na haimaanishi uwezo wa kidiplomasia. Hili ni tatizo la kushindwa kutofautisha NGOs na Serikali.
 
Whooooooeee! Barua reeeefu lakini hakuna kitu. Kwani Geneva Convention inasema ni kosa kuwa Miss World? Au kuwa Msaidizi wa Jakaya Mrisho ni kosa ka jinai! Uuuuwi, hawa wenzetu wamekosa hoja kweli.
 
Hebu toa majukumu ya diplomacy ambayo aliwahi kuyafanya

Alisoma Masters ya Mass communication Pale SAUT MWANZA.
 
Acha kupotosha career ambassador ni Balozi anayeteuliwa kutokana na maofisa mambo ya nje waajiriwa wa wizara ya. Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
Wengine wote nje ya. FSO hao political appointed.
Kwa system ya marekani ilivyo mabalozi ambao ni political appointed ajira zao zinakoma na rais aliyewateua uraisi wake unapokwisha ila wale ambao ni career appointed wanaendelea na ubalozi hata rais aliyewateua anapoondoka .

Halafu ni hivi kwenye kila ubalozi wa Tanzania kuna mtu anaitwa military attachee
Huyo hoyce Temu tuelewane vizuri hiyo kazi UN aliwekwa kwa rushwa ya ngono hiyo inajulikana hata hapa JF taarifa ziliwekwa ni malaya tu nahis SSH amechomekewa jina na akina Balozi Celestin Mushi ambaye ni hawara wa huyo dada
Halafu wewe mtoa post ndiye@ Emmanuel Kasomi kwani posti zenu zinafanana kwa upuudhi mnaoposti mnatumia. nguvu nyingi kupotosha vitu ambavyo huvijui
 
Hiyo tu haitoshi! Umuhimu wa kuiwakilisha nchi ni zaidi ya kuajiliwa UN. UN ina ofisi kibao na haimaanishi uwezo wa kidiplomasia. Hili ni tatizo la kushindwa kutofautisha NGOs na Serikali.
thanks
 
Mkuu watu wengi wanaopata teuzi hizi ni TISS na maafisa wengi wa mambo ya nchi za nnje huwa ni TISS, huwezi kujuwa kwa Hoyce Temu ni mmoja wao. Hawa jamaa wako wengi sana na wamepandikizwa sehemu nyingi, inawezekana hata wewe ni mmoja wao.
 
Uliposema si mabalozi wote hutumwa nchi za nje wengine hubaki hapa nchini kufanya kazi mbalimbali ningependa nizijue hizo kazi ili nione kama haziingiliani na kazi za wengine.
Je hao hao ubaki hapa nchini ulipwa mishahara na kiasi gani na siyo kama matumizi mabaya ya pesa?

Sorry nime quote ili tupate majibu kwa pamoja mkuu.
 
Nakubaliana na wewe.
Ujue kwamba kigezo kimoja wapo cha yeye kiteuliwa ubalozi ni kuwa na taaluma ya diplomasia.
Mengine yanabaki kuwa yalivyo ,anaweza kuwa recruited wa idara sisi bila kujua.

Sio lazima usome diplomasia ndo uteuliwe uwe balozi. Wanaolazimika kusoma diplomasia ni hao career diplomats ambao huajiriwa na serikali husika katika issue nzima ya diplomatic missions...

Balozi ni Kama waziri tu anateuliwa kulingana na matashi ya mteuaji
 
Safi kabisa ,wengi walidhani yuko kama wale mashimo ya kutupa taka akina wema
Atu wasimdharau Hoyce kwa historia ya kushughulika na urembo. Nawe usibague wala kutukana akina Wema. Ni haki ya wananchi kujua wasifu wa wateuliwa. Hilo si jambo la mzaha. Lakini maelezo ya Hoyce hayatoshelezi dukuduku la kujua kama anafaa kuwa Balozi. Sifa za jumla, tena fupi, kuwa alisoma Postgraduate au alifanya kazi UN si sifa nzito. Hizo kazi za UN alifanya kwa muda gani kwa gredi ipi ndiyo muhimu kwa ubobezi wa kazi kama kazi tu. Hata hivyo kazi hizo si za diplomasia hata kidogo. Tuonyesheni CV nzima na flow yake bila kukatakata, na watu wataridhika kama yuko sawa na wanaotegemewa kuwa mabalozi.
 
Kusema kweli hapo ndo sijui
Ila Majina ya watu hufanana
Mfano Majina ya akina Kijazi
Hata hivo mtu huteuliwa kulingana na sifa sio undugu.
Lakini pia sifa ya wahaya wote tunaijua ni kusaidiana.
Kwani wale kina Kijazi hawana uhusiano wa kindugu? Maana iliwahi semwa kuwa yule mama wa TMA ni mke wa yule wa TANAPA, na yule wa TANAPA na Marehemu ex Chief Secretary walikuwa ni brothers, ni kweli ama ni story tu kama story nyingine?
 
Course Coordinator said:
Kusema kweli hapo ndo sijui
Ila Majina ya watu hufanana
Mfano Majina ya akina Kijazi
Hata hivo mtu huteuliwa kulingana na sifa sio undugu.
Lakini pia sifa ya wahaya wote tunaijua ni kusaidiana.

Kwani wale kina Kijazi hawana uhusiano wa kindugu? Maana iliwahi semwa kuwa yule mama wa TMA ni mke wa yule wa TANAPA, na yule wa TANAPA na Marehemu ex Chief Secretary walikuwa ni brothers, ni kweli ama ni story tu kama story nyingine?
Marehemu Eng. John William Kijazi (ex Chief Secretary), Dk. Allan Kijazi wa TANAPA na Dk. Agnes Kijazi wa TMA ni ndugu. Huoni wanavyofanana?...





 
Ni kweli bwashee Hoyce kabla hajawa miss Tanzania alikuwa kondakta pale stendi ya Kisutu

Ni baada ya kumaliza form 6 pale Zanaki
Mpambanaji Sana. Chugamaican Queen. Mtoto wa fire. Kasomaga uhuru primary na Arusha secondary. Halafu she is confident and bright. She deserves.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…