Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimi hata Mimi naona ana shida kubwaSiamini kama january ana kiingereza kizito labda ni jinsi anavyoongea.
Huyo ni next prezidaa wako
Ongeza nyama hapa mkuuMembers wa mbuyu, msufi, na freemasons ni wachache
Ulitaka iteuliwe wewe?Nimeangalia video ya January Makamba akila kiapo cha ujumbe wa bunge la Africa mashariki, bado naona ni kiumbe Mchanga sana, kiingereza chake ulimi mzito, confidence mbovu, ni aina ya mtu asiye na exposure yoyote. Afadhari ya Bashe.
Napata shida kwenye meza ya majadiliano tutapigwa za uso Kila sehemu.
Hakika kimataifa sasa taifa linaenda kupotea.
Poleni Watanzania wote.
Ndio hivyo tena
Wadiz
I has see what you conservation with the ranguage, I have need to say you had try it very correct, I am fine thank youTusipimane kwa lugha ya kingereza!,
"Please left your prostitute,the man is our man is a child from our fathers, am fine thanks how about others!!😂😂'
"Please left your prostitute" tafsiri hapo umeniacha kwenye KonaTusipimane kwa lugha ya kingereza!,
"Please left your prostitute,the man is our man is a child from our fathers, am fine thanks how about others!!😂😂'
Hii akili ya ndani ya familia sio ya nchi hii. January ananuka hatari.Siamini kama january ana kiingereza kizito labda ni jinsi anavyoongea.
Huyo ni next prezidaa wako
Mwana nilikuwa nampa gwala sana Kati ya 2013 hadi 2017.. baada yapo nikagundua ni mtu wa deal nikatemana nae. Hana mchango wowote kwa taifa hili.Nimeangalia video ya January Makamba akila kiapo cha ujumbe wa bunge la Africa mashariki, bado naona ni kiumbe Mchanga sana, kiingereza chake ulimi mzito, confidence mbovu, ni aina ya mtu asiye na exposure yoyote. Afadhari ya Bashe.
Napata shida kwenye meza ya majadiliano tutapigwa za uso Kila sehemu.
Hakika kimataifa sasa taifa linaenda kupotea.
Poleni Watanzania wote.
Ndio hivyo tena
Wadiz
OMG!Tusipimane kwa lugha ya kingereza!,
"Please left your prostitute,the man is our man is a child from our fathers, am fine thanks how about others!!😂😂'