Umeandika vyema sana.
Japo, nimesikitika sana kuona ama kusoma.kuwa pana mtu alikuja akapata shida ya kuingia japo JNIA yaani, sielewi kabisa sisi hapo Tanzania, unawezaje ukamuita mkufunzi toka nchi nyingine halafu ushindwe kumpokea hadi Simu ipigwe kutoka feri na chuoni?
Hii ni aibu kubwa na pia ni uratibu wa wageni wa kiwango cha zero brains kabisa.
Intelligence services, wanashindwaje kumpokea mtu kwa ajili yao?
Ni aibu kama hayo ni kweli , wanahiitaji kufanyiwa msasa.
Ila, nimuulize mwansishi wa thread hii, kwa nini wewe unaona ulinzi na usalama kwa Tanzania kushirikiana na Israel na siyo nyanja zingine za maendeleo maana naona ndiyo sekta umeipatia kipaumbele? Ni kwa nini?
Ahsante.