Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr umri umesogea sana! Naunga mkono swala MM Mwanakijiji. Ameendesha siasa zetu nyuma ya keyboard muda mrefu. Political involvement yake imejaa experience kubwa sana.Nahisi Dr Wilbroad Slaa atapewa nafasi hiyo...Au kama Rais angetaka kulishika kundi la Vijana angempa January Makamba.
What do you think though? Think he’ll make a good Secretary General?Nyani
Umewaza nini?
Mbona soksi inavishwa juu ya kiatu?
Nilishasahau hii#Hata agrey mwanry anafaa....[emoji848]
Eeenh Heee.It will serve Magufuli well to have a loyal lieutenant by his side.
Sisi wanaccm damu damu tunamtaka Paulo Daud Makonda.
Mwanakiji kigezo cha dini kitamuangusha... Si unajua tena CCM na mambo yao ya kujifanya wanachanganya!!? Kwa hiyo number 1, 2 & 3 hawawezi toka upande mmoja.Umeona eeh?
Jamaa anafaa sana.
Ni political strategist mzuri sana.
Mzee Mwanakijiji kwa wakati huu wa siasa za uchumi wa kati anahitajika kuwa jikoni kugroom vijana namna ya kukwepa mishale ya kisiasa na siyo kuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano akiwa na jeshi lisilo na utamaduni wa nidhamu za kisiasa.What do you think though? Think he’ll make a good Secretary General?
You can miss me with your bovine faeces.Eeenh Heee.
And what is more interesting than Monday morning, waking up to hear from the airwaves; nay, from the electronic bundles that President Magufuli has tapped the services of Nyani Ngabu as the replacement for Popole, Katibu Mwenezi..., and what not!
Congratulations to the trio of you are certainly in order!
What a "Tanzania Mpya" to look forward to!
Makamba can’t be trusted. He may sabotage the president.Mzee Mwanakijiji kwa wakati huu wa siasa za uchumi wa kati anahitajika kuwa jikoni kugroom vijana namna ya kukwepa mishale ya kisiasa na siyo kuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano akiwa na jeshi lisilo na utamaduni wa nidhamu za kisiasa.
Mimi ukiniambia January Makamba naweza kusema ana uwezo na ubunifu wa Siasa jamii. ni kijana pia ana uzoefu
AiseeeeJ alishikeje kundi la vijana? Kuwala wadada wachuo na kufukua tope za magay?? Kwenye hii nchi viongozi vijana ndo useless kabisa Kwa vijana wenzao kuliko wazee
"Miss you"?You can miss me with your bovine faeces.
Hahahaaa."Miss you"?
You forget the position is "Katibu Mwenezi..."!