Uteuzi wa Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu kiongozi wazua mjadala, Mnyika ajitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yake

Pia ni muhimu kujua makundi ya utumishi wa umma yaliyo ainishwa kwenye Sheria ya utumushi wa umma ili kupata uelewa zaidi kabla hujakosoa uteuzi
 
ccm haina watu wengine hadi muanze kuhamishia chama Ikulu ?
Hivi katiba inazuia katibu mkuu wa chama kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi?
Logic: Hivi chadema ikishinda uchaguzi (najua haitatokea!) Ina maana mnyika kweli hatateuliwa kushika nafasi serikalini?
Chadema mnapiga too much porojos!
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Mataga kwisha kazi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…