Uteuzi wa Mabalozi 23 leo, Hakuna aliepangiwa kituo cha kazi au mimi sijaelewa?

Utaelewa tu ndani ya siku mbili tatu.
 
Kituo cha kazi ni mpaka nchi wanazotakiwa kwenda waridhie
Hiyo iko tayari list ni mchakato tu ila wameshapangiwa approval zikija na huku wameshaapa inakuwa tu taratibu za kutaarifu tu wewe huku wewe kule kwa maana hiyo wanaorudishwa majina tayari haya ni mambo ya kawaida ni kama unasajili team halafu kocha anapanga nani anacheza na bench nani.
 
Vuta subira kuna maBalozi wanarudishwa na wengine kustaafu...
 
 
Zamani kama vile huwa wanateuliwa na nafasi zao tayari, siku hizi naona kama uteuzi then kupangiwa kunafuata au ni taratibu za diplomasia zimebadilika?
 
Serikali ya Bongo iliwahi kumkataa balozi wa Zambia sababu ya jina lake, ni mpaka nchi wanazokwenda waridhie, pia mabalozi wanaorudishwa wanahakikiwa mfano Slaa, Tossi ni lazima wanrudi
Lakini balozi wa Zambia alitisha,. Musenge Mukuma! Hata Mimi nisingempokea.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
..nimewahi kusikia tetesi kuwa nchi moja ya ulaya ilikataa kumthibitisha balozi wetu.

..pia nimewahi kusikia tetesi za jamaa mmoja aliteuliwa kuwa balozi akakataa uteuzi huo.

..wote wawili walikuwa na vyeo vya kijeshi.

cc MALCOM LUMUMBA
Tumainiel Kihwelu R.I.P (Nigeria) akapelekwa kuwa mkuu wa mkoa shinyanga.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini isipokuwa hao wakurugenzi wawili wa fedha na utawala ndio hukosa hadhi ya ubalozi?
 
Kwanini isipokuwa hao wakurugenzi wawili wa fedha na utawala ndio hukosa hadhi ya ubalozi?

..kwasababu hao wakurugenzi wawili sio watumishi specific wa wizara ya mambo ya nje.

..watumishi wa wizara ya mambo ya nje wana ngazi zao za utumishi, na cheo cha mwisho ni ambassador / balozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…