Uteuzi wa Makamba kama Waziri wa Nishati na aliyofanya alipoteuliwa umenifanya niwakataze watoto wangu kuchukua masomo ya Sayansi

Uteuzi wa Makamba kama Waziri wa Nishati na aliyofanya alipoteuliwa umenifanya niwakataze watoto wangu kuchukua masomo ya Sayansi

Makamba Januari amewekwa pale ili Msoga team wamalizie kile ambacho walikuwa wamebakiza.
Baada ya Janabi kuwasafishia njia.

Bwawa la JNHP licheleweshwe kwa maksudi ili wapate fursa ya kuingia mikataba ya kinyonyaji yenye kuwanufaisha na 20% zao,kama ilivyotokea na inavyoendelea.

Kuna mikataba mingi imeingiwa ambayo huko mbeleni itakuja kuwa Scandals tupu.

Aliwaondoa wataalamu husika kwanza,ili waweze kuamua mambo yao bila vikwazo.

Kumbuka Kikwete ndie alimfuata Samia kumtoa Chumbani kumleta ukumbini Chimwaga Dodoma kumtambulisha kwenye CCM/CC kwamba ndie mgombea mwenza wa JPM.

Leo hii Janabi amepewa promotion ya kuwa mkurugenzi wa Muhimbili.

Baada ya kutoka kutubu na kuungama dhambi zao yeye na Kikwete huko Mecca.

Mama yupo autopilot pale,mshika usukani anajulikana.

Angalia Ardhi unamtoa Lukuvi unapeleka Msoga team,sababu tu,Lukuvi asingekubali ufisadi wao.

Tanzania maudhi ni Mengi hata ukiangalia movie gani Duniani...bado utaendea kuudhika ukiwa ukumbini.
Kweli tupu
 
Kuna mengi yalisemwa kuhusu January kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, mojawapo likiwa ni kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa wazee kwa mama kumpa January wizara hiyo nyeti kama chaguo lake.

Sasa kwangu mimi hilo nililiona lina walakini sana. Sina tatizo na Makamba kuwa waziri, lakini kwa nini wizara ya Nishati ambayo ni nyeti sana? Kwa nini tusiwe na waziri katika wizara hii ambae ana ufahamu angalau na mambo ya sera na utawala katika mambo ya nishati? Hakuna Mtanzania ambae angefaa zaidi sana ya Makamba?

Nikasema ngoja nimpe kinachoitwa the benefit of doubt, kwamba mtu ambae hana kabisa background ya energy policy na management atuongozee hii wizara. Kama nilistaajabishwa na uteuzi wake, nilipata na mshituko na yale aliyofanya mara tu baada ya kuteuliwa. Alibadilisha watendaji nyeti wote wa juu katika wizara hii!

Nikauliza ndugu zangu walio karibu na jikoni - kulikoni? Wengi wakasema hataki kufanya kazi na wateule wa Magufuli. Nikauliza hawataki wale wasio na sifa ambao labda Magufuli aliwateua kwa ukabila na urafiki? Nikaambiwa hapana, wote tu.

Sikuamini. Nikamchukulia Dr. Tito Mwinuka ambae alikuwa Mkurugenzi wa Tanesco, ambae nae January alitaka aondoke. Nikaangalia background yake na kuona Mwinuka ni mtu alikuwa kipanga sana kimasomo. Alisoma PCM, akasomea uhandisi pale UDSM na kufaulu vizuri sana hadi kubakizwa kama lecturer. Akaendelea kupanda hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenizi wa Tanesco.

Nilishituka hata zaidi kusikia nani atam-replace Dr. Mwinuka - mtu aliesimamia kampuni ya television channel! Nikajiuliza, hivi tuna tatizo gani? Kweli tunafikiri mtu akifanikiwa kusambaza DSTV nchini atafanikiwa kuongoza Tanesco zaidi sana ya mtu kama Dr. Mwinuka? Siamini. Ngoja muda uni prove wrong.

Sasa nilipofikiria kwamba upande wa pili tuna January, ambae alisomea masomo ya kiingereza na historia sijui, na akaja kuwa mwandishi wa hotuba za Kikwete, na kutokana na ukaribu wake na Kikwete na kuwa mtoto wa Makamba akawa waziri. Leo hii huyu ndio anasema simtaki Mwinuka, aondolewe pale Tanesco. Yaani vijana wa UDSM watakuambia nguini ana dictate injinia aondolewe katika kazi ya uinjinia kwa sababu nyepesi sana!

NIkasikitika sana. Ndipo nikakumbuka ule mtazamo kwamba watu wa masomo ya sayansi wanafanya kazi kubwa sana katika maisha yao ya shule, lakini katika maisha wanakuja kuamuliwa mambo na hao waliowaita manguini au hata wale vilaza wa darasani walioamua kuingia kwenye siasa kwa kuwa hawakua na kitu kingine cha kufanya!

Hebu niambieni labda sioni. Tumepata mafanikio yepi katika utendaji wa wizara ya nishati tangu uteuzi hu wa Samia? Mambo yanazidi kuharibika kila siku katika kipindi hiki kigumu ambacho tunahitaji sana wizara hii iongozwe na mtu mwenye utaalamu wa juu wa sera na utawala katika masuaala ya nishati. Sio mzoefu wa kuandika hotuba. Mama usisubiri mambo yaharibike kabisa.

Nadhani dunia inahitaji mapinduzi ya wasomi wa science na teknolojia na kuondokana na kuamuliwa mambo ya kiufundi na watu ambao hawastahili kufanya maamui katika nyanja hizo!

Nikawaambia wanangu, epukeni kozi ngumu za sayansi. Someni historia na kiingereza mje kuwa waandishi wa hotuba za maraisi na mawaziri hata wa nishati au sayansi na teknolojia!
Umeandika rubbish
 
Tatizo kubwa ni katiba, ilitakiwa mawaziri wawe confirmed na bunge. Huenda Makamba asingeteuliwa au hata kama angeteuliwa asingepita kwenye "check" ya bunge.
Kwa Nchi yetu sawa na bure, tatizo lipo kwetu Wananchi.
 
Tatizo kubwa ni katiba, ilitakiwa mawaziri wawe confirmed na bunge. Huenda Makamba asingeteuliwa au hata kama angeteuliwa asingepita kwenye "check" ya bunge.
Bunge hili hili la chama kimoja ?
 
Badala ya makamba ulitaka nani awe waziri wa nishati?
 
Kuna mengi yalisemwa kuhusu January kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, mojawapo likiwa ni kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa wazee kwa mama kumpa January wizara hiyo nyeti kama chaguo lake.

Sasa kwangu mimi hilo nililiona lina walakini sana. Sina tatizo na Makamba kuwa waziri, lakini kwa nini wizara ya Nishati ambayo ni nyeti sana? Kwa nini tusiwe na waziri katika wizara hii ambae ana ufahamu angalau na mambo ya sera na utawala katika mambo ya nishati? Hakuna Mtanzania ambae angefaa zaidi sana ya Makamba?

Nikasema ngoja nimpe kinachoitwa the benefit of doubt, kwamba mtu ambae hana kabisa background ya energy policy na management atuongozee hii wizara. Kama nilistaajabishwa na uteuzi wake, nilipata na mshituko na yale aliyofanya mara tu baada ya kuteuliwa. Alibadilisha watendaji nyeti wote wa juu katika wizara hii!

Nikauliza ndugu zangu walio karibu na jikoni - kulikoni? Wengi wakasema hataki kufanya kazi na wateule wa Magufuli. Nikauliza hawataki wale wasio na sifa ambao labda Magufuli aliwateua kwa ukabila na urafiki? Nikaambiwa hapana, wote tu.

Sikuamini. Nikamchukulia Dr. Tito Mwinuka ambae alikuwa Mkurugenzi wa Tanesco, ambae nae January alitaka aondoke. Nikaangalia background yake na kuona Mwinuka ni mtu alikuwa kipanga sana kimasomo. Alisoma PCM, akasomea uhandisi pale UDSM na kufaulu vizuri sana hadi kubakizwa kama lecturer. Akaendelea kupanda hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenizi wa Tanesco.

Nilishituka hata zaidi kusikia nani atam-replace Dr. Mwinuka - mtu aliesimamia kampuni ya television channel! Nikajiuliza, hivi tuna tatizo gani? Kweli tunafikiri mtu akifanikiwa kusambaza DSTV nchini atafanikiwa kuongoza Tanesco zaidi sana ya mtu kama Dr. Mwinuka? Siamini. Ngoja muda uni prove wrong.

Sasa nilipofikiria kwamba upande wa pili tuna January, ambae alisomea masomo ya kiingereza na historia sijui, na akaja kuwa mwandishi wa hotuba za Kikwete, na kutokana na ukaribu wake na Kikwete na kuwa mtoto wa Makamba akawa waziri. Leo hii huyu ndio anasema simtaki Mwinuka, aondolewe pale Tanesco. Yaani vijana wa UDSM watakuambia nguini ana dictate injinia aondolewe katika kazi ya uinjinia kwa sababu nyepesi sana!

NIkasikitika sana. Ndipo nikakumbuka ule mtazamo kwamba watu wa masomo ya sayansi wanafanya kazi kubwa sana katika maisha yao ya shule, lakini katika maisha wanakuja kuamuliwa mambo na hao waliowaita manguini au hata wale vilaza wa darasani walioamua kuingia kwenye siasa kwa kuwa hawakua na kitu kingine cha kufanya!

Hebu niambieni labda sioni. Tumepata mafanikio yepi katika utendaji wa wizara ya nishati tangu uteuzi hu wa Samia? Mambo yanazidi kuharibika kila siku katika kipindi hiki kigumu ambacho tunahitaji sana wizara hii iongozwe na mtu mwenye utaalamu wa juu wa sera na utawala katika masuaala ya nishati. Sio mzoefu wa kuandika hotuba. Mama usisubiri mambo yaharibike kabisa.

Nadhani dunia inahitaji mapinduzi ya wasomi wa science na teknolojia na kuondokana na kuamuliwa mambo ya kiufundi na watu ambao hawastahili kufanya maamui katika nyanja hizo!

Nikawaambia wanangu, epukeni kozi ngumu za sayansi. Someni historia na kiingereza mje kuwa waandishi wa hotuba za maraisi na mawaziri hata wa nishati au sayansi na teknolojia!
Raid Samia amteue Mh. Mramba (katibu mkuu wa Nishati) kuwa Mbunge na awe Waziri wa Nishati.
 
Kuna mengi yalisemwa kuhusu January kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, mojawapo likiwa ni kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa wazee kwa mama kumpa January wizara hiyo nyeti kama chaguo lake.
Please, thibitisha bila kuacha shaka yoyote kuhusu hili.
Sasa kwangu mimi hilo nililiona lina walakini sana. Sina tatizo na Makamba kuwa waziri, lakini kwa nini wizara ya Nishati ambayo ni nyeti sana? Kwa nini tusiwe na waziri katika wizara hii ambae ana ufahamu angalau na mambo ya sera na utawala katika mambo ya nishati? Hakuna Mtanzania ambae angefaa zaidi sana ya Makamba?
Kwani mtangulizi wa JM, alikuwa na ufahamu gani kuhusu sera na utawala ktk mambo ya nishati?
Nikasema ngoja nimpe kinachoitwa the benefit of doubt, kwamba mtu ambae hana kabisa background ya energy policy na management atuongozee hii wizara. Kama nilistaajabishwa na uteuzi wake, nilipata na mshituko na yale aliyofanya mara tu baada ya kuteuliwa. Alibadilisha watendaji nyeti wote wa juu katika wizara hii!
JM, alibadilisha watendaji wote wa juu wa Wizara gani?
Nikauliza ndugu zangu walio karibu na jikoni - kulikoni? Wengi wakasema hataki kufanya kazi na wateule wa Magufuli. Nikauliza hawataki wale wasio na sifa ambao labda Magufuli aliwateua kwa ukabila na urafiki? Nikaambiwa hapana, wote tu.

Sikuamini. Nikamchukulia Dr. Tito Mwinuka ambae alikuwa Mkurugenzi wa Tanesco, ambae nae January alitaka aondoke. Nikaangalia background yake na kuona Mwinuka ni mtu alikuwa kipanga sana kimasomo. Alisoma PCM, akasomea uhandisi pale UDSM na kufaulu vizuri sana hadi kubakizwa kama lecturer. Akaendelea kupanda hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenizi wa Tanesco.
Sina uhakika kama ukiwa kipanga darasani vilevile na uta perfom vizuri huku duniani.
Nilishituka hata zaidi kusikia nani atam-replace Dr. Mwinuka - mtu aliesimamia kampuni ya television channel! Nikajiuliza, hivi tuna tatizo gani? Kweli tunafikiri mtu akifanikiwa kusambaza DSTV nchini atafanikiwa kuongoza Tanesco zaidi sana ya mtu kama Dr. Mwinuka? Siamini. Ngoja muda uni prove wrong.

Sasa nilipofikiria kwamba upande wa pili tuna January, ambae alisomea masomo ya kiingereza na historia sijui, na akaja kuwa mwandishi wa hotuba za Kikwete, na kutokana na ukaribu wake na Kikwete na kuwa mtoto wa Makamba akawa waziri. Leo hii huyu ndio anasema simtaki Mwinuka, aondolewe pale Tanesco. Yaani vijana wa UDSM watakuambia nguini ana dictate injinia aondolewe katika kazi ya uinjinia kwa sababu nyepesi sana!
Kwani ukiwa waziri wa wizara ya nishati lazima uwe mhandisi ?
NIkasikitika sana. Ndipo nikakumbuka ule mtazamo kwamba watu wa masomo ya sayansi wanafanya kazi kubwa sana katika maisha yao ya shule, lakini katika maisha wanakuja kuamuliwa mambo na hao waliowaita manguini au hata wale vilaza wa darasani walioamua kuingia kwenye siasa kwa kuwa hawakua na kitu kingine cha kufanya!

Hebu niambieni labda sioni. Tumepata mafanikio yepi katika utendaji wa wizara ya nishati tangu uteuzi hu wa Samia? Mambo yanazidi kuharibika kila siku katika kipindi hiki kigumu ambacho tunahitaji sana wizara hii iongozwe na mtu mwenye utaalamu wa juu wa sera na utawala katika masuaala ya nishati. Sio mzoefu wa kuandika hotuba. Mama usisubiri mambo yaharibike kabisa.

Nadhani dunia inahitaji mapinduzi ya wasomi wa science na teknolojia na kuondokana na kuamuliwa mambo ya kiufundi na watu ambao hawastahili kufanya maamui katika nyanja hizo!

Nikawaambia wanangu, epukeni kozi ngumu za sayansi. Someni historia na kiingereza mje kuwa waandishi wa hotuba za maraisi
Inaelekea hujitambui!
na mawaziri hata wa nishati au sayansi na teknolojia!
 
Zile amsha amsha za maendeleo za JPM zilikua balaa,kwa muda mchache alifanikiwa katika Mengi mno.
 
Please, thibitisha bila kuacha shaka yoyote kuhusu hili.

Kwani mtangulizi wa JM, alikuwa na ufahamu gani kuhusu sera na utawala ktk mambo ya nishati?

JM, alibadilisha watendaji wote wa juu wa Wizara gani?

Sina uhakika kama ukiwa kipanga darasani vilevile na uta perfom vizuri huku duniani.

Kwani ukiwa waziri wa wizara ya nishati lazima uwe mhandisi ?

Inaelekea hujitambui!
Kwani mtangulizi wa JM, alikuwa na ufahamu gani kuhusu sera na utawala ktk mambo ya nishati?

Prof. Muhongo? Wakati huo madini na nishati viliwekwa pamoja. Lakini kama nilivyosema, zile zilikuwa enzi tofauti.

JM, alibadilisha watendaji wote wa juu wa Wizara gani?

Nishati kutia ndani Tanesco

Sina uhakika kama ukiwa kipanga darasani vilevile na uta perfom vizuri huku duniani.

Angalau najua usipokuwa kipanga daraswani hutaperfom vizuri huku duniani, ndio maana haya mambo yanasomewa

Kwani ukiwa waziri wa wizara ya nishati lazima uwe mhandisi ?

Sijasema mhandisi, nimesema mtu mwenye utaalamu wa sera na utawala wa mambo ya nishati. Sio lazima awe mhandisi

Inaelekea hujitambui
Labda, lakini nakuzidi kujitambua nndio mana umekuja kwenye thread hii toka kule kwa Majuma amfumania wifi yake na mume wake
 
Kuna mengi yalisemwa kuhusu January kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, mojawapo likiwa ni kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa wazee kwa mama kumpa January wizara hiyo nyeti kama chaguo lake.

Sasa kwangu mimi hilo nililiona lina walakini sana. Sina tatizo na Makamba kuwa waziri, lakini kwa nini wizara ya Nishati ambayo ni nyeti sana? Kwa nini tusiwe na waziri katika wizara hii ambae ana ufahamu angalau na mambo ya sera na utawala katika mambo ya nishati? Hakuna Mtanzania ambae angefaa zaidi sana ya Makamba?

Nikasema ngoja nimpe kinachoitwa the benefit of doubt, kwamba mtu ambae hana kabisa background ya energy policy na management atuongozee hii wizara. Kama nilistaajabishwa na uteuzi wake, nilipata na mshituko na yale aliyofanya mara tu baada ya kuteuliwa. Alibadilisha watendaji nyeti wote wa juu katika wizara hii!

Nikauliza ndugu zangu walio karibu na jikoni - kulikoni? Wengi wakasema hataki kufanya kazi na wateule wa Magufuli. Nikauliza hawataki wale wasio na sifa ambao labda Magufuli aliwateua kwa ukabila na urafiki? Nikaambiwa hapana, wote tu.

Sikuamini. Nikamchukulia Dr. Tito Mwinuka ambae alikuwa Mkurugenzi wa Tanesco, ambae nae January alitaka aondoke. Nikaangalia background yake na kuona Mwinuka ni mtu alikuwa kipanga sana kimasomo. Alisoma PCM, akasomea uhandisi pale UDSM na kufaulu vizuri sana hadi kubakizwa kama lecturer. Akaendelea kupanda hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenizi wa Tanesco.

Nilishituka hata zaidi kusikia nani atam-replace Dr. Mwinuka - mtu aliesimamia kampuni ya television channel! Nikajiuliza, hivi tuna tatizo gani? Kweli tunafikiri mtu akifanikiwa kusambaza DSTV nchini atafanikiwa kuongoza Tanesco zaidi sana ya mtu kama Dr. Mwinuka? Siamini. Ngoja muda uni prove wrong.

Sasa nilipofikiria kwamba upande wa pili tuna January, ambae alisomea masomo ya kiingereza na historia sijui, na akaja kuwa mwandishi wa hotuba za Kikwete, na kutokana na ukaribu wake na Kikwete na kuwa mtoto wa Makamba akawa waziri. Leo hii huyu ndio anasema simtaki Mwinuka, aondolewe pale Tanesco. Yaani vijana wa UDSM watakuambia nguini ana dictate injinia aondolewe katika kazi ya uinjinia kwa sababu nyepesi sana!

NIkasikitika sana. Ndipo nikakumbuka ule mtazamo kwamba watu wa masomo ya sayansi wanafanya kazi kubwa sana katika maisha yao ya shule, lakini katika maisha wanakuja kuamuliwa mambo na hao waliowaita manguini au hata wale vilaza wa darasani walioamua kuingia kwenye siasa kwa kuwa hawakua na kitu kingine cha kufanya!

Hebu niambieni labda sioni. Tumepata mafanikio yepi katika utendaji wa wizara ya nishati tangu uteuzi hu wa Samia? Mambo yanazidi kuharibika kila siku katika kipindi hiki kigumu ambacho tunahitaji sana wizara hii iongozwe na mtu mwenye utaalamu wa juu wa sera na utawala katika masuaala ya nishati. Sio mzoefu wa kuandika hotuba. Mama usisubiri mambo yaharibike kabisa.

Nadhani dunia inahitaji mapinduzi ya wasomi wa science na teknolojia na kuondokana na kuamuliwa mambo ya kiufundi na watu ambao hawastahili kufanya maamui katika nyanja hizo!

Nikawaambia wanangu, epukeni kozi ngumu za sayansi. Someni historia na kiingereza mje kuwa waandishi wa hotuba za maraisi na mawaziri hata wa nishati au sayansi na teknolojia!
lakin kwa tz hili swala km la makamba sio round ya kwanz kufanyik tkea enzi za zaman yamefanyika ... kiufup tuyazoee tu
 
Kuna mengi yalisemwa kuhusu January kuteuliwa kuwa waziri wa nishati, mojawapo likiwa ni kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa wazee kwa mama kumpa January wizara hiyo nyeti kama chaguo lake.

Sasa kwangu mimi hilo nililiona lina walakini sana. Sina tatizo na Makamba kuwa waziri, lakini kwa nini wizara ya Nishati ambayo ni nyeti sana? Kwa nini tusiwe na waziri katika wizara hii ambae ana ufahamu angalau na mambo ya sera na utawala katika mambo ya nishati? Hakuna Mtanzania ambae angefaa zaidi sana ya Makamba?

Nikasema ngoja nimpe kinachoitwa the benefit of doubt, kwamba mtu ambae hana kabisa background ya energy policy na management atuongozee hii wizara. Kama nilistaajabishwa na uteuzi wake, nilipata na mshituko na yale aliyofanya mara tu baada ya kuteuliwa. Alibadilisha watendaji nyeti wote wa juu katika wizara hii!

Nikauliza ndugu zangu walio karibu na jikoni - kulikoni? Wengi wakasema hataki kufanya kazi na wateule wa Magufuli. Nikauliza hawataki wale wasio na sifa ambao labda Magufuli aliwateua kwa ukabila na urafiki? Nikaambiwa hapana, wote tu.

Sikuamini. Nikamchukulia Dr. Tito Mwinuka ambae alikuwa Mkurugenzi wa Tanesco, ambae nae January alitaka aondoke. Nikaangalia background yake na kuona Mwinuka ni mtu alikuwa kipanga sana kimasomo. Alisoma PCM, akasomea uhandisi pale UDSM na kufaulu vizuri sana hadi kubakizwa kama lecturer. Akaendelea kupanda hadi kuteuliwa kuwa Mkurugenizi wa Tanesco.

Nilishituka hata zaidi kusikia nani atam-replace Dr. Mwinuka - mtu aliesimamia kampuni ya television channel! Nikajiuliza, hivi tuna tatizo gani? Kweli tunafikiri mtu akifanikiwa kusambaza DSTV nchini atafanikiwa kuongoza Tanesco zaidi sana ya mtu kama Dr. Mwinuka? Siamini. Ngoja muda uni prove wrong.

Sasa nilipofikiria kwamba upande wa pili tuna January, ambae alisomea masomo ya kiingereza na historia sijui, na akaja kuwa mwandishi wa hotuba za Kikwete, na kutokana na ukaribu wake na Kikwete na kuwa mtoto wa Makamba akawa waziri. Leo hii huyu ndio anasema simtaki Mwinuka, aondolewe pale Tanesco. Yaani vijana wa UDSM watakuambia nguini ana dictate injinia aondolewe katika kazi ya uinjinia kwa sababu nyepesi sana!

NIkasikitika sana. Ndipo nikakumbuka ule mtazamo kwamba watu wa masomo ya sayansi wanafanya kazi kubwa sana katika maisha yao ya shule, lakini katika maisha wanakuja kuamuliwa mambo na hao waliowaita manguini au hata wale vilaza wa darasani walioamua kuingia kwenye siasa kwa kuwa hawakua na kitu kingine cha kufanya!

Hebu niambieni labda sioni. Tumepata mafanikio yepi katika utendaji wa wizara ya nishati tangu uteuzi hu wa Samia? Mambo yanazidi kuharibika kila siku katika kipindi hiki kigumu ambacho tunahitaji sana wizara hii iongozwe na mtu mwenye utaalamu wa juu wa sera na utawala katika masuaala ya nishati. Sio mzoefu wa kuandika hotuba. Mama usisubiri mambo yaharibike kabisa.

Nadhani dunia inahitaji mapinduzi ya wasomi wa science na teknolojia na kuondokana na kuamuliwa mambo ya kiufundi na watu ambao hawastahili kufanya maamui katika nyanja hizo!

Nikawaambia wanangu, epukeni kozi ngumu za sayansi. Someni historia na kiingereza mje kuwa waandishi wa hotuba za maraisi na mawaziri hata wa nishati au sayansi na teknolojia!
 
Back
Top Bottom