Uteuzi wa Makonda: Kosa la kiufundi, CHADEMA Mshindwe Wenyewe

Uteuzi wa Makonda: Kosa la kiufundi, CHADEMA Mshindwe Wenyewe

Shida ni mbili,
Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hio kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,
Na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe
Hapo kwenye mpasuko ndiko umeandika point na ndivyo ilivyo kwa dunia nzima hata kwa adui yako wewe.
 
Paul wa Tanzania amerudishwa kazini, Makonda ni mtu mwema sana.ni mzalendo pekee yake Aliye pambana na madawa ya kulevywa. Rais Samia umenikoshwa kura yangu Kwa Dr. Samia suluhu. Livelong Paul Makonda
 
Shida ni mbili,
Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hio kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,
Na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe
Suala la bandari limeishane? Ujanja uliotumika kupoozesha mambo haitasaidia, mikataba iwekwe wazi mafao yaliyopo yaonekane, pia wameipitisha kwenye Baraza la mawaziri badala ya bungeni kinyume.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu JF,

Greetings and I hope you are doing well.

Niende kwenye Mada, Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, CCM, Imemteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi akichukua Nafasi ya Sophia Mjema.

Kama ni Mchezo wa Soccer, haya unaweza kuyaita ni Mabadiliko ya Kiufundi, na CCM kama chama, wamekuwa na sababu zao za kufanya mabadiliko hayo kuendana na hali halisi ya ki Siasa kwa wakati huu, Details za sababu hizo sio maudhui ya uzi huu. Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu mabadiliko haya, mimi naomba nijikite kwenye subject ya uzi huu.

CHADEMA kama chaka Kikuu cha upinzani, ni kama kimepewa Nafasi ya wazi kabisa ku shine na kufikisha sera zao kwa urahisi kabisa, ni kama wamepewa ajenda zaidi ya 10,000

Paul Makonda ni Mwepesi sana kwenye Siasa za ushindani wa wazi na hana ushawishi wa hoja, ni Mweupe sana, kipindi cha Raisi Magufuli alitokea kuwa Mtu mwenye Nguvu sababu ya Nguvu ya Dola aliyokuwa nayo, kama Mkuu wa Mkoa na Kama Right hand ya Rais John Magufuli dhidi ya wapinzani wake.

Kwa hulka ya Rais Samia, bado sishawishiki kuona Paul Makonda akipewa Mamlaka ya kutumia Vyombo vya dola, Mpaka kutumia Unit Maalum ya ulinzi wa Raisi (President Secuiryt Unit) kuvamia kituo cha Redio na Luninga na kutetewa na Rais.

Kuna Mambo mengi ya hovyo yalizungumzwa kumhusu Paul Makonda na uhusika wake wa kudhulumu haki za kuishi za watu, 3 1 Januari 2020, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ilimpiga Marufuku Ndugu Makonda Kuingia Marekani, marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.

Kwa Mambo mengi ya hovyo aliyoyafanya Makonda, uteuzi wake bado unabaki kuwa ni kosa la Kiufundi kwa CCM, CHADEMA wana Nafasi kubwa ya kulitumia kosa hili kurahishisha ajenda zao za Ki Siasa
wao wamelenga usukuma, wanaamini wamewashika masikio wasukuma kwa doto na bashite. bila kiujua bashite ana mtobo kibao. chadema tumieni vizuri opportunity hiyo, hakuna asiyejua uovu wa makonda. kwanza Tundu lisu na tuhuma zake atakuwa anatamani arudi haraka toka marekani.aanze naye.
 
Huna ulichoandika hapa, humjui vzr Paulo Christian Makonda ama PCM, subiri aanze kazi utajua kama hujui

Huyo kazi iliyompa nguvu sana ni ule uhuru wa ushetani aliokuwa amepewa, wa kuua watu bila ya kusumbuliwa na yeyote. Aendelee na huo ushetani wa kuua watu, aone kama hautakuwa mwisho wake.
 
Kwa hiyo tutegemee kusikia tena taarifa za mauaji ya hapa na pale kama ilivyokuwa nyuma? Eeh Mwenyezi Mungu utunusuru na janga hili!! Ukatuepushe na mikono miovu ya paul makonda na mashetani wengine walio upande wake,ukayape kibali maisha yetu,na utulindie pumzi za uhai wetu Amen!

Na Samia kwa kumleta muuaji kwenye utawala wake, basi utawala wake ulaanike, na kupigwa na mapigo saba yatakayowakumbusha udhalimu wao.
 
Kinachojulikana ni kuwakazia mashoga kama ndio hilo asiende marekani abaki chamwino na lumumba inatosha!

Halikuwa suala la mashoga bali uuaji. Taarifa ile ilisema kuwa Makonda amekuwa akiwanyima watu haki ya kuishi.
 
Suala la bandari limeishane? Ujanja uliotumika kupoozesha mambo haitasaidia, mikataba iwekwe wazi mafao yaliyopo yaonekane, pia wameipitisha kwenye Baraza la mawaziri badala ya bungeni kinyume.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yan wakati TEC tayari wameunga mkono, hakuna kilichobaki,
Mana katika makundi yaliyokuwa yanaupinga TEC ndo walikuwa na nguvu, na hilo linafanya watu wengi kuamini sasa kuwa mkataba ni salama na mzuri,

CHADEMA hawana cha kufanya tena
 
wao wamelenga usukuma, wanaamini wamewashika masikio wasukuma kwa doto na bashite. bila kiujua bashite ana mtobo kibao. chadema tumieni vizuri opportunity hiyo, hakuna asiyejua uovu wa makonda. kwanza Tundu lisu na tuhuma zake atakuwa anatamani arudi haraka toka marekani.aanze naye.
CHADEMA inabidi wadeal na serikali, wakianza kudeal na Makonda badala ya serikali watakuwa wanapoteza muda, mana makonda hajarudishwa serikalini bali chamani,
Sawa na leo CHADEMA waanze kumshambulia Abdul Nondo
 
Safari ya makonda ni fupi Sana Kama route za daladala. Chongolo ambaye ni boss wake bado anayakumbuka Yale ya " kaa chini"! Unadhani atapewa ushirikiano unaotakiwa? Au chongolo anatafutiwa njia ya kuchomolewa ili kumpisha makonda?
 
Wakuu JF,

Greetings and I hope you are doing well.

Niende kwenye Mada, Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, CCM, Imemteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi akichukua Nafasi ya Sophia Mjema.

Kama ni Mchezo wa Soccer, haya unaweza kuyaita ni Mabadiliko ya Kiufundi, na CCM kama chama, wamekuwa na sababu zao za kufanya mabadiliko hayo kuendana na hali halisi ya ki Siasa kwa wakati huu, Details za sababu hizo sio maudhui ya uzi huu. Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu mabadiliko haya, mimi naomba nijikite kwenye subject ya uzi huu.

CHADEMA kama chaka Kikuu cha upinzani, ni kama kimepewa Nafasi ya wazi kabisa ku shine na kufikisha sera zao kwa urahisi kabisa, ni kama wamepewa ajenda zaidi ya 10,000

Paul Makonda ni Mwepesi sana kwenye Siasa za ushindani wa wazi na hana ushawishi wa hoja, ni Mweupe sana, kipindi cha Raisi Magufuli alitokea kuwa Mtu mwenye Nguvu sababu ya Nguvu ya Dola aliyokuwa nayo, kama Mkuu wa Mkoa na Kama Right hand ya Rais John Magufuli dhidi ya wapinzani wake.

Kwa hulka ya Rais Samia, bado sishawishiki kuona Paul Makonda akipewa Mamlaka ya kutumia Vyombo vya dola, Mpaka kutumia Unit Maalum ya ulinzi wa Raisi (President Secuiryt Unit) kuvamia kituo cha Redio na Luninga na kutetewa na Rais.

Kuna Mambo mengi ya hovyo yalizungumzwa kumhusu Paul Makonda na uhusika wake wa kudhulumu haki za kuishi za watu, 3 1 Januari 2020, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ilimpiga Marufuku Ndugu Makonda Kuingia Marekani, marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.

Kwa Mambo mengi ya hovyo aliyoyafanya Makonda, uteuzi wake bado unabaki kuwa ni kosa la Kiufundi kwa CCM, CHADEMA wana Nafasi kubwa ya kulitumia kosa hili kurahishisha ajenda zao za Ki Siasa
Bado polepole yeye ndiye apewe kugombea urais 2025 over

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Shida ni mbili,
Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hio kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,
Na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe
Bandari imeisha wapi wewe

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu JF,

Greetings and I hope you are doing well.

Niende kwenye Mada, Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, CCM, Imemteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi akichukua Nafasi ya Sophia Mjema.

Kama ni Mchezo wa Soccer, haya unaweza kuyaita ni Mabadiliko ya Kiufundi, na CCM kama chama, wamekuwa na sababu zao za kufanya mabadiliko hayo kuendana na hali halisi ya ki Siasa kwa wakati huu, Details za sababu hizo sio maudhui ya uzi huu. Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu mabadiliko haya, mimi naomba nijikite kwenye subject ya uzi huu.

CHADEMA kama chaka Kikuu cha upinzani, ni kama kimepewa Nafasi ya wazi kabisa ku shine na kufikisha sera zao kwa urahisi kabisa, ni kama wamepewa ajenda zaidi ya 10,000

Paul Makonda ni Mwepesi sana kwenye Siasa za ushindani wa wazi na hana ushawishi wa hoja, ni Mweupe sana, kipindi cha Raisi Magufuli alitokea kuwa Mtu mwenye Nguvu sababu ya Nguvu ya Dola aliyokuwa nayo, kama Mkuu wa Mkoa na Kama Right hand ya Rais John Magufuli dhidi ya wapinzani wake.

Kwa hulka ya Rais Samia, bado sishawishiki kuona Paul Makonda akipewa Mamlaka ya kutumia Vyombo vya dola, Mpaka kutumia Unit Maalum ya ulinzi wa Raisi (President Secuiryt Unit) kuvamia kituo cha Redio na Luninga na kutetewa na Rais.

Kuna Mambo mengi ya hovyo yalizungumzwa kumhusu Paul Makonda na uhusika wake wa kudhulumu haki za kuishi za watu, 3 1 Januari 2020, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ilimpiga Marufuku Ndugu Makonda Kuingia Marekani, marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.

Kwa Mambo mengi ya hovyo aliyoyafanya Makonda, uteuzi wake bado unabaki kuwa ni kosa la Kiufundi kwa CCM, CHADEMA wana Nafasi kubwa ya kulitumia kosa hili kurahishisha ajenda zao za Ki Siasa
CDM imezikwa rasmi!
Nani ktk wale wa kupambana na PCM? HAKUNAA.
Yule mwingine ni mfuata pesa tu Tz. Zikiishaa huyooo Ubeleji
 
Safari ya makonda ni fupi Sana Kama route za daladala. Chongolo ambaye ni boss wake bado anayakumbuka Yale ya " kaa chini"! Unadhani atapewa ushirikiano unaotakiwa? Au chongolo anatafutiwa njia ya kuchomolewa ili kumpisha makonda?
Yale majamaa wanajali ulaji, kwanza yanaishi kinafki usiyawekee dhamana kabisa inapofikia point ya kulinda ugali wao.
 
CDM imezikwa rasmi!
Nani ktk wale wa kupambana na PCM? HAKUNAA.
Yule mwingine ni mfuata pesa tu Tz. Zikiishaa huyooo Ubeleji
Bashite Hana ushawishi wowote wa hoja za Maana.
Nafasi ya Mwenezi anatakiwa Mtu Muongo na Mwenye akili, Mwenye Good Communication skills,na aliyeiva kwenye Propaganda
Bashite bila Polisi hana analoweza fanya
 
Shida ni mbili,
Chadema haina sera kwa sasa, walitegemea bandari na hata sasa operation yao ni bandari, sasa suala la bandari limeisha itabidi waje upya na operation nyingine mana ile 255 waliyotembea nayo imezikwa kilazima,

Shida ya pili ni kuwa Makonda anaonekana ni mtu wa Sukuma Gang,kwa hio kwa watu wa JPM jamaa ni hero wao hivyo utaona jinsi ambavyo watu wa JPM watavyompokea sana kwa nguvu, so utaona bado anakuja kuleta shida kwa CHADEMA ambao wao walitegemea team JPM wawapende,
Na tunakoenda usikute Polepole akarejeshwa ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 na hilo ndo litakuwa Pigo la mwisho kwa CHADEMA mana wanategemea mpasuko ndani ya CCM uwabebe
Hata Samia anawaza hivi hivi ndo sbb ya kumrudisha mwambie main stage ila mtoa mada Yuko sahihi, makamanda wamepewa ajenda tayari.
 
Back
Top Bottom