Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
DGIS ni msukuma kutokea wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia mataifa yote, Usalama wa Taifa una play part kubwa sana kwenye uchumi wa nchi bila wao ni kazi bureTISS na Jeshi hawawezi kuukwamua uchumi wetu, hakuna maendeleo yoyote duniani ya kiuchumi yamepatikana kwa njia hii.
Huo wizi ulioiutaja hapa hauhusiani na uchumi. Maendeleo ya uchumi yanahitaji uongozi na mfumo mzuri wa kisiasa pamoja wachumi nguli wanaopewa uhuru kutimiza majukumu yao.
NondoTanzania iwe na shirika la Ujasusi linaloangalia siasa kama njia tu, na sio msingi imara wa kulinda TAIFA, wanausalama watakao kuwa makini kuona kofia ya siasa haizidi kofia ya nguvu ya umma au TAIFA. Ni wakati mwafaka wa kutambua NCHI ndio nguzo ya UTAIFA na sio siasa kuwa ndio UTAIFA wenyewe.
Sasa mbona akina Mwigulu pia ni wasomi nguli tunakwama wapi?TISS na Jeshi hawawezi kuukwamua uchumi wetu, hakuna maendeleo yoyote duniani ya kiuchumi yamepatikana kwa njia hii.
Huo wizi ulioiutaja hapa hauhusiani na uchumi. Maendeleo ya uchumi yanahitaji uongozi na mfumo mzuri wa kisiasa pamoja wachumi nguli wanaopewa uhuru kutimiza majukumu yao.
Nimeichukua hii pointBasically TISS isingekuwa na maana kama haitakiwi kufanya kazi fulani maana kila kazi ina wizara. Ulinzi na usalama si zina wizara zake, mambo ya ndani na ile ya ulinzi. TISS kamilifu inatakiwa iweze kusaidia popote pale, hata kampuni ya hapa nchini ikitaka kutengeneza pikipiki ikakwama kutengeneza injini, TISS inabidi iwe na uwezo wa kupata wapi la kupata ujuzi wa kutengeneza injini kwa namna yoyote ile. Ndio vitu duniani wanafanya, China mara nyingi tu unasikia wameiba TB za data kuhusu kitu fulani. Survival of the fittest
🤣🤣🤣🤣Hauogopi kumsema bosi wako mkuu? 🤣🤣🤣. Maana kuna watu walikuwa wanakuzushia eti wewe ni mtumishi wa umma kabisa.
Kwani kenya wanapopigana na alshabaab wewe huwa unaathirika na nini? Why are you concerned na mambo ya nchi nyingine kiasi uyabebe kama ya kwako?Lakini kabla ya yote, mimi niliwahi kuandika humu, tanzania hatutaweza kuwa na demokrasia kamili kama tusipo tegua kitendawili cha muungano.
Kwasasa, namna pekee ya kuhakikisha uhai wa Muungano na uhai wa taifa upo, ni lazima chama kinachoshika uongozi wa JMT pia kishike na Zanzibar.
Hata wanausalama wakiwa wapenda demokrasia kwa namna gani, hawawezi kuruhusu hilo serikali ya Mapinduzi iwe chama tofauti na serikali ya JMT.
Wakati wa Mwinyi kipindi kile cha mchafuko wa hali ya hewa, ilibidi nguvu ya ziada kutoka kwa mwalimu akisaidiwa na wazalendo kunusuru uhai wa taifa. Imagine kama rais wa Zanzibar wa kipindi kile angekuwa wa chama kingine, ingebidi yajirudie yaleyale ya hayati naliliu... yule babu yake na yule mwanasheria maarufu, Jambo ambalo ni risk kubwa kwani linaweza kupasua taifa kabisa.
Natumaini huyo boss mpya atamshauri vizuri Mheshimiwa kwenye umuhimu wa katiba mpya na kuhakikisha inaulinda muungano.
Halafu BOT kuna PhD holders 16 wa kukaririSasa mboba akina Mwigulu pia ni wasomi nguli tunakwama wapi?
Ukimaanisha taasisi izi isiyo na nidhamu .punguza kuongelea TISS kwa référence ya movie na story za vijiweniAlichoandika sio kazi kuu ya usalama wa taifa, ila ni kazi mojawapo. Mambo mengine yanafanyika, ulinzi na usalama wanafanya bado ujasusi wa kiuchumi.
Hao unaosema BoT na Finance hawawezi kufanya crandestine operations.
Wasovieti walioiba blueprints za atomic bomb kutoka Los Alamos pale Marekani sio wanasayansi wala watumishi wa jeshi, serikali ya Stalin ingeamua kusubiri jopo la wanasayansi lifanye testing na kila kitu wangetumia gharama kubwa mno na muda mwingi zaidi kupata breakthrough.
Wamarekani walioiba Lunik ya USSR ikiwa kwenye world tour hawakuwa wanasayansi wa NASA, walipiga picha na kukamilisha kazi yao kisha NASA wakatumia hizo taarifa.
Basically TISS isingekuwa na maana kama haitakiwi kufanya kazi fulani maana kila kazi ina wizara. Ulinzi na usalama si zina wizara zake, mambo ya ndani na ile ya ulinzi. TISS kamilifu inatakiwa iweze kusaidia popote pale, hata kampuni ya hapa nchini ikitaka kutengeneza pikipiki ikakwama kutengeneza injini, TISS inabidi iwe na uwezo wa kupata wapi la kupata ujuzi wa kutengeneza injini kwa namna yoyote ile. Ndio vitu duniani wanafanya, China mara nyingi tu unasikia wameiba TB za data kuhusu kitu fulani. Survival of the fittest
ifanyie kaziNimeichukua hii point
Hili la msingi sana...Mengine yote yamo anchored humoVyema Sasa mjadara wa katiba mpya uanze
Samia Mjanja sana. Katiba Mpya anaitaka lakini anajua lazima awapige chenga wanazi wa ccm- mafisadi.Vyema Sasa mjadara wa katiba mpya uanze
Bandika la kwako tuone. Liko kisiasa kwa sababu Uchumi na uimara wa taifa unategemeana na aina za siasa za nchi hiyo.Hii ni promotion ya kitabu chako. Vilevile hili bandiko lipo kisiasa zaidi na siyo uhalisia.
Ni nyeti sanaHii idara ni nyeti mno.
Imebeba mambo Mawili UMASIKINI WA NCHI AU UTAJIRI WA NCHI.
KAZI KWENU TISS AMKENI.