Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimpinga wapi?Jamaa alimpinga wazi Charles Hilary ikala kwake
USSR
Mwinyi anapiga kimya kimya...ngumi za chembe 😂 😂 😂 😂 😂Rais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
View attachment 2067115
Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.Rais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
View attachment 2067115
Una nyodo sana DadaJua alimpinga mengine hayakuhusu
USSR
Charles Hilary Mzanzibari?..labda amegundulika kuwa ni MTANGANYIKA??
Siku hizi watu wanapenda sana titles na Ubosile......!!Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.
Inatakiwa iandikwe Katibu Mkuu Kingozi, kwasababu by virtual ya nafasi yake kama Katibu Mkuu Kiongozi already ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi.
Ni sawasawa na huku Bara, Katibu Mkuu Kingozi H. Katanga already anakuwa ni Katibu wa Baraza la Mawaziri lakini huwezi kukuta kasaini barua kuwa Katibu wa Baraza la Mawaziri na Katibu Mkuu Kiongozi 😆😆😆
Hebu turekebishe hapo!!
Ivona Kamuntu ataongeza mbwembwe maana anajua anaweza kumbukwa.Rais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
View attachment 2067115
Kuna bandiko niliona hapa jf kweli mitandao ina nguvuRais Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC), Dkt. Saleh Yussuf Mnemo leo Januari 03, 2022
Dkt. Mnemo aliteuliwa kuhudumu nafasi hiyo Mwezi Mei 2021
View attachment 2067115
Ni kweli huenda lile bandiko limemfikia japo tulilichukulia kimzahamzahaKuna bandiko niliona hapa jf kweli mitandao ina nguvu