libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Kitakuwa kwenye story na mke wake chumbaniAlimpinga wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitakuwa kwenye story na mke wake chumbaniAlimpinga wapi?
SawaKwa mujibu wa Katiba yao, Zanzibar ni nchi.
Nashauri hii post ihamishiwe Jukwaa la Kimataifa.
Kama huku anavyoandika, "Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali"Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.
Inatakiwa iandikwe Katibu Mkuu Kingozi, kwasababu by virtual ya nafasi yake kama Katibu Mkuu Kiongozi already ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi.
Ni sawasawa na huku Bara, Katibu Mkuu Kingozi H. Katanga already anakuwa ni Katibu wa Baraza la Mawaziri lakini huwezi kukuta kasaini barua kuwa Katibu wa Baraza la Mawaziri na Katibu Mkuu Kiongozi 😆😆😆
Hebu turekebishe hapo!!
Ni Mzanzibari aliyehamia bara miaka mingi, Zanzibar ina makabila mengi kutoka bara kama raisi wao,mzaramo,kuna wanyamwezi,Wangoni,wanyakyusa, ni ubishi tu hawa wazdnj ni mkoa tu wa Tanganyika,ukiacha waarabu waliotoka China na baadhi ya wangazija (siwasemi sana wahaindi sababu wao ni kama kunguru,popote ni kwao)Charles Hilary Mzanzibari?
Shida boss wake hanywi KonyagiHilary, utangazaji anaumudu sana, hata kazi ya ikulu ataimudu. Big up Hilary!
What's the problem? Au kwa kuwa Chalz?Charles Hilary Mzanzibari?
Sio mzenji bhana, sema dingi yake amewahi hudumu Kule na kaoa KuleNi Mzanzibari aliyehamia bara miaka mingi, Zanzibar ina makabila mengi kutoka bara kama raisi wao,mzaramo,kuna wanyamwezi,Wangoni,wanyakyusa, ni ubishi tu hawa wazdnj ni mkoa tu wa Tanganyika,ukiacha waarabu waliotoka China na baadhi ya wangazija (siwasemi sana wahaindi sababu wao ni kama kunguru,popote ni kwao)
Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.
Inatakiwa iandikwe Katibu Mkuu Kingozi, kwasababu by virtual ya nafasi yake kama Katibu Mkuu Kiongozi already ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi.
Ni sawasawa na huku Bara, Katibu Mkuu Kingozi H. Katanga already anakuwa ni Katibu wa Baraza la Mawaziri lakini huwezi kukuta kasaini barua kuwa Katibu wa Baraza la Mawaziri na Katibu Mkuu Kiongozi 😆😆😆
Hebu turekebishe hapo!!
Wasije wakamfanyia ya Karume 1972Hussein anawapeleka Znz ki Chatto chatto…hawajazoea kabisa mambo ya kutenguliwa
Yes mzenji 100%Charles Hilary Mzanzibari?
🤣 🤣 🤣 Sio siri, taarifa zako ni za kubumba. 🤣 🤣 🤣Jua alimpinga mengine hayakuhusu
USSR
Sio mzenji bhana, sema dingi yake amewahi hudumu Kule na kaoa Kule
Ni zao la NdugaiAu amegundua wapo pamoja na Ndugai
Big yes..labda amegundulika kuwa ni MTANGANYIKA??
Naye anazeeka kila siku sijui ndoa inashidaIvona Kamuntu ataongeza mbwembwe maana anajua anaweza kumbukwa.