Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu ZBC watenguliwa

Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu ZBC watenguliwa

Hilary, utangazaji anaumudu sana, hata kazi ya ikulu ataimudu. Big up Hilary!
 
Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.

Inatakiwa iandikwe Katibu Mkuu Kingozi, kwasababu by virtual ya nafasi yake kama Katibu Mkuu Kiongozi already ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi.

Ni sawasawa na huku Bara, Katibu Mkuu Kingozi H. Katanga already anakuwa ni Katibu wa Baraza la Mawaziri lakini huwezi kukuta kasaini barua kuwa Katibu wa Baraza la Mawaziri na Katibu Mkuu Kiongozi 😆😆😆

Hebu turekebishe hapo!!
Kama huku anavyoandika, "Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali"
 
Charles Hilary Mzanzibari?
Ni Mzanzibari aliyehamia bara miaka mingi, Zanzibar ina makabila mengi kutoka bara kama raisi wao,mzaramo,kuna wanyamwezi,Wangoni,wanyakyusa, ni ubishi tu hawa wazdnj ni mkoa tu wa Tanganyika,ukiacha waarabu waliotoka China na baadhi ya wangazija (siwasemi sana wahaindi sababu wao ni kama kunguru,popote ni kwao)
 
Ni Mzanzibari aliyehamia bara miaka mingi, Zanzibar ina makabila mengi kutoka bara kama raisi wao,mzaramo,kuna wanyamwezi,Wangoni,wanyakyusa, ni ubishi tu hawa wazdnj ni mkoa tu wa Tanganyika,ukiacha waarabu waliotoka China na baadhi ya wangazija (siwasemi sana wahaindi sababu wao ni kama kunguru,popote ni kwao)
Sio mzenji bhana, sema dingi yake amewahi hudumu Kule na kaoa Kule
 
Niliwai kutoa ushauli humu JF kwamba cheo kinachotakiwa kuonekana chini ya barua iwe KATIBU MKUU KIONGOZI na sio Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.

Inatakiwa iandikwe Katibu Mkuu Kingozi, kwasababu by virtual ya nafasi yake kama Katibu Mkuu Kiongozi already ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi.

Ni sawasawa na huku Bara, Katibu Mkuu Kingozi H. Katanga already anakuwa ni Katibu wa Baraza la Mawaziri lakini huwezi kukuta kasaini barua kuwa Katibu wa Baraza la Mawaziri na Katibu Mkuu Kiongozi 😆😆😆

Hebu turekebishe hapo!!

..baraza la wawakilishi.

..baraza la mawaziri.

..baraza la mapinduzi.

..Zanzibar wako tofauti kidogo na Tanganyika.
 
Hussein mpaka muda wake unaisha atakuwa anateua na kutengua tu huyu mtalii hana jipya
 
Back
Top Bottom