Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Pameanza kuchangamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaKwamba hizo media zilikosa content so jamaa anakuwa contentor 😄!.
umeongea kinyonge sana bibi. inaonyesha hujafurahishwa na uamuzi wa ikulu kumrudisha makonda kwenye mfumo.Huyo alikuwa anafata amri za boss wake hajajifanyia hata kimoja kwa mawazo yake.
CCM wanalifahamu hilo ndiyo maana hawakumuadhibu muda wote.
Ni moto, si, tu kwa Upinzani bali pia kwa waliolala na kujibweteka kwa kufanya kazi kwa mazoea ndani ya chama na ndani ya serikali iliyopo mamlakani.
Huyu kijana si tu mwanasiasa bali pia mwanaharakati mahiri nchini. Ana hulka za jino kwa jino, sina hakika kama kabadilika.
kwa maoni yangu uteuzi wake unalenga kujibu mapigo ya upinzani dhidi ya chama na serikali iliyopo Madarakani kwa hoja na vihoja.
Uteuzi huu pia unalenga kuudhibiti upinzani na kile kinachodaiwa ni upotoshaji dhidi ya mipango na hatua mbalimbali zinazo chukuliwa na serikali kuwaletea wananchi maendeleo.
Uteuzi huu ni amsha amsha dhidi ya walio lala na kujisahau ndani ya chama Tawala na ndani ya serikali sikivu, hii ni pamoja na mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi na wateule mbalimbali wa Rais.
Kwa kijana huyu ubunifu na uwajibikaji wenye matokeo yanayo jidhihirisha na kuonekana kwa umma ndio itakua pona ya wateule wengi.
Uteuzi wa Paul Christian Makonda kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa ni moto chini nchini.
swali linabaki ni je, uteuzi huu utaimarisha au utadhoofisha upinzani katika siasa za Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu 2025?
makonda na mama wanajuana mda mrefu, nadhani lilikuwa ni swala la when and which position tu, ila ilikuwa wazi kuwa makonda angerudi kwenye uongozi, ukizingatia pamoja na kuwanna kashfa nyingi kama sabaya ila hajaguswa kabisa.
Tulizen mshono , makondonda kwenye siasa bado sana japo anabebwa tuNi moto, si, tu kwa Upinzani bali pia kwa waliolala na kujibweteka kwa kufanya kazi kwa mazoea ndani ya chama na ndani ya serikali iliyopo mamlakani.
Huyu kijana si tu mwanasiasa bali pia mwanaharakati mahiri nchini. Ana hulka za jino kwa jino, sina hakika kama kabadilika.
kwa maoni yangu uteuzi wake unalenga kujibu mapigo ya upinzani dhidi ya chama na serikali iliyopo Madarakani kwa hoja na vihoja.
Uteuzi huu pia unalenga kuudhibiti upinzani na kile kinachodaiwa ni upotoshaji dhidi ya mipango na hatua mbalimbali zinazo chukuliwa na serikali kuwaletea wananchi maendeleo.
Uteuzi huu ni amsha amsha dhidi ya walio lala na kujisahau ndani ya chama Tawala na ndani ya serikali sikivu, hii ni pamoja na mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi na wateule mbalimbali wa Rais.
Kwa kijana huyu ubunifu na uwajibikaji wenye matokeo yanayo jidhihirisha na kuonekana kwa umma ndio itakua pona ya wateule wengi.
Uteuzi wa Paul Christian Makonda kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa ni moto chini nchini.
swali linabaki ni je, uteuzi huu utaimarisha au utadhoofisha upinzani katika siasa za Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu 2025?