Uteuzi wa Viongozi Baraza la Manabii na Mitume Tanzania, Gwajima na mzee wa upako watajwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
17 February 2023

Rais wa baraza la manabii na mitume Tanzania Dr. Joackim Peter Kimanza ... shalom waTanzania tupo mbele yenu katika uamsho wa kuwafikia watanzania mpaka ngazi za Vijiji.. kuweza kufikia hilo mimi kama rais wa baraza ninawateua wafuatao ...


Toka maktaba :

 
Takataka matapeli! Majasilia dini ya mitanzania mijinga!

Umekula kweli?punguza makasiriko umasikini wako isiwe kero kwa wengine,nakushauri jikite kutafuta mali ili upunguze makasiriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…