Takataka matapeli! Majasilia dini ya mitanzania mijinga!
exactly, matapeli majizi!Siku si nyingi watatoa tamko la kukipongeza chama kongwe dola na kusifu matokeo chanya ya uongozi wa awamu ya sita kuelekea 2025.
Ni kama wapinzani wa Tanzania aka wajasiriasiasaTakataka matapeli! Majasilia dini ya mitanzania mijinga!
Takataka matapeli! Majasilia dini ya mitanzania mijinga!
Mkono wa baunsa kumbe nae ni Nabii?, Haya machukizo tunayompandikizia mungu jamani...
kipi kimesababisha mchugaji Msigwa asiwepo?
MA TP TUPUU HAPO
OVA
Vipi mbona Kama wewe ndiye yule demu wa mkono wabaunsa!! Maana sio kwa povu hili...Basi kuwa wewe nabii,kwani umezuiwa.
Motivational speakers bana.Umekula kweli?punguza makasiriko umasikini wako isiwe kero kwa wengine,nakushauri jikite kutafuta mali ili upunguze makasiriko.