Hehehehe haya mapicha umeyatoa wapi, aki ya nani yanachekesha, ila kwa kweli rais Uhuru kwa hili amepinda kishenzi tena ile noma, imenishinda kumeza kipi mzee wa miaka 91 ataleta kwenye masuala ya michezo. Yaani kama kuna watu wa ikulu wanaopitiaga kwenye mitandao, wasome comments na kuona jinsi imekera.
Vijana mtasubiri sana kwenye nchi hii.....