Uteuzi wa wazee! Tumechokaaa!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Kila leo kenyatta anateua wazee katika nyadhfa mbali mbali na kuwaacha vijana wanasota kitaa na vyeti vyao...teuzi ya hivi majuzi ndani ya wizara ya vijana na michezo imeetuudhi sana!!! Ebooo! Ameteua vice wa mzee kibaki jamani ndani ya sports fund!
Tumechokaàaa
..
 
Vijana wa keshooo! Mzee raila amol00!
 
Mzee kenyatta wa pilii![emoji29]
 
Waziri wa mambo ya kigeni...yaani foreign affairs ....kalonzo mzee wa tikiti majii![emoji16]
 
Tulia tuimbe ule wimbo kwanza.

Tumipenda wenyeweee ndandaaa
Ccm ni ile ile oooooh ni ile ileeee
 
Mzee wa kazi musalia mudavadii[emoji208] [emoji274]
 
Bila kumsahau wetangulaaa![emoji116]
 
Mzee keter tunakuaminiaaa!!!
 
Msikari kombo ..ng'ombe ww! Mkiwa na huyu jamaa wa westlands[emoji16] [emoji91]
 
Hehehehe haya mapicha umeyatoa wapi, aki ya nani yanachekesha, ila kwa kweli rais Uhuru kwa hili amepinda kishenzi tena ile noma, imenishinda kumeza kipi mzee wa miaka 91 ataleta kwenye masuala ya michezo. Yaani kama kuna watu wa ikulu wanaopitiaga kwenye mitandao, wasome comments na kuona jinsi imekera.
Vijana mtasubiri sana kwenye nchi hii.....
 
Huku tuna wakina Msekwa-83 yrs old.
 
Line up ya kenyatta jamani! Mzeee abdouba dida!!?
 
Chebukati nguvu mpyaaaa!
 
Murkomeno kijana wa keshoo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…