1academ
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 2,316
- 3,567
Kila leo kenyatta anateua wazee katika nyadhfa mbali mbali na kuwaacha vijana wanasota kitaa na vyeti vyao...teuzi ya hivi majuzi ndani ya wizara ya vijana na michezo imeetuudhi sana!!! Ebooo! Ameteua vice wa mzee kibaki jamani ndani ya sports fund!
Tumechokaàaa
..
Tumechokaàaa
..