Humphrey Polepole amemaliza O level Forodhani Secondary school mwaka 2000. Hajafika hata miaka 34Pole pole mtu wa makamo, siyo kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humphrey Polepole amemaliza O level Forodhani Secondary school mwaka 2000. Hajafika hata miaka 34Pole pole mtu wa makamo, siyo kijana
Haaaaa ndo kauli mbiu ya bulldozer,hamna namna nduguNaona umenishauri ki-magufuri Magufuli mkuu. Eti aende kufanya kazi kweli kweli.
Wassira kachoka, anatafuta mahali pa kupatia RIP. Aachwe tu awe Mhubiri Injili kama ataweza, Kaletewa chuo kikuu inabidi ajiajiri pale pana fursa nyingi. Haoni akina Kangi wanajenga mabweni ya kupangisha kwa haraka sana. Wasira ajiajiri sasa fursa ndio hiyo!Asimsahau mzee wa Bunda ili apumzike kwenda mahakamani kila siku.
Hata mimi napiga moyo konde, Halmashauri nyingi wakurugenzi ni vilaza!. Ikifika zamu ya huko nami nitachungulia jina langu km litakuwa litakuwa limekosewa au lah!Mimi nasubiri teuzi za wakurugenzi wa halmashauri nitakuwemo
Kwani yule naye ni kijana. Au ujana wake ni kama w Polepolele mutuz wapi.
swissme
Vipi wewe sio mjinga? Tafakari kabla hujatukana. Humu ndani hatufananiMjinga Mjinga anaweza amini hyo list ya kupikwa
NENDAA ITV UTAELEWA MSAADA WAHIZI TEETESITetesi zako, zina msaada gani kwa Taifa...!
Tutampa jumuia ya watoto bombaa yukovyema hiosektaChonde chonde Dr Majipu usimsahau LeMutuz.
DAH YAANI WE NI KICHWA MKUU MAJINA YA LEO SAWANA ULICHOANDIKA KABISANdugu, kwa maoni yangu, HATA KAMA ORODHA hii SI SAHIHI ukweli ni kuwa CCM watatumia sehemu kubwa ya WALIOSHINDWA UBUNGE kujaza nafasi za Wakuu wa Wilaya. Naomba uyaamini maoni yangu.....