Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Ni mbunge wa Handeni......mkulu hakukoseaga alivyompaga ukuu wa wilaya....Hata ningekuwa mm ningempa hata uwazir aisee maana si mchezo....
Haaaaa wewe mtu unaoenekana unapenda sana nyaPu haaaaaaa,watu kama nyie huwa ni adui wa maendeleo maana huwa mnaangalia vingine baada ya utendaji haaa
 
Haaaaa wewe mtu unaoenekana unapenda sana nyaPu haaaaaaa,watu kama nyie huwa ni adui wa maendeleo maana huwa mnaangalia vingine baada ya utendaji haaa
Hapana mkuu sio mpenz wa nyapu kihiivyo ila mm na Sheikh Kipozeo nahis kuna kitu tuna share...Hivi kwa mfano ww ni bosi mahali flani alafu binti kama huyo anakuja ofisini anaomba kaz utafanyaje? Jibu baki nalo mwenyewe usinijibu.....Ndio maana siku hiz nimeacha kabisa kuwalaumu mabosi wanaowapatia kaz mabinti aina hii kwa vile kuna wakat naamuaga kujivika ubosi alafu ndio naa assume amekuja ofisin binti kama huyo mwisho naishia kutabasamu tu.
 
Hapana mkuu sio mpenz wa nyapu kihiivyo ila mm na Sheikh Kipozeo nahis kuna kitu tuna share...Hivi kwa mfano ww ni bosi mahali flani alafu binti kama huyo anakuja ofisini anaomba kaz utafanyaje? Jibu baki nalo mwenyewe usinijibu.....Ndio maana siku hiz nimeacha kabisa kuwalaumu mabosi wanaowapatia kaz mabinti aina hii kwa vile kuna wakat naamuaga kujivika ubosi alafu ndio naa assume amekuja ofisin binti kama huyo mwisho naishia kutabasamu tu.
Haaaa muonekano ni kitu muhimu na ni point pia kabla ya CV au interview haaaaaaa,hamna namna ni kuwala na kuwapa kazi katika kampuni haaaa
 
1458380142193.jpg
Byumbu wanahangaika sana

Byumbu wanahangaika sana
 
Kama hata robo ya hao walioorodheshwa hapo watateuliwa itakuwa wazi kuwa serikali ya magufuli haina usiri na hivyo haiko salama!!
 
Polepole kautafuta mno u DC!
Katutia mno aibu wanyakyusa huyu jamaa!Hana msimamo kabisa,leo anawaomba mfuate hiki kesho anageuka kauli zake

Kwani pole pole ni mnyakyusa? Haiwezekani; wanyambala ni watu wenye msimamo thabiti sio watu wa kutumiwa tumiwa hovyo!!
 
Mwakyembe anaogopa hata kwenda Kyela; jinsi wasivyompenda!!!Anaogopa atapigwa local polonium!!
Wanyakyusa mnamtu mhimu sana
Mwandosya. Yule waweza jivunia popote uendapo anabusara ni mzito kutetea uovu
 
Back
Top Bottom