kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
Makonda pia ni chaguo la mkwere lakini kwa sasa ndo Don wa DSMHuyo ni chaguo la mkwere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda pia ni chaguo la mkwere lakini kwa sasa ndo Don wa DSMHuyo ni chaguo la mkwere
Hongera Sema aende kufanya kazi kweli kweliAhsante mungu, atimae na mke wangu ameula kwenye u-dc.
Duh, haka kakisa unastahili kuwa malenga, utunzi mzuri na unaendana na hadhiratetesi zinaweza kuwa na ukweli au la........lakini JPM asipomteua Polex2, nitaandamana.........Yule jamaa ni mpambanaji! ni DIE HARD wa ccm hakuna mfano.
ya Polepole naachana nayo, acha nikupe kisa kidogo, "Baba alikuwa na mbwa wake mkali sana aliyeitwa Ndagile, aliogopwa na kila mtu nikiwemo mimi licha ya mbwa huyo kunizoea kama mtoto wa nyumbani. Alikuwa akifanya kazi nyingine azifanyazo binadamu kama vile kutumwa Dukani, kumpokea mzigo mgeni n.k.
Kwa hiyo, akili yangu kwa wakati huo ilinituma kuamini kuwa mbwa ana akili sawa na binadamu lakini imani hiyo ilitoweka baada ya kumshuhudia Ndagile akitapika (sijui alivimbiwa, alikula chakula kibovu ama vipi) kisha kula tena matapishi yale!".
Nikiona post yako yoyote ambayo umachangia kitu kingine zaidi ya zinazohusu dini nitafuta dhana ya kuwa wewe ni mdiniNa huko pia anataka kujaza parokia siyo?
Magufuli mdini sana kumbe
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
35Ni sura ya ukomavu tu lakini bado ni kijana. Kwani kijana hasa kwa mwanaume mwisho miaka mingapi?
Waisilam 4 ,wakiristo 17. Duu, udini kama kawa
Kwa hiyo?Makonda pia ni chaguo la mkwere lakini kwa sasa ndo Don wa DSM
Huyo Mboni ni Mashallah!!!!6Huyu pia hayupo katika list,???."Mboni"alikuwa Dc katika wilaya moja huko Iringa
So kwa bulldozer ni kaz tu na hamna sijui chaguo la mkwere wala nini,ukiwa mtendaji unapewa cheoKwa hiyo?
Haaaaa kaumbika sanaaaaa,sijui yupo wapi kwa sasa maana kipindi kirefu sijamsikiaHuyo Mboni ni Mashallah!!!!6
Angalia usipendelee vya kupewa kwani kuna siku utakuja kudaiwaSo kwa bulldozer ni kaz tu na hamna sijui chaguo la mkwere wala nini,ukiwa mtendaji unapewa cheo
Kwa Magu hamna vya kupewa(kwa me navyoamini) zaidi ya bahati ya mtu(kama Makonda) na utendaji au ubunifu wa mtu au kazi ionekana kwa mheshimiwaAngalia usipendelee vya kupewa kwani kuna siku utakuja kudaiwa
Ni mbunge wa Handeni......mkulu hakukoseaga alivyompaga ukuu wa wilaya....Hata ningekuwa mm ningempa hata uwazir aisee maana si mchezo....Haaaaa kaumbika sanaaaaa,sijui yupo wapi kwa sasa maana kipindi kirefu sijamsikia
Ahsante ndugu,nilikuwa sijui yupo wapi na nilienda mbali na kufikiri labda alibebwa,vipi utendaji wake lakini??kama vile walivyomsifia mpaka wakampa uDc??maana media zote zilimwongelea yeye kipindi kileNi mbunge wa Handeni.
Utendaji wake sijui kwa kwel labda watu wa Handeni mbunge wao na Mufindi kipindi kile akiwa DC huko watueleze..Ahsante ndugu,nilikuwa sijui yupo wapi na nilienda mbali na kufikiri labda alibebwa,vipi utendaji wake lakini??kama vile walivyomsifia mpaka wakampa uDc??maana media zote zilimwongelea yeye kipindi kile