Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

tetesi zinaweza kuwa na ukweli au la........lakini JPM asipomteua Polex2, nitaandamana.........Yule jamaa ni mpambanaji! ni DIE HARD wa ccm hakuna mfano.
ya Polepole naachana nayo, acha nikupe kisa kidogo, "Baba alikuwa na mbwa wake mkali sana aliyeitwa Ndagile, aliogopwa na kila mtu nikiwemo mimi licha ya mbwa huyo kunizoea kama mtoto wa nyumbani. Alikuwa akifanya kazi nyingine azifanyazo binadamu kama vile kutumwa Dukani, kumpokea mzigo mgeni n.k.
Kwa hiyo, akili yangu kwa wakati huo ilinituma kuamini kuwa mbwa ana akili sawa na binadamu lakini imani hiyo ilitoweka baada ya kumshuhudia Ndagile akitapika (sijui alivimbiwa, alikula chakula kibovu ama vipi) kisha kula tena matapishi yale!".
Duh, haka kakisa unastahili kuwa malenga, utunzi mzuri na unaendana na hadhira
 
Upande wa wakuu wa mikoa amefungua parokia sasa asije akatuletea dayosis kwa upande wa wakuu wa wilaya manake huyu jamaa haeleweki.
 
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!

Orodha hii naitunza ili nione ulivyo fanikiwa kujipenyeza na kupasua siri nzito za Ikulu
 
Haaaaa kaumbika sanaaaaa,sijui yupo wapi kwa sasa maana kipindi kirefu sijamsikia
Ni mbunge wa Handeni......mkulu hakukoseaga alivyompaga ukuu wa wilaya....Hata ningekuwa mm ningempa hata uwazir aisee maana si mchezo....
 
Ni mbunge wa Handeni.
Ahsante ndugu,nilikuwa sijui yupo wapi na nilienda mbali na kufikiri labda alibebwa,vipi utendaji wake lakini??kama vile walivyomsifia mpaka wakampa uDc??maana media zote zilimwongelea yeye kipindi kile
 
Ahsante ndugu,nilikuwa sijui yupo wapi na nilienda mbali na kufikiri labda alibebwa,vipi utendaji wake lakini??kama vile walivyomsifia mpaka wakampa uDc??maana media zote zilimwongelea yeye kipindi kile
Utendaji wake sijui kwa kwel labda watu wa Handeni mbunge wao na Mufindi kipindi kile akiwa DC huko watueleze..
 
Back
Top Bottom