Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanadada mmoja ambaye alisifiwa sana,yupo uvccm anaitwa "MBONI mhita",kitu kama hicho,Jk alimpa ukuu wa wilaya huko IringaNani huyo?
NINAPOCHOKA NKAENDA HAJAKUBWA PALE ANAPODAI AKUWAHIKUWAJUZA MPAKA WALIPOTANGAZWA WAKATI JF TUNA MAJINA YA WAKU TOKA FEB NA AKUNA JINA LILILOBADILIKASasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
ZAMALakini teuzi za Magufuli hazijawahi kuvuja hivyo huu unaweza kuwa uzushi!
Nasikia le Mutuz hata kwa mosha kachokwa sasa sijui maisha yakoje,ila kwa kuwa mama kapewa shavu huenda maisha yakawa na unafuuuLe Mutuz yupo group la Wazee,ni DC wa Chato
Wewe jina lako lilipendekezwa lkn kilicho kuangusha ni elimu tu,pole sana mkuu hayo ndio maishaUlishawahi kuona wapi uteuzi wa namna hiyo watu wengine hata kutabiri hamjui.
Mnafiki mkuu weweWewe jina lako lilipendekezwa lkn kilicho kuangusha ni elimu tu,pole sana mkuu hayo ndio maisha
Mkuu tatizo la mpoto ni ule mwiko wake wa kutovaa viatu ndio ulio mkwamisha,ataendaje ofisini kwa ded kuomba mafuta akiwa pekupeku?Mpoto hayumoo?
Mkuu huyo tatizo hata kusaini mshahara hawezi anatembea na kidau cha wino mfukoniNaona ulitegemea kuwepo..... Hahahahahaha pole sana Mkuu
Alishazoea lile cruiser liitwalo kilimo kwanza,sasa kuanza maisha mapya ya daladala ndio maana hana rahaNina rafiki yangu mtoto Wa Dc....hapa kanda ya ziwa naona toka teuzi za wakuu Wa mikoa hana raha kabisa.....
Si unajua maisha ya ubwanyenye mazur babAlishazoea lile cruiser liitwalo kilimo kwanza,sasa kuanza maisha mapya ya daladala ndio maana hana raha
le watotoz sio kijana yule ameshavuka 60le mutuz wapi.
swissme
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Ni kijana ni shida tu zinampa umakamoPole pole mtu wa makamo, siyo kijana
una utani na mangochie, na mwenzie msambya
Mmmmmmh!Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!