Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!

Pole sana maana mpiga ramli wako kakuingiza chaka!
 
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Huyu pia hayupo katika list,???."Mboni"alikuwa Dc katika wilaya moja huko Iringa
 
tetesi zinaweza kuwa na ukweli au la........lakini JPM asipomteua Polex2, nitaandamana.........Yule jamaa ni mpambanaji! ni DIE HARD wa ccm hakuna mfano.
ya Polepole naachana nayo, acha nikupe kisa kidogo, "Baba alikuwa na mbwa wake mkali sana aliyeitwa Ndagile, aliogopwa na kila mtu nikiwemo mimi licha ya mbwa huyo kunizoea kama mtoto wa nyumbani. Alikuwa akifanya kazi nyingine azifanyazo binadamu kama vile kutumwa Dukani, kumpokea mzigo mgeni n.k.
Kwa hiyo, akili yangu kwa wakati huo ilinituma kuamini kuwa mbwa ana akili sawa na binadamu lakini imani hiyo ilitoweka baada ya kumshuhudia Ndagile akitapika (sijui alivimbiwa, alikula chakula kibovu ama vipi) kisha kula tena matapishi yale!".
 
Hili list lengo kuu ni kum preempt mkuu wa nchi ....majina mengine yamechomekwa makusudi kupoteza lengo ....utoto tu ...
 
Back
Top Bottom