arch 82
Member
- Mar 8, 2016
- 77
- 32
BabuHahahaha bado kijana yule kaka....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BabuHahahaha bado kijana yule kaka....
le mutuz wapi.
swissme
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Usijali Mkuu.... Teuzi bado nyingi... Hata mimi naumia hapa simoYaani sipo....!???
Una macho yenye makengeza wewe.Pole pole mtu wa makamo, siyo kijana
Kumbe vyeo chini ya ccm ni sehemu ya ulaji? Na si kuwatumikia wananchi?.Masikini Mtatiro angekuwa CCM asingekufa na njaa...
Amekuja kwako kukuomba kiroba cha sembe?Masikini Mtatiro angekuwa CCM asingekufa na njaa...
Una maana gani?Haki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.
Hii dozi kali sana kwa bavicha.
Ndo unakuja kumlipua humu aisee!!Nina rafiki yangu mtoto Wa Dc....hapa kanda ya ziwa naona toka teuzi za wakuu Wa mikoa hana raha kabisa.....
Huyu pia hayupo katika list,???."Mboni"alikuwa Dc katika wilaya moja huko IringaSasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Nani huyo?Huyu pia hayupo katika list,???."Mboni"alikuwa Dc katika wilaya moja huko Iringa
We jamaa kama ulikuwepo kichwani mwangu maana ha vijana wanakesha mitandaoni kwaajili ya chamaWale 46 wa mitandaoni vipi?