Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ana sura ya kizee wasira cha mtotoYule bado ni bwana mdogo sema tu ugumu wa maisha na utapia mlo
Mhhh mkuu le mutuz na magufuli ni agematesle mutuz wapi.
swissme
Hahahaha..... Kwamba adui yako mwombee njaaa....mkuu na kwa vile majina yetu hayamo basi tuombe iwe imevuja ayapotezee majina haya huenda tukakumbukwa!!!
naaam....ndo hivyo mkuu adui muombee njaaHahahaha..... Kwamba adui yako mwombee njaaa....
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Ni kuanzia tu kaka.... Kwa mfano mbona Richard Kasesela au Dr. Kadeghe wapo wilayani?Kama ni kweli Pole Pole deserved something better.Ukuu wa Wilaya is too small for him.Huwa ana mawazo mazuri sana.Najua wapo watakaopinga,hasa wale wasiotangulizi maslahi ya taifa mbele.
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Ya makonda ilivujaLakini teuzi za Magufuli hazijawahi kuvuja hivyo huu unaweza kuwa uzushi!
Kwa huyu baba labda kipindi kile alivotoka States ndio labda angeweza kupewa kutokana na fact kwamba watu walikuwa hawamjui vizuri.le mutuz wapi.
swissme
Haki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.Pole pole mtu wa makamo, siyo kijana
Ni Team 46 + 1Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Mgonjwa mnae wenyewe na dozi yo yote ile haimfai maana ni marehemu anayesubiri tangazo la kifo chakeHaki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.
Hii dozi kali sana kwa bavicha.
Daaaah, jamani mzee sitta amekosa mpaka u DC, basi awe tu mtunzi wa vitabu maana hakuna namna
Haki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.
Hii dozi kali sana kwa bavicha.