Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Tetesi: Uteuzi wakuu wa Wilaya; Rais Magufuli achukua vijana lukuki

Wallah kheri ya kikwete kuliko huyu magu.yaani hakuna jipya hata ukiangalia wakuu wa mikoa.tulisema kikwete hajastaafu rasmi bado atatawala tz kwa miaka mingine mitano.magufuli anapewa order tu afanye lipi na lipi asifanye.chezea mzee wa msoga.yule mtoto wa mjini.
 
Kama ni kweli,Pole Pole deserved something better.Ukuu wa Wilaya is too small for him.Huwa ana mawazo mazuri sana.Najua wapo watakaonipinga,hasa wale wasiotangulizi maslahi ya taifa mbele,lakini huo ndio ukweli.
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
 
Kama ni kweli Pole Pole deserved something better.Ukuu wa Wilaya is too small for him.Huwa ana mawazo mazuri sana.Najua wapo watakaopinga,hasa wale wasiotangulizi maslahi ya taifa mbele.
Ni kuanzia tu kaka.... Kwa mfano mbona Richard Kasesela au Dr. Kadeghe wapo wilayani?
 
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!



pole pole anastilii maana alitoa povu sana katika kampeni sasa muda wa kula/kuvuna
 
le mutuz wapi.

swissme
Kwa huyu baba labda kipindi kile alivotoka States ndio labda angeweza kupewa kutokana na fact kwamba watu walikuwa hawamjui vizuri.

Si wakumbuka aligombea hadi ubunge wa East Africa lakini kura hazikutosha.

Na hapo nyuma kidogo alikuwa hadi anaenda kutoa semina za mitandao chamani.

Too bad siku zinavozidi kwenda ndio anazidi kujishushia thamani yake kutokana na mambo yake anayofanya mitandaoni.

Kwa awamu hii sidhani tena kama atakuwa anafanya mambo yake ya kupiga picha na viongozi na kujisifu.
 
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......

1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba

NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Ni Team 46 + 1
 
Haki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.
Hii dozi kali sana kwa bavicha.
Mgonjwa mnae wenyewe na dozi yo yote ile haimfai maana ni marehemu anayesubiri tangazo la kifo chake
 
Haki ya Nani JPM ataua watu, hii safu ya JMakamba, M. Nchemba, H. Kigwangalla, Nnauye, MAKONDA, na sasa POLEPOLE.
Hii dozi kali sana kwa bavicha.

dozi gari yenye matokeo hasi, anajalibu kuumiza watu nakusahau kutimiza malengo. kati ya hao mabwana sioni competent person katika utendaji, ila walijitahidi sana kutetea hadhi ya chama ndoo maana wamepewa heshima ya kula keki.
 
Back
Top Bottom