Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
Jaman trh 22 walisema wanakaa kikao cha joint tcu na nacte bt ukiingia kwny fb social account ya nacte walisema wakishakaa trh 22 thn 25 ndo watarelease final list
 
wengine unadhani madingi zao wanapga kazi TCU hata kama unadhan mnavyo shauriana ndio atafanya iwe icwe Hanna selection itakayotoka ikatangulia ye2 iwe Moro au ln Mara ooh kulngana na source nlo nayo!
 
Toeni ujinga wenu,kwani notice inasemaje si tarehe 22,sept.tarehe 25,30 ni mipango ya baba zenu na mama zenu kupanga uzazi wa mpango.
 
Tatizo la watu bwana kila uzi anataka kutia neno,mda mwingine sio makosa ukasoma walichoandika wengine alafu ukatulia pembeni.Sasa inafika wakati tunaanza kuumizwa vichwa kwa mambo yasiyokuwa na uhakika, kwa mfano tcu inasema tarehe 22sept ndio itatoa post lakini watu wanaandika wanavojisikia eti tarehe 25,tarehe 30 mwezi huu, wengine hadi mwezi wa october sasa nan mkweli na nan muongo hapo. Muhimu nahisi tuepukane na tabia ya uvivu wa kufikiria ili tupate mawazo sahihi.
 
ndugu wapendwa mafarakano ya nini,kwa nn ucmueleka kama unajua na kama hujui kwa nn umjb pumba,w r Tanzanian both of us n let us help each othr wth ablty w v.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…