Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
TCU inakatisha ndoto za vijana sana msela wangu amefanya first application imemtema kaja kafanya second course zilizobaki za arts yeye amesoma pcm matumaini take ilikua aje kusoma engineering
 
jaman jaman jaman tcu toeni basi hayo majina kukaa nyumbani nako miyeyushoo
 
du wanajamii forum tafsir ya rangi hzo ni kweli au?mana mi kwenye profile yangu vyuo vyote wameniwekea nyeusi!
 
du wanajamii forum tafsir ya rangi hzo ni kweli au?mana mi kwenye profile yangu vyuo vyote wameniwekea nyeusi!

we ndo kalagha bawooooo


....yani ukizubaa admission mwaka uu kwako utaisikia ileee inapepea ...
unajaza kozi zaushindan bilá kuangalia mbele .. ushauri wasiliana na tcu
 
Hawa watu walitangaza kuachia majina tarehw 22 lakini mpaka muda huu naangalia jina nijue kama ndugu yangu kapata au kakosa bado kimyaaaa?

Hivi nyie TCU mnajua kama tunahitajika kuwaandalia hela kwa ajili ya masomo kwa hiyo ni muhimu kufahamu mapema?

Tanzania mpaka inasikitisha, ninachoshangaa imetumika technologia ya mtandaoni kujisajili sasa si bora wangeacha kama enzi zetu unaapply moja kwa moja chuo husika?

MNABOA SANA KAMA VILE HAMJUI PESA ZINAHITAJI MATUMIZI NA MIPANGO?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…